Padri asioruhusiwa kumbariki marehemu mkatoliki ambae amefariki bila kuoa leo hii anaruhusiwa kubariki mashoga wakitaka baraka.

Kwa hili la ushoga , kama unasali kanisa hili jitafakari mara mbili ni haibu kwa kanisa kongwe kama RC kufanya maamuzi ya namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…