Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Ndugu Yangu Tuendelee Kulipa Tozo,Haya Ya Huyu Padri Hayaipeleki Tanzania Yetu Popote 😂
 
Wewe ndio hujui hayo ni mashirika mawili tofauti usipende kushupaza shingo ukiwa unatolewa ujinga.
Najua mashirika mawili tofauti ila hapo AJ ni kivuli tu Kila shirika Lina kazi zake
 
Najua mashirika mawili tofauti ila hapo AJ ni kivuli tu Kila shirika Lina kazi zake
Acha stori za vijiweni huyo padri AJ anasoma. Anachofanya jeshini soma hapa
Na hata ukienda nchi nyingine kama kenya wapo mapadri wa majimbo hivyo vidocumentary na story mnazopeana kuhusu jesuits ni matango pori.
I know work with them and entire church.
 
Hana mke na watoto wa kuwahudumia kwa hiyo sioni ajabu hapo. Mwanaume ukiwa huna watoto au mahusiano yoyote ya kimapenzi na wanawake hadi umri huo you can stay focused and achieve a lot in life.
 
... kwa hiyo huo ukamondoo na cheo cha kijeshi (major) anaodaiwa kuwa navyo sio vyao kweli?
Si kweli chief ... miiko ya kipadri ni ngumu mtu kama huyo kufungwa na taasisi nyingine kama jeshi la wananchi Tz
 
Hivi amesomaje upadri akawa mwanajeshi
Haiingii akilini

Then akafikia cheo cha Maj
 
Wamwamini nani? Wakati wengine ni biriani na wali mweupe?. Ishike elimu ili isije ikaenda zake si kuitafuta na tochi mpaka China.
 
Nimeipenda sana hii.
Najivunia ukristo na ukatoliki
 
Akina Kingai, Mahita, Jumanne, Sirro, Goodluck wakisikia sehemu kuna komandoo wanajua ni gaidi
 
Jeshini kuna mashehe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…