Pablo atimuliwa Simba SC, mwenyewe agoma kupokea barua

Hivi kwa kikosi alichokikuta Pablo mlitegemea maajabu gani?
ukikichambua kikosi kilichopo simba licha ya wachezaji kudrop viwango sio kikosi chakushindwa kucheza at least mpira wakueleweka pablo nabutuabutua yake hatufai...tena simba wasirudie kutuletea coach ambae aweki mpira chini,simba inastyle yauchezaji wake sio kupigapiga tu mipira mbele....hata falsafa ya pablo haieleweki toka kakabidhiwa timu yeye hana hata first eleven...
 
 
Ushawahi kupiga hata danadana?

Nimeanza safari ya mpira toka nipo kinda, kipindi hicho Hata shule sijaanza, kipindi tunacheza mipira ya makaratasi barabara I au uwanja wa nyumbani (uwani), ni katika kipindi kicho ndo nikajizoeza kupiga miguu yote.
Nilipoanza shule nikaendelea kukiwasha, zile match za madarasa vs madarasa (let's say for example: std iii vs std iv )au mikondo vs mikondo (A vs B) nilikuwa nakiwasha balaa. Kumbuka hapo napiga peku peku.

Kuanzia darasa la 5 hadi darasa la 6 mimi ndo nikawa mlinzi namba 4 tegemeo wa shule. Kamwili kadogo,ila wepesi, speed, akili na passion vilinifanya nikawa beck ninaewadhibiti washambuliaji wakali. Tackling, acrobatics,kutibua mipango, vilinifanya kuwa maarufu sana
pale shuleni na kijiji kizima. Ni katika kipindi hicho 2005-2006+ ndiyo nilianza kufanya mazoezi na wakubwa kwenye timu ya kijiji.

Match ya kwanza kupangwa kwenye timu ya wakubwa ilikuwa 2006, nipo darasa la 6 hapo, nilipangwa beki 2, niliboronga sijui woga!!! Nikatolewa.

Kuanzia mwaka 2007 nikiwa darasa la 7, mimi na mwili wangu mdogo,ndiye niliekuwa full back tegemezi wa shule na kijiji.

Kuanzia 2008-2010(form 1-3) mimi ndiye niliekuwa mlinzi tegemezi wa darasa, wa shule (sekondari) na timu ya kijijini (walikuwa wananifata kila kukiwa na match.

Kuanzia mwaka 2010-2011 (form 3-4) mimi ndiye niliekuwa mlinzi tegemeo wa darasa, shule, timu ya kijiji na timu ya kijiji cha pale shule ilipokuwepo.

Nilianza kuacha mpira 2012 baada ya kwenda advance.


SAMAHANI MKUU KWA KUKUPA JIBU REFU SANA. NIMEJIKUTA NAWAZA MBAAAALI SANA!! ENZI ZANGU, KAMA HENOCK INONGA MTUPU!! ka mwili kadogoooo ila ninaowazuia watu wanabaki wanasema natumia madawa kumbeee chini ya kapetii......siri ya mchezo ni NILIKUWA NAFANYA MAZOEZI SANAAAAAAAAA
 
Aise wazungu wanakula batabsana wakija africa...mihela yote hiyo. Ila utakuta mzawa wanamkopa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Inawezekana ni tetesi za kweli, maana kwenye mechi zote za Simba (za kwa Mkapa) NABI anakuwepo uwanjani, anaangalia sehemu ya kufanyia marekebisho.
 
Kumchinja kobe inahitaji timing, hapa simba tumefanya timing nzur sana kocha anayekuja atapata muda mzur wa kufanya usajili wake sasa next season moto utawaka
 
Sasa tunasubiri panga la wachezaji.
Mugalu
Wawa
Kagere
Lwanga
Dilunga
Boko
Mhilu
Gadiel

OUT

George Mpole
IN
Utashangaa bocco anakwepo hapo msimu ujao ,alaf et Wana malengo ya kufika mbali kimataifa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni jambo jema. Kwa maana hajafikia malengo ya timu kwa asilimia 80 kafikia tu 20% ya malengo aliyopewa. Ila isiishie tu kwa kocha warudi kwa wachezaji mwisho wa msimu waache wale wazew wote kuanzia:-
1. Bocco
2. Mugalu
3. Nyoni
4. Wawa
5. Bwalya
6. Lwanga
7. Mhilu
8. Morrison
9. Gadieli
10. Jimyson
11. Kisubi
12. Kagere
13. Ally salum
14. Abdwasamadu kassimu
Nk
 
Hao wataenda DTB moto watakao uwasha tutajuta
Ndio maana hatufiki popote ,yaan unaogopa kufanya mabadiriko eti kisa watakiwasha sana.brand ya simba ni kitu kingine ndugu hata wakikiwasha huko ila hawawez kuwa na madhara kwa simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…