Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,162
- 705
Usipate shida best, nilihangaika sana ila nikapata solution. tafuta FOR MEN, 3,000/= tu! tena mbili ni 5,000/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Givenchy ni nyoko!!
Jaman mbona sielewi AYU ni mafuta au sabuni? Na inapatikana wapu?
me kuna moja hivi nina wiki naitumia inaitwa OBAMA
Mimi ni mmasai. Kikwetu perfume nzuri ni samuli iliyochanganywa na kinyesi na mkojo wa ng'ombe kigogo, kisha vundika kwa miezi miwili. Ukijipulizia hiyo hata simba, chui, nyati waweza kupiga kiss.wadau naomba tujuzane pafyumu nzuri za wanawake na wanaume ukiweka na bei itakuwa poa sana.
Drakkar Noir ni nzuri waweza ijaribu.Energetic perfume
Perfume ya nini wakati kuna Marashi ya kwenye vichupa kama za kuwekea mikojo.
mimi najua kuanzia 100,000 hadi 1,000,000 za 10,000 sizijui....ninazopenda ni hizo HUGO BOSS,TOMMY HILFIGER,YSL KOUROS,GUCCI ONE,ISSEY MIYAKE,212 MEN,CK[EUPHORIA,OBSESSION,ONE] hizi ndio ninazozipenda bei 100,000-200,000
212 Men nzuri Tsh 5,000/=
daa ugonjwa wangu huu.inategemea unapenda harufu ya namna gani.wengine wanapenda perfume kali,wengine wanapenda iliyopoa.mimi kwa upande wangu napenda iliyopoa,ukimpitia mtu lazima atageuka{natania}nina amini harufu iliyopoa haimkeri mtu yoyoyte unaekaa nae karibu.list ya baadhi ya perfume nilizotumia ni chloe original{nzuri sana}opium{imetulia sana kwa kweli na harufu yake inakaa muda mrefu}burberry{imeshatoka na nyengine}channel{hii kwa upande wangu niliiona kidogo ipo strong}1 million{hii ki ukweli nilitumia ya kiume,niliipenda harufu ya kiume kuliko ya kike}Givenchy{hii niliitumia muda}gaultier by jean paul{this is one of the best} kuna nyengine flower bomb{nzuri sana} na nyengine miss dior{zipo kama 3,ila chaguo langu ni ya rangi ya peach]kwa kuchagua top 3 ni gaulter,opium, na burberry
Aiseee.....!!! Uzuri wa JF huwezi kudanganya hapa usishtukiwe.....!!!!!:confused2::confused2::nono::nono:
Aiseee.....!!! Uzuri wa JF huwezi kudanganya hapa usishtukiwe.....!!!!!:confused2::confused2::nono::nono:
kwa akili yako 212 MEN CAROLINA HERRERA ni tsh 5000!!! acha niendelee kuwa muongo.