Paco Decor amefariki

Status
Not open for further replies.
Kila kifo ni mawaidha.

Alikuwepo duniani na sisi na leo hii ghafla bin vuu hayupo. Amali na matendo yake ndiyo yatakuwa na uzito leo hii. Jee, wewe uliyekuwa hai unafanya nini?

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Eti wanasema alikua shoga sasa.........
 
Acha kutetea upu.mbavu nawewe utakuwa shoga ndo mnaotudhalilisha wanaume rijali.unatetea mwanaume aliyekamilika kuvaa hereni?kwanza wewe imani gani?
 
Ni kweli..lakini mashoga hayana Inna Lillahi...na ndo mana yaliangamizwa enzi za Nabii Lut.

Sisi ni wake na kwake ni marejeo.

Wote tutarudi kungoja siku ya hesabu na amali zetu za leo ndiyo zina matter.

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
 
Kila kifo ni mawaidha.

Alikuwepo duniani na sisi na leo hii ghafla bin vuu hayupo. Amali na matendo yake ndiyo yatakuwa na uzito leo hii. Jee, wewe uliyekuwa hai unafanya nini?

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.


Niliyekuwa hai naponda raha. Maisha yenyewe Ni mafupi, naamsha na supu na bia mbili za speed ya kazi. Wewe je?
 

Ukimwi unawamaliza mashoga wote hapa nchini
 
Ukimwi unawapukutisha mashoga wote.

Kuna Lingine hapa Arusha maarufu kama Anti Mollel, Juzi kuamkia jana, nalo limepita hivi.

Una hakika ni ngoma? Mbona nasikia alifanya operation ya kupata lijishepu ikakataa
 
Una hakika ni ngoma? Mbona nasikia alifanya operation ya kupata lijishepu ikakataa
watu wa hiv sikuhizi wala hawana habari nayo wanakula dawa wanapendeza tuu ..... kwa sasa malaria inaua zaid
 
Sisi ni wake na kwake ni marejeo.

Wote tutarudi kungoja siku ya hesabu na amali zetu za leo ndiyo zina matter.

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.


Aaamen. Hilo halina mjanja wala bingwa atakayekwepa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…