Pacome na Baleke acheni tabia ya ulevi, mnaigharimu Yanga Kwa kiwango kibovu

Pacome na Baleke acheni tabia ya ulevi, mnaigharimu Yanga Kwa kiwango kibovu

Maisha ya mcheza soka (professional footballer) ni maisha yanayotakiwa kuwa ya nidhamu ya hali ya juu sana.. Hasa kwenye mambo makubwa matata
1. Vyakula
2. Vilevi
3. Wanawake
Professional footballer yoyote akiendekeza hata kimoja tu kati ya hivyo AMEKWISHA!
Yuko wapi Aziz Ni leo hii
Kweli .

Aziz K amekuwa Kama Ngasa.
 
Tatizo ni wakiingia hapa Dar es salaam, Jiji la starehe za kila aina na zinapatikana kwa ukaribu, Wanageuka kuwa wacheza bendi 😛 Wakongo ndiyo kabisa hata wakistaafu soka hawataki kurudi makwao
Hii nakubali ona hata Morrison hata akiwa hana timu lazima ang'ang'anie kubaki DSM. DSM mademu ukiwa na laki tu, starehe bei sawa na bure.
 
Msicho kijua kuhusu football international player sio sawa na local player, wakija wanakuja na matakwa yao kweny mkataba na ww yako mnachanganya mnakubaliana, asa pro uwez mlazimisha mda wa kuondoka uwanjani apandw magari yenu, au asiende club ww deal na mkataba hajaja mazoezin sku mbili au kiwango kibovu kama ni moja ya makubaliano yenu, ndo maana kuna wachezaji anakwambia lazima acheze kila mechi si chini ya dk 45 ata kama kiwango kimeshuka ktk ya msimu ila anacheza . Kikubwa tofautishen pro na wakina kibwana shomari, kama kweny mkataba wako uliandika asiende club sawa
 
Hii nakubali ona hata Morrison hata akiwa hana timu lazima ang'ang'anie kubaki DSM. DSM mademu ukiwa na laki tu, starehe bei sawa na bure.
Ila uwongo dhambi bongo uliendekeza mademu umekwisha iwe mwanasoka au mtu anaejitafuta
Hii nchi kuna mademu wakali wengi sana wa kila shape ukishatambulishwa bar za masaki umekwisha!
Sembuse wacheza mpira ambao nyapu zenyewe wanapewa bure mana wadada shobo ni nyingi
Wafanye tu kujenga ili wazisasambue vizuri mana tukiachana na ivory coast hao waburkinabe /mali maisha yenyewe kwao hawana
 
Ulevi ni maisha binafsi sawa Ila haukuwa sawa Kwa Pacome kukesha Clemente bar pale Masaki na timu ikiwa na mchezo wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal

Pacome na Baleke wamekuwa maarufu kwenye Ma bar ya Masaki, Mikocheni na Oystabay, na kutuachia maswali sisi mashabiki wa Yanga hawa vijana wana Fanya mazoezi saa ngapi kujiandaa na michezo ya ligi

Kabla ya mechi ya Al Hilal, Pacome akiwa Lemente Bar aliibiwa simu na dollar 5000, hii ni mbaya Kwa mchezaji professional

Tulitegemea wachezaji wa Kimataifa wawe darasa Kwa vijana wetu wadogo Kwa maisha ya kiuna michezo wao wanaishia bar na kucheza kama hawali chakula na uchovu

Lakini hawa vijana wapo kama hawajui kilichowaleta kujiingiza kwenye Ma bar na makofia Yao wakificha sura zao ila sisi wakachero tumekuwa tukiwaona

Pacome huambatana na Baleke, Aziz ki na Jean Charles Aouhor wa Simba ambaye ni mlevi wa pombe kali hadi mdomo wake umechubuka

Management ya Yanga acheni kuwapa uhuru wachezaji wa Kimataifa ambao mnawalipa mishahara mkubwa na wao wakiwapa kiwango kibovu kwasababu ya uchovu wa mikesha ya 🍺 bar

Eng Hersi Fanya kitu

Yanga bingwa
Sijui, ila siwezi kukubishia, naijua bongo nasijua mikato yake, si sehemu salama kwa watu wanaotarajia kuendesha maisha kupitia vipaji vyao, na mbaya zaid kwa wachezaji wanaotakiwa kuwa na nguvu, stamina na focus.
Yule mwingine yeye ni mswalihina, hagusi pombe, wala kitimoto, yeye ni mwendo wa mimoshi, ni UTI sugu, full kujichosha. Mashuti yake hadi watoto sasa hivi wanayadaka
 
Kuna maisha baada ya kutoka uwanjani na maisha ni yakwao
 
Kumbe walivunja kambi AVIV TOWN. Kumbe ni sababu ya wazi kabisa.
Ndiyo mpaka sasa hawakai kambini tena kila mtu anakuja akitokea kwake! Ndiyo maana unaona wachezaji fitness opo chini pia hata sasa hivi hawafanyii mazoezi avic town ila uwanja gani sijui ule ndio wanapigia tizi .

Yaani sijui Rais haoni hili?
 
Sijui, ila siwezi kukubishia, naijua bongo nasijua mikato yake, si sehemu salama kwa watu wanaotarajia kuendesha maisha kupitia vipaji vyao, na mbaya zaid kwa wachezaji wanaotakiwa kuwa na nguvu, stamina na focus.
Yule mwingine yeye ni mswalihina, hagusi pombe, wala kitimoto, yeye ni mwendo wa mimoshi, ni UTI sugu, full kujichosha. Mashuti yake hadi watoto sasa hivi wanayadaka
View attachment 3166423
Atandikwe na viboko kabisa mpuuzi huyu sijui anajikuta nani?
 
Ulevi ni maisha binafsi sawa Ila haukuwa sawa Kwa Pacome kukesha Clemente bar pale Masaki na timu ikiwa na mchezo wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal

Pacome na Baleke wamekuwa maarufu kwenye Ma bar ya Masaki, Mikocheni na Oystabay, na kutuachia maswali sisi mashabiki wa Yanga hawa vijana wana Fanya mazoezi saa ngapi kujiandaa na michezo ya ligi

Kabla ya mechi ya Al Hilal, Pacome akiwa Lemente Bar aliibiwa simu na dollar 5000, hii ni mbaya Kwa mchezaji professional

Tulitegemea wachezaji wa Kimataifa wawe darasa Kwa vijana wetu wadogo Kwa maisha ya kiuna michezo wao wanaishia bar na kucheza kama hawali chakula na uchovu

Lakini hawa vijana wapo kama hawajui kilichowaleta kujiingiza kwenye Ma bar na makofia Yao wakificha sura zao ila sisi wakachero tumekuwa tukiwaona

Pacome huambatana na Baleke, Aziz ki na Jean Charles Aouhor wa Simba ambaye ni mlevi wa pombe kali hadi mdomo wake umechubuka

Management ya Yanga acheni kuwapa uhuru wachezaji wa Kimataifa ambao mnawalipa mishahara mkubwa na wao wakiwapa kiwango kibovu kwasababu ya uchovu wa mikesha ya 🍺 bar

Eng Hersi Fanya kitu

Yanga bingwa
Tuwekee ushaidi wa picha au video wakiwa wamelewa
 
Back
Top Bottom