Padre wa Kanisa Katoliki Italia afukuzwa baada ya kuhubiri kwamba Papa Francis ni 'Masonic' na 'Anti-pope'

Hivi ni nchi gani iliyopo hapa duniani kwa sasa ambayo imenusurika na janga la Mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja ??? Ipo nchi kama hiyo??

Kwa sasa, ni vigumu sana watu kumuelewa huyu Papa, lakini kwa kadiri muda unavyoenda pole pole watu wataanza kumuelewa. Itachukua muda mrefu sana watu kuja kumuelewa fully kabisa juu ya nini hasa huyu Papa anamaamisha kuhusu huu Waraka wake. Ni suala la muda tu. Dunia kwa sasa, hasa watu wengi wa bara la Afrika bado wapo katika denianism stage.
 
je ukiambiwa katoliki ni babeli mkuu mama wa makahaba anayelevya wakuu wa nchi kwa mvinyo wa divai yake utaelewaje hapo?
 
Wasabato humuhusisha papa na alama ya kishetani ya 666. Wanadai iwe isiwe papa ndiye ataamuru namba hii kutumika na kila mwanadamu ktk dunia hii.

Sasa naanza kuwaamini wasabato.
achana na wasabato hawajui maana ya mnyama na namba 666 wanakanganya sana
 
1 yhn 3,8 atendae dhambi ni wa ibilisi;
 
je ukiambiwa katoliki ni babeli mkuu mama wa makahaba anayelevya wakuu wa nchi kwa mvinyo wa divai yake utaelewaje hapo?
Nitamuuliza anayeniambia yeye maneno hayo aliambiwa na nani hata mimi nisiyajue au kuyasikia?
 
Mimi Mkatoliki nina dhambi sawa sikatai!

Sasa wewe msafi sana nenda kamsome Yohane huyo huyo ktk Sura ya 8 mstari wa 7 halafu rudi hapa uniambie aliyemkariri alikuwa anakukataza nini na hapa unafanya nini?
Tatizo wakatoliki hata maandiko hamyajui hakuna walaka wa kwanza wa yohana 8,7
 
vipi kwa waislam huendi huko?
Yaani siku mimi nikiwa siyo Mkatoliki nitakuwa either atheist au marehemu hii ipo clearly kabisa Mungu aonae sirini anajua,nilipofikia sina muda wa kwenda kufundishwa jinsi ya kuwa hater na mbinafsi.

Imani nyingi nje ya Kanisa Katoliki zinashambulia wale wasiokuwa wenzao hazipo kwa ajili ya kujengana kiimani,mtu kumuita mwenzake shetani,kum-provoke anachokiamini au kumnanga siyo mwenzao ni kitu cha kawaida lakini ndani ya Kanisa Katoliki hakuna siku Padre,Askofu au Shemasi atasimama madhabahuni na kusema wale ni wa shetani sisi ni wa Mungu lakini hao wengine tangu mwanzo wa ibada mpaka mwisho wa ibada ni majungu tu.
 
Tatizo wakatoliki hata maandiko hamyajui hakuna walaka wa kwanza wa yohana 8,7
Sawa wewe msafi sana usiyekuwa na dhambi na unayejua sana maandiko Matakatifu rudi ktk post yangu nionyeshe wapi nimeandika neno “WARAKA WA KWANZA WA YOHANE”

Upo huru usije kusema nimerudi ku-edit soma uliponi-quote original post yangu umeishikilia wewe siwezi kui-edit,kama Mungu unayemuamini ndiye amekupa utashi huu ndugu unastahili kujiuliza mara mbili mbili ni Mungu kweli au kitu gani?

Brother hekima,nasisitiza hekima binadamu unayepumua ukikosa kitu kinaitwa hekima wewe ni bure siyo kwa jamii tu hata kwa Mungu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…