Padre wa Kanisa Katoliki Italia afukuzwa baada ya kuhubiri kwamba Papa Francis ni 'Masonic' na 'Anti-pope'

Padre wa Kanisa Katoliki Italia afukuzwa baada ya kuhubiri kwamba Papa Francis ni 'Masonic' na 'Anti-pope'

Hatuwezi kufanya mambo ya Kimungu kwa kukurupuka kama hivi,Kanisa Katoliki mpaka sasa lina sala maalumu kwa ajili ya kuomba muunganiko uliokuwepo zamani urudi kuwe na Kanisa moja sasa tukisema tena wajitenge waanzishe lingine itakuwa ni kuzidi kugawa imani.

Kila kitu kina muda wake personally naungoja muda wa Mungu ufanye kitu kwa huyu Papa maana amekengeuka sana sana sana yaani amezidi,naamini hili litapita salama.
Mungu gan tena?? . .... ..POPE maana yake n baba mtakatifu yaan (mungu wa wakatoliki wote)...nimetoka milembe juz sjamaliza dozi
 
Hatuwezi kufanya mambo ya Kimungu kwa kukurupuka kama hivi,Kanisa Katoliki mpaka sasa lina sala maalumu kwa ajili ya kuomba muunganiko uliokuwepo zamani urudi kuwe na Kanisa moja sasa tukisema tena wajitenge waanzishe lingine itakuwa ni kuzidi kugawa imani.

Kila kitu kina muda wake personally naungoja muda wa Mungu ufanye kitu kwa huyu Papa maana amekengeuka sana sana sana yaani amezidi,naamini hili litapita salama.
Karibu kwa Gwajiboy na Masanja upate upako, usijifungie huko pekee.
 
Roma catholic ni kichaka cha shetani kutimiza ajenda zake
Lakini ndiyo watu wema wengi wetu wa 60,70&80s tumezaliwa kwenye hospital zao kuwaje wasitufanyie hayo mambo ya kishetani?

Mkristo yeyote hupaswi kumuona binadamu mwenzako kama kichaka cha shetani cha kufanya muombee arudi kwa Mungu unaemuamini wewe hao unaowaona hapa shetani wao wanakuombea wewe heri usiwe mwepesi kuhukumu.
 
Lakini ndiyo watu wema wengi wetu wa 60,70&80s tumezaliwa kwenye hospital zao kuwaje wasitufanyie hayo mambo ya kishetani?

Mkristo yeyote hupaswi kumuona binadamu mwenzako kama kichaka cha shetani cha kufanya muombee arudi kwa Mungu unaemuamini wewe hao unaowaona hapa shetani wao wanakuombea wewe heri usiwe mwepesi kuhukumu.
Wala si watukani wapo pale kwa ajili ya kutimiza unabii,
 
Binafsi bado namlilia Benedict wa 16, yule mjerumani hakika alikua ni baraka kwa kanisa kwa nyakati zetu, asante Mungu kwa ajili yake View attachment 2861893
Papa benedict sijui ni nini tu kilimlazimu kujiudhuru, na ukicheki francis kasubiri benedict afe ndio afanye yake.

Kuna kardinali mmoja alisema pala benedict kpnd anajiudhuru alidhan hatoishi hata zaidi ya mwaka
 
images (9) - 2022-10-26T223913.856.jpeg

Kuna message flani yenye ukweli kwenye hii series
 
kanisa la roma haliwezi kuwa chini ya masonic kwan ndilo mmiliki halali wa masonic iluminant na jesuits ......😂🤣😅😆😁😄😃.....kiukwel iko hivi papa hawezi kujiamulia tuu na kujifanyia mambo pale vatican...anachokisema ndyo maamuzi halisi ya taasis ya kikatoliki....yaan katoliki iĺivonamfumo imara vile ety papa akurupuke tuu from nowhere kwel jaman wakatoliki wenzangu wa buza tujiulize mara2😅🤣😂......n swal la muda tuu katoliki sio tuu itabariki bali kufunģisha kabisa ndòa za jinsia moja ...narudia n swala la muda tuu....itaua mamilion kama ilivoua karne ya 16 17 na 18 by mm nabii mlokole
Acha kuandika bila kufuatilia mambo. Francis alipoingia amewatoa wadhifa watu wengi waliokua wanampinga au kuonesha kumpiga, wamewekwa watu wanaitwa 'mercenaries wake' sasa hao wao ni wanatishia sana.

Tamko la vatican ni la baraza, sio la papa lkn ni baraza ambalo limejazwa watu aidha waliokengeuka tyr au waliotishwa, unategemea watapinga?
 
Binafsi bado namlilia Benedict wa 16, yule mjerumani hakika alikua ni baraka kwa kanisa kwa nyakati zetu, asante Mungu kwa ajili yake View attachment 2861893
Jililie nafsi yako wala si Papa sababu kila Mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe.............[emoji3578]

YEREMIA 17:5.
BWANA asema hivi,
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu,
Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake
Na moyoni mwake amemwacha BWANA.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Bro bora kufa mpagani kuliko kwenda kwa hao watu hivi nitakuwa salama hata kujitetea kwa Mungu nitaweza siku akiniita.
Ila kusema kweli dunia ya leo inahitaji kujenga imani kwenye Neno na sio wote wanaoitwa watumishi wa Mungu wanafanya maagizo ya Mungu.

Kuna nyakati ni tete usipokuwa makini unadondokea shimoni maana unaongozwa na kiongozi kipofu.

Binafsi ni Mkristo ambaye niko huru, sibanwi na mapokeo ya dhehebu flani au kiongozi flani bali ninabanwa na neno la MUNGU MKUU lililo kwenye bible.

Kwa hiyo hata kiongozi wa kiimani akifanya matendo ya kishetani hata hainiumizi chochote kwa vile sina tumaini juu ya mwanadamu, ila kikubwa zingatia andiko hili,

Yohana 17:3​

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
 
Back
Top Bottom