Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watumishi wa Mungu wamekuwa wazito kutoa waraka ngoja iwatandike akili ziwakae sawa.Eeee bhana mkuu hizi taarifa za vifo sasa zinatisha !
Msikae kwa kukaribiana..Vitoto hivi ndiyo vibaya sana ndugu yangu, vinabeba Corona huko kwenye matamasha ya tumewasha vinakwenda kuuwa wazazi.
Na mwaka sijakanyaga Kanisani.....Tulijuwa hili VANGAVANGA likianza kujitikisa....sayansi haina UNAFIKIHawa watumishi wa Mungu wamekuwa wazito kutoa waraka ngoja iwatandike akili ziwakae sawa.
Ingekuwa vyema watoe tahadhari kwa waumini ikiwezekana wasisitishe misa zote hadi pale hali itakapotengemaa.
Waraka wa TEC uliotolewa na Mwenyekiti Mhashamu Baba Askofu Nyaisonga haukuuona mkuu? Kanisa kwa upande wake limeeleza kweli tupu na tahadhari zinafuatwa kwa wale wanaoshiriki misa takatifu.Hawa watumishi wa Mungu wamekuwa wazito kutoa waraka ngoja iwatandike akili ziwakae sawa.
Ingekuwa vyema watoe tahadhari kwa waumini ikiwezekana wasisitishe misa zote hadi pale hali itakapotengemaa.
Ha ha ha ha!13. Naye Mungu akaendelea kumfanya Mfalme wa Wadanganyika awe na shingo ngumu asiweze hata kung'amua hatari iliyoko mbele yake. 14. Hayo yote yalifanyika ili anguko lake litimie kwa wakati, naam nalo anguko hilo liwe anguko kuu. 15. Hata waliokuwa wakimdanganya mfalme watamcheka na kusema hawakuwa pamoja naye katika maamuzi yake yenye kukosa hekima.
Chato 3:13-15
Neno la bwana lihimidiwr13. Naye Mungu akaendelea kumfanya Mfalme wa Wadanganyika awe na shingo ngumu asiweze hata kung'amua hatari iliyoko mbele yake. 14. Hayo yote yalifanyika ili anguko lake litimie kwa wakati, naam nalo anguko hilo liwe anguko kuu. 15. Hata waliokuwa wakimdanganya mfalme watamcheka na kusema hawakuwa pamoja naye katika maamuzi yake yenye kukosa hekima.
Chato 3:13-15
Tumrudieni MunguIla mapadre wanapukutika Sana Aisee.
R.i.p
Dah! Padre kijana kabisa! Mwaka juzi tu ndiyo kapata upadrisho kutokea Parokia ya Mtakatifu Augustino - Ukonga!Kila mtu ajilinde, watoto hawawezi kufa ila Wazee watakufa