Paco Decor amefariki

Status
Not open for further replies.
Huyu kaka alikuwa na ukaribu (ushoga) na madada wa mujini...
Unakuta kundi la ladies only na yeye yumo...
Mungu amlaze mahali pema peponi
Hizi tabia ni socially constructed kwa hiyo tusimyooshee vidole wakati ni proof ya failure upande wetu kama wazazi, walezi na majirani...wengi tabia hizi uanzia nyumbani kwao ambako ungetegemea ni mahala salama kwa malezi ya kijana wa kiume
 

 
Mkuu, kuna kuvaa hereni na kuvaa hereni za kike. Ni sawa na kuvaa nguo na kuvaa sketi. Sorry, no excuse!
 
Kuna picha ni bonge na hizi kapungua, je ni mtu mmoja? Nimeshindwa kufananisha.
 
Alikuwa Mtu Maarufu Kwa vigezo vya Maarufu hapa nchini ni Kuwa kwenye matukio , pia he had a good heart na moyo mzuri beside others !Apumzike Kwa amani
mbona umesahau kwamba alikuwa anapumuliwa?
 
Mwanaume rijali hatoboi sikio..unless uwe hauna dini ndo utaona kila kitu ni sawa kwako...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…