Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Hakufai Tabata hakufai hasa Kitambaa.Huyo Aziz ki anafika hadi Tabata kulewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakufai Tabata hakufai hasa Kitambaa.Huyo Aziz ki anafika hadi Tabata kulewa
Ila uwongo dhambi bongo uliendekeza mademu umekwisha iwe mwanasoka au mtu anaejitafuta
Hii nchi kuna mademu wakali wengi sana wa kila shape ukishatambulishwa bar za masaki umekwisha!
Sembuse wacheza mpira ambao nyapu zenyewe wanapewa bure mana wadada shobo ni nyingi
Wafanye tu kujenga ili wazisasambue vizuri mana tukiachana na ivory coast hao waburkinabe /mali maisha yenyewe kwao hawana
Mimi Bora nifilisike.😅😅Ila uwongo dhambi bongo uliendekeza mademu umekwisha iwe mwanasoka au mtu anaejitafuta
Hii nchi kuna mademu wakali wengi sana wa kila shape ukishatambulishwa bar za masaki umekwisha!
Sembuse wacheza mpira ambao nyapu zenyewe wanapewa bure mana wadada shobo ni nyingi
Wafanye tu kujenga ili wazisasambue vizuri mana tukiachana na ivory coast hao waburkinabe /mali maisha yenyewe kwao hawana
Afadhali na wewe umeona.sie tukisema tunaelekezwa kutazama takwimu,wachezaji wenzake Che Malone na Ngoma kwa nyakati tofauti wameoneshwa wakimfokea kwa kuleta utoto wake uwanjani wakati wenzake wanavuja jashoKama kale ka bwana mdogo ka AHOUA nako ni kalevi soon atashindwa soka la bongo, kwanza HAKAJUI mpira, kiwango chake si cha timukama simba ni AVERAGE player.
Ni mchezaji wa kawaida saana, sio skills, vision wala nini humo mote hakuna kitu, ni aibu simba kuwa na mchezaji kama yule eti ndio PLAYMAKER.Afadhali na wewe umeona.sie tukisema tunaelekezwa kutazama takwimu,wachezaji wenzake Che Malone na Ngoma kwa nyakati tofauti wameoneshwa wakimfokea kwa kuleta utoto wake uwanjani wakati wenzake wanavuja jasho
Hebu mtoe huyo kijana Charles Aouhor katika hiyo list ya walevi wako ndugu.Ulevi ni maisha binafsi sawa Ila haukuwa sawa Kwa Pacome kukesha Clemente bar pale Masaki na timu ikiwa na mchezo wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal
Pacome na Baleke wamekuwa maarufu kwenye Ma bar ya Masaki, Mikocheni na Oystabay, na kutuachia maswali sisi mashabiki wa Yanga hawa vijana wana Fanya mazoezi saa ngapi kujiandaa na michezo ya ligi
Kabla ya mechi ya Al Hilal, Pacome akiwa Lemente Bar aliibiwa simu na dollar 5000, hii ni mbaya Kwa mchezaji professional
Tulitegemea wachezaji wa Kimataifa wawe darasa Kwa vijana wetu wadogo Kwa maisha ya kiuna michezo wao wanaishia bar na kucheza kama hawali chakula na uchovu
Lakini hawa vijana wapo kama hawajui kilichowaleta kujiingiza kwenye Ma bar na makofia Yao wakificha sura zao ila sisi wakachero tumekuwa tukiwaona
Pacome huambatana na Baleke, Aziz ki na Jean Charles Aouhor wa Simba ambaye ni mlevi wa pombe kali hadi mdomo wake umechubuka
Management ya Yanga acheni kuwapa uhuru wachezaji wa Kimataifa ambao mnawalipa mishahara mkubwa na wao wakiwapa o kibovu kwasababu ya uchovu wa mikesha ya 🍺 bar
Eng Hersi Fanya kitu
Yanga bingwa
Kama mtu anapinga apinge tu, mie ni MSIMBAZI lakini nasema AHOUA ni AVERAGE player.Usiwastue waache hivo
Sindano FC ni tabia yao ulevi, mkumbuke yule mlevi aliyeondoka Okrah, alimuachia huzuni sana Mkude maana walikuwa wanalala hadi mtaroni wakishalewaUlevi ni maisha binafsi sawa Ila haukuwa sawa Kwa Pacome kukesha lemente bar pale Masaki na timu ikiwa na mchezo wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal
Pacome na Baleke wamekuwa maarufu kwenye Ma bar ya Masaki, Mikocheni na Oystabay, na kutuachia maswali sisi mashabiki wa Yanga hawa vijana wana Fanya mazoezi saa ngapi kujiandaa na michezo ya ligi
Kabla ya mechi ya Al Hilal, Pacome akiwa Lemente Bar aliibiwa simu na dollar 5000, hii ni mbaya Kwa mchezaji professional
Tulitegemea wachezaji wa Kimataifa wawe darasa Kwa vijana wetu wadogo Kwa maisha ya kiuna michezo wao wanaishia bar na kucheza kama hawali chakula na uchovu
Lakini hawa vijana wapo kama hawajui kilichowaleta kujiingiza kwenye Ma bar na makofia Yao wakificha sura zao ila sisi wakachero tumekuwa tukiwaona
Pacome huambatana na Baleke, Aziz ki na Jean Charles Aouhor wa Simba ambaye ni mlevi wa pombe kali hadi mdomo wake umechubuka
Management ya Yanga acheni kuwapa uhuru wachezaji wa Kimataifa ambao mnawalipa mishahara mkubwa na wao wakiwapa kiwango kibovu kwasababu ya uchovu wa mikesha ya 🍺 bar
Eng Hersi Fanya kitu
Yanga bingwa
Huyo ndio basi tenaHuyo Aziz ki anafika hadi Tabata kulewa