Padre Titus Amigu anasema muda huu kupitia Radio Maria kuwa viongozi wakuu wa nchi wanajua wauaji ni akina nani

Unadhani hiyo akili ya kuchuja anayo?
 
Hawa jamaa huwaga wanatabia ya kuchagua upande, kipindi cha mzee wa Push-up midomo yao ilikuwa rikizo kana kwamba walikua hawaoni, hawasikii na wala hawajui hata kama walikuwa wanajuzwa na wanaojua kilichokua kinaendelea wakati ule.

Acha uongo wako. Mbona walitoa waraka kipindi Cha Magufuli?.
 
Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowajibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Sio wanawajua tu, wanabariki na hata kuwatuma.
 
Anadanganywa na nani kwani ye hana akili?
 
Watu wanaogopa jeshi la polisi kuliko majambazi kuna haja ya serikali kulisuka upya kutoka polisi forces ( watu wasio na akili na wapiga rungu) kwenda police service ( watu werevu wenye nidhamu ya kazi na miiko ya kitaalumu)
Otherwise hii polisi haitaaminika milele
 
Tatizo lako unadhani kumuita mtu kafir ni tusi. Pole Sana.
JAMII FORUM INAKATAZA MATUSI,NINGEKUWA NAJUA KUWA NI TUSI NISINGEKUWA NALITUMIA,NASHUKURU SANA KWA KUELEWA KWAKO KUWA KAFIR SIYO TUSI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…