ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Bimkora ana tofauti gani na Mobutu?!!Ya mobutu tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bimkora ana tofauti gani na Mobutu?!!Ya mobutu tena?
Watafanywa kama walivyofanywa kule Congo na Tshisekedi,,,,,walijifanya kuingilia siasa za nchi ila mwisho wao kilichowakuta ni aibu
Tukubaliane tu kwamba tuna hasara kama Taifa!Yuko sahihi huyo Padre, kwa sababu kauli zao hao viongozi zinathibitisha kuhusu suala hili.
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Na nyie nendeni kwa Wajomba zenu Uarabuni mtuachie Tanganyika yetu sisi Wapagani.Nendeni Vatican,hii nchi siyo mali ya KANISA KATOLIKI.
Zinawafundisha mabinti zenu kutukatia maunoHovyo kabisa,hizi shule za kata hizi!