Mara ya kwanza naijua JF nlidhani wengi ni watu wenye welediHakuna cha Mungu hapo hatujafikia level za kufanya hizo operation
Kama hata katika hili unakosoa hivi unakua huwatendei haki madaktari waliojitahidi kutumia uwezo wao wote kuwafanya hao watoto wajitegemee.Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Kwani huko India au Ulaya operesheni zote hufanikiwa?Kwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
Success rate ndio muhimu. Je hizi wanazofanya hapa Tz success rate ni kiasi gani? Wanaofanyiwa wanaishi muda gani?Kwani huko India au Ulaya operesheni zote hufanikiwa?
Tuambie wewe. Operesheni ngapi za aina hiyo zimefanyika Tanzania na ngapi zilifanikiwa? Vivyo hivyo kwa India na Ulaya. Hapo ndipo tutaweza kulinganisha ufanisi.Success rate ndio muhimu. Je hizi wanazofanya hapa Tz success rate ni kiasi gani? Wanaofanyiwa wanaishi muda gani?
Mkuu we umeshawahi kusikia ngap zimefanyika hapa bongo?Success rate ndio muhimu. Je hizi wanazofanya hapa Tz success rate ni kiasi gani? Wanaofanyiwa wanaishi muda gani?
Sina takwimu ndio maana nimeuliza.Mkuu we umeshawahi kusikia ngap zimefanyika hapa bongo?
Vipi kuhusu upandikizaji wa figo?
Ngapi zimefeli ngapi zimefanikiwa?
Je ukilinganisha na za wenzetu sisi tuko position ipi?
Sina takwimu ndio maana nimeuliza. Btw nikwambie mimi kama nani?Tuambie wewe. Operesheni ngapi za aina hiyo zimefanyika Tanzania na ngapi zilifanikiwa? Vivyo hivyo kwa India na Ulaya. Hapo ndipo tutaweza kulinganisha ufanisi.
Acha kukatisha tamaa wataalam wamejitahidi sana kwa kadri ya uwezo wao..Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Lazima u comment kwan?Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Uliziona wapi hizo jitihada,waliweka siasa mbeleLazima u comment kwan?
Ungejua jitihada zilizofanyika ..
Au bas
Ndiyo wafanye majaribio kwa Binadamu aliye hai?Kufika walipo waliofanikiwa mistake haziepukiki
Uliziona wapi hizo jitihada,waliweka siasa mbele
OkUliziona wapi hizo jitihada,waliweka siasa mbele