Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Naweza kulitumiaje mshana ?
 
Noted...
Nimeipenda hii...💪🏽👍🏽
 
Ndg Mshana nakushukuru kwa Neema ya ufahamu. Naomba kukuliza, nimekutana na baadhi ya wanaojiita watumishi wa MUNGU hususani Manabii, anaweza kuzungumza juu ya maisha yako ya miaka iliyopita na ijayo pasipo kuotea wala kuwa na taarifa yako kabla.

Ni nini hasa kinatokea hapa?
 
 
1. Kuna wenye hicho kipawa asilia
2. Kuna wenye kutumia nguvu za giza na mazingaombwe
3. Kuna wanaotumia janja janja ya kudukua historia yako
4. Kuna matapeli wanaoandaa watu wa kutoa shuhuda za uongo
 
Mkuu Kuna ukweli gani Juu ya haya:
Kuna mahali waliandika kuwa
Clairvoyance and clairaudience za watu zimefunikwa kwa makusudi untill uzaliwe kwa Mara ya pili Yani uwe mtu wa kiroho yaani kiungu Zaid au kichawi zaidi less than that huwezi lifungua Hilo ila Cha zaidi utakuwa ukipokea viishara na usivielew
Mfano waliouweka ili kuwa katika Wing Chun kupigana huku umezibwa macho.

#WAMENICHANGANYA KABISA
 
Mkuu vipi kuhusu nyumba za kisasa zenye choo cha ndani?!.
 
Nimekuona nitakurudia
 
Iko hivi hazijafunikwa kwa makusudi bali maisha tunayoishi ndio hufunika. Bongo zetu ni so powerful lakini zimezingwa na uchafu mwingi hivyo kushindwa kufanya mengi
Ni mpaka pale utakapoanza kujitenga na uchafu wa dunia na kuanza self inner purification ndio utaanza kuingia kwenye ulimwengu mwingine wenye nguvu mno
 
Habari mkuu Mshana Jr Hivi, Jicho la Tatu, linaweza likampa/ kumuwezesha au kumuonyesha mtu mbinu na kumfanikisha kuwa tajiri katika maisha yake na kumpata mke wa ndoto yake?
 
Habari mkuu Mshana Jr Hivi, Jicho la Tatu, linaweza likampa/ kumuwezesha au kumuonyesha mtu mbinu na kumfanikisha kuwa tajiri katika maisha yake na kumpata mke wa ndoto yake?
Hapana litakuonesha your true inner soul na ukishafika hiyo hatua hutatamani ya kidunia tena japo kuna ambao hujiongeza na kulifanyia featuring na kupiga hela za wenye ahida mbalimbali kupitia utabiri na manabii feki
 
Habari mkuu Mshana Jr Hivi, Jicho la Tatu, linaweza likampa/ kumuwezesha au kumuonyesha mtu mbinu na kumfanikisha kuwa tajiri katika maisha yake na kumpata mke wa ndoto yake?
Hapana litakuonesha your true inner soul na ukishafika hiyo hatua hutatamani ya kidunia tena japo kuna ambao hujiongeza na kulifanyia featuring na kupiga hela za wenye ahida mbalimbali kupitia utabiri na manabii feki
 
Habari mkuu Mshana Jr Hivi, Jicho la Tatu, linaweza likampa/ kumuwezesha au kumuonyesha mtu mbinu na kumfanikisha kuwa tajiri katika maisha yake na kumpata mke wa ndoto yake?
Hapana litakuonesha your true inner soul na ukishafika hiyo hatua hutatamani ya kidunia tena japo kuna ambao hujiongeza na kulifanyia featuring na kupiga hela za wenye ahida mbalimbali kupitia utabiri na manabii feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…