Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
Mungu gan tena?? . .... ..POPE maana yake n baba mtakatifu yaan (mungu wa wakatoliki wote)...nimetoka milembe juz sjamaliza doziHatuwezi kufanya mambo ya Kimungu kwa kukurupuka kama hivi,Kanisa Katoliki mpaka sasa lina sala maalumu kwa ajili ya kuomba muunganiko uliokuwepo zamani urudi kuwe na Kanisa moja sasa tukisema tena wajitenge waanzishe lingine itakuwa ni kuzidi kugawa imani.
Kila kitu kina muda wake personally naungoja muda wa Mungu ufanye kitu kwa huyu Papa maana amekengeuka sana sana sana yaani amezidi,naamini hili litapita salama.
Karibu kwa Gwajiboy na Masanja upate upako, usijifungie huko pekee.Hatuwezi kufanya mambo ya Kimungu kwa kukurupuka kama hivi,Kanisa Katoliki mpaka sasa lina sala maalumu kwa ajili ya kuomba muunganiko uliokuwepo zamani urudi kuwe na Kanisa moja sasa tukisema tena wajitenge waanzishe lingine itakuwa ni kuzidi kugawa imani.
Kila kitu kina muda wake personally naungoja muda wa Mungu ufanye kitu kwa huyu Papa maana amekengeuka sana sana sana yaani amezidi,naamini hili litapita salama.
Awakatalie waliomuweka seriously?kwani akiwakatilia watamfanya nini na ulinzi wa nguvu na imara anao?
Lakini ndiyo watu wema wengi wetu wa 60,70&80s tumezaliwa kwenye hospital zao kuwaje wasitufanyie hayo mambo ya kishetani?Roma catholic ni kichaka cha shetani kutimiza ajenda zake
Wala si watukani wapo pale kwa ajili ya kutimiza unabii,Lakini ndiyo watu wema wengi wetu wa 60,70&80s tumezaliwa kwenye hospital zao kuwaje wasitufanyie hayo mambo ya kishetani?
Mkristo yeyote hupaswi kumuona binadamu mwenzako kama kichaka cha shetani cha kufanya muombee arudi kwa Mungu unaemuamini wewe hao unaowaona hapa shetani wao wanakuombea wewe heri usiwe mwepesi kuhukumu.
Papa benedict sijui ni nini tu kilimlazimu kujiudhuru, na ukicheki francis kasubiri benedict afe ndio afanye yake.Binafsi bado namlilia Benedict wa 16, yule mjerumani hakika alikua ni baraka kwa kanisa kwa nyakati zetu, asante Mungu kwa ajili yake View attachment 2861893
Bro bora kufa mpagani kuliko kwenda kwa hao watu hivi nitakuwa salama hata kujitetea kwa Mungu nitaweza siku akiniita.Karibu kwa Gwajiboy na Masanja upate upako, usijifungie huko pekee.
Acha kuandika bila kufuatilia mambo. Francis alipoingia amewatoa wadhifa watu wengi waliokua wanampinga au kuonesha kumpiga, wamewekwa watu wanaitwa 'mercenaries wake' sasa hao wao ni wanatishia sana.kanisa la roma haliwezi kuwa chini ya masonic kwan ndilo mmiliki halali wa masonic iluminant na jesuits ......😂🤣😅😆😁😄😃.....kiukwel iko hivi papa hawezi kujiamulia tuu na kujifanyia mambo pale vatican...anachokisema ndyo maamuzi halisi ya taasis ya kikatoliki....yaan katoliki iĺivonamfumo imara vile ety papa akurupuke tuu from nowhere kwel jaman wakatoliki wenzangu wa buza tujiulize mara2😅🤣😂......n swal la muda tuu katoliki sio tuu itabariki bali kufunģisha kabisa ndòa za jinsia moja ...narudia n swala la muda tuu....itaua mamilion kama ilivoua karne ya 16 17 na 18 by mm nabii mlokole
Huna unalolijua.Wala si watukani wapo pale kwa ajili ya kutimiza unabii,
Nipo deep kuliko unavyodhani mkuu,Huna unalolijua.
Nadhani omba hekima ya kukaa kimya ikiwa kitu hukijui vizuri hii itakuwa salama zaidi kwako.
Nonsense, kulishakua na mapapa waovu zaidi ya huyu ila Nguvu ya Mungu haijawahi kushindwaWasabato humuhusisha papa na alama ya kishetani ya 666. Wanadai iwe isiwe papa ndiye ataamuru namba hii kutumika na kila mwanadamu ktk dunia hii.
Sasa naanza kuwaamini wasabato.
Jililie nafsi yako wala si Papa sababu kila Mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe.............[emoji3578]Binafsi bado namlilia Benedict wa 16, yule mjerumani hakika alikua ni baraka kwa kanisa kwa nyakati zetu, asante Mungu kwa ajili yake View attachment 2861893
Wasipokuita Msabato au Mlokole sijui......[emoji3578][emoji1745]Roma catholic ni kichaka cha shetani kutimiza ajenda zake
Ila kusema kweli dunia ya leo inahitaji kujenga imani kwenye Neno na sio wote wanaoitwa watumishi wa Mungu wanafanya maagizo ya Mungu.Bro bora kufa mpagani kuliko kwenda kwa hao watu hivi nitakuwa salama hata kujitetea kwa Mungu nitaweza siku akiniita.
"Wasabato mna nini lakini?" Alisikika Masawe Mfia dini kindakindaki akidai anapenda dhehebu flani sababu halimkatazi kunywa mbege na kitimoto...[emoji3578]Hapo ndipo kilipo kiti cha shetani
Watasema "wakati mwingine saa mbovu husema ukweli".......[emoji3578]Wasabato humuhusisha papa na alama ya kishetani ya 666. Wanadai iwe isiwe papa ndiye ataamuru namba hii kutumika na kila mwanadamu ktk dunia hii.
Sasa naanza kuwaamini wasabato.