Sasa kumbe wakatoliki ni wazoefu ktk kubariki ushoga?? Sasa mnalalamika nn??Nonsense, kulishakua na mapapa waovu zaidi ya huyu ila Nguvu ya Mungu haijawahi kushindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kumbe wakatoliki ni wazoefu ktk kubariki ushoga?? Sasa mnalalamika nn??Nonsense, kulishakua na mapapa waovu zaidi ya huyu ila Nguvu ya Mungu haijawahi kushindwa
Hivi ni nchi gani iliyopo hapa duniani kwa sasa ambayo imenusurika na janga la Mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja ??? Ipo nchi kama hiyo??Fr. Ramon Guidetti wa Italy amefukuzwa tar 3 January 2024 baada ya kuhubiri kwamba papa francis anakinajisi kiti cha Mtume Petro (anti-pope) na anatimiza matakwa ya wapinga Kristo.
Hio ilitokea alipokua anahubiria tarehe 31 December 2023 siku iliokua ni kumbukizi ya kifo cha Papa Benedicto wa 16. Alienda mbali zaidi na kusema kwamba Papa Benedicto ndie alikua papa wa kweli lkn huyu wa sasa ni 'Antipope and masonic jesuit'
Ikumbukwe pia wakuu kadhaa ndani ya roman catholic walitumia siku ya trh 31 ambayo ni kumbukumbu ya kifo cha papa benedicto wa 16 kutoa yao ya moyoni dhidi ya uendeshaji potofu wa papa francis wakiwemo makardinali wawili waliokua karibu sana na papa benedicto wa 16
Soma zaidi hapa Italian priest excommunicated for slandering Pope Francis during Mass
Maoni yangu, mapadri, maaskofu wote wanaofukuzwa wafungue kanisa jipya ambalo litafuata kanuni za conservative catholics lkn tu lisimtambue papa kama walivyofanya orthodox, wakifungua hilo kanisa mimi nitakua muumini wa kwanza hapa Tanzania, huyu papa wa sasa 'Tumepigwa'
😃😄😁😆😅🤣😂Ni kweli,kupitia maneno yako nimeiona hiyo shida waliyokupeleka nayo huko Milembe.
Mungu na akupe uponyaji wake urudi ktk hali yako ya kawaida.
mnyama ni mbaya sana, atamtumia kutekeleza ajenda zake na mwisho atamfutilia mbali, kasome Ufunuo wa Yohana 17Papa anaogopa kwenda kinyume na mnyama ili asiuwawe
je ukiambiwa katoliki ni babeli mkuu mama wa makahaba anayelevya wakuu wa nchi kwa mvinyo wa divai yake utaelewaje hapo?Lakini ndiyo watu wema wengi wetu wa 60,70&80s tumezaliwa kwenye hospital zao kuwaje wasitufanyie hayo mambo ya kishetani?
Mkristo yeyote hupaswi kumuona binadamu mwenzako kama kichaka cha shetani cha kufanya muombee arudi kwa Mungu unaemuamini wewe hao unaowaona hapa shetani wao wanakuombea wewe heri usiwe mwepesi kuhukumu.
achana na wasabato hawajui maana ya mnyama na namba 666 wanakanganya sanaWasabato humuhusisha papa na alama ya kishetani ya 666. Wanadai iwe isiwe papa ndiye ataamuru namba hii kutumika na kila mwanadamu ktk dunia hii.
Sasa naanza kuwaamini wasabato.
hawataki kuambiwa ukweli, walishaambiwa huko ni kwa shetani, sasa wameanza kuona ukweli ushetani unavyotetewa na kiongozi waoWala si watukani wapo pale kwa ajili ya kutimiza unabii,
vipi kwa waislam huendi huko?Bro bora kufa mpagani kuliko kwenda kwa hao watu hivi nitakuwa salama hata kujitetea kwa Mungu nitaweza siku akiniita.
kwa hiyo huyu papa ni muovu?Nonsense, kulishakua na mapapa waovu zaidi ya huyu ila Nguvu ya Mungu haijawahi kushindwa
1 yhn 3,8 atendae dhambi ni wa ibilisi;Ungekuwa upo deep kiasi cha kuyajua mengi kunishinda ungeshanielewa pale juu nilipokwambia uombe hekima kwanza ndiyo ujadili haya mambo ya imani.
Imagine huijui hata sekunde moja ya pumzi yako lakini unathubutu kusema hapa kwamba watu fulani ni wa shetani,who are you bro?mimi nitaenda motoni unajuaje kama nitaenda motoni mzee?just kwa sababu ni Mkatoliki?umeujuaje utendaji wa Mungu?umeijuaje hekima ya Mungu ktk kuwahukumu wale waliojitahidi au kujaribu kumtafuta lakini wakawa hawapo sehemu sahihi?
Usijimilikishe wewe ukuu,Mungu ana taratibu zake siyo mimi wala wewe anayezijua itoshe kusema tusali kwa imani zetu tukingoja yajayo hakuna mwenye mamlaka ya kumuhukumu mwenzake.
Nitamuuliza anayeniambia yeye maneno hayo aliambiwa na nani hata mimi nisiyajue au kuyasikia?je ukiambiwa katoliki ni babeli mkuu mama wa makahaba anayelevya wakuu wa nchi kwa mvinyo wa divai yake utaelewaje hapo?
acha ujingaFara wewe
Mimi Mkatoliki nina dhambi sawa sikatai!1 yhn 3,8 atendae dhambi ni wa ibilisi;
Tatizo wakatoliki hata maandiko hamyajui hakuna walaka wa kwanza wa yohana 8,7Mimi Mkatoliki nina dhambi sawa sikatai!
Sasa wewe msafi sana nenda kamsome Yohane huyo huyo ktk Sura ya 8 mstari wa 7 halafu rudi hapa uniambie aliyemkariri alikuwa anakukataza nini na hapa unafanya nini?
Yaani siku mimi nikiwa siyo Mkatoliki nitakuwa either atheist au marehemu hii ipo clearly kabisa Mungu aonae sirini anajua,nilipofikia sina muda wa kwenda kufundishwa jinsi ya kuwa hater na mbinafsi.vipi kwa waislam huendi huko?
Sawa wewe msafi sana usiyekuwa na dhambi na unayejua sana maandiko Matakatifu rudi ktk post yangu nionyeshe wapi nimeandika neno “WARAKA WA KWANZA WA YOHANE”Tatizo wakatoliki hata maandiko hamyajui hakuna walaka wa kwanza wa yohana 8,7