Ofcoz kenya walikuwepo wawili nadhani ila marekani na ulaya ni jambo la kawaida sanaJamani kuuliza si ujinga[emoji23]
Kwanza kwenye hiyo article ya Wikipedia Tanzania haijatajwa kama ina Military Ordinariates[emoji23]
Ndipo unapata ule msemo "utajua hujui"[emoji2]Jamaa ana kofia tatu
Padre arch na mwanajeshi na katika picha naona katupia zote [emoji2][emoji2][emoji2][emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123]
Nadhani Military Ordinariates wana sare zao tofauti. Ni maoni yangu tu pia. Cuz hata camouflage za JKU, KVZ, JKT, JWTZ na wale jamaa Presidential hazifanani.Sio wa jeshi letu aisee hiyo camouflage ya Sudan afu ni honorarium hiyo sio chaplain (aisee haya ni mawazo yangu lakini)
Especially Italy[emoji23]Ofcoz kenya walikuwepo wawili nadhani ila marekani na ulaya ni jambo la kawaida sana
Hawa madogo lazima waelimishwe kiukali😬😁Nadhani shirika la Apostles of Jesus sio Jesuit Fathers.
SahihiNadhani Military Ordinariates wana sare zao tofauti. Ni maoni yangu tu pia. Cuz hata camouflage za JKU, KVZ, JKT, JWTZ na wale jamaa Presidential hazifanani.
matusi yametoka wapi tena?Yeye anapokea kupitia mafuta ya mwamposa fala huyu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa madogo lazima waelimishwe kiukali[emoji51][emoji16]
Mtu anakuja na hekaya/ngano zake za Yericko Nyerere alafu anataka tusimrekebishe.
Nadhani shirika la Apostles of Jesus sio Jesuit Fathers.
***** huwa ni wanoko sana na hawana huruma, nimesoma shule ya dini kuna mpuuzi alikuwa anatuzingua sana bila hurumaInawezekana tena hawa hutumiwa vizuri kabisa na serikali kwenye mambo ya unaa kwakuwa hawana family
Tena hapo kwenye hu-ha nasikia wapo wengi sana.Aisee ana mpaka black belt , sio mtu wa mchezo
View attachment 2033107
Haaaaa Haaaaa 😂Inasikitisha sana Mtu anakuja na Uzi wa 'Kumshadadia' Mtu wa Mahaba yake nae halafu katika Maelezo yake marefu kuna Makosa lukuki ya 'Kiuwasilishaji' kama ambavyo umeyaainisha hapa Mkuu.
Umejua Kumuumbua kweli kweli na nadhani aliko sasa anajiona mdogo kama Kidonge cha 'Piriton' tu Kudadadeki zake.
Cc: DIDAS TUMAINI
Ooh.. Ndo maana kuna AJ kule mwishoni.Usidhani ni apostles of jesus
[emoji23][emoji23][emoji23]. Ngoja na mimi niache kufanyana..nianze kutrain na Nirejuvenate my brain.sasa kama hafanyani unategemea nini....
Kuna siku nipo buguruni kwa madenge nikaona watu wametulia barabarani wanaangalia katv....[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapenda story sana.. Kuna mtu huku.. Nahisi alisikia mahali wanasema Pope Francis ni Jesuit Father [emoji23] anaambiwa watu hata papa ni jasusi
Unazifaham combat zote za JWTZ?Hiyo Combat siyo ya nchi yetu aisee...
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nipo buguruni kwa madenge nikaona watu wametulia barabarani wanaangalia katv....
Bwana kuna anashusha hizo nondo za u'jesuit .
Yani full ujinga.
Nikawauliza anaishi wapi wakanionesha,
Nikasema ujinga ni mzigo[emoji1]
Notice nimeandika 'at the same time' na siyo 'walikuwa'Kwani makomandoo ni nani[emoji23]
Mbona kuna mapadre wengi tu walikuwa askari?