Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Kupitia tahajudi.. Hasa tahajudi maizi
And how long unafanya tahajud adi jicho la 3 kufunguka na inachukua miaka? Je kila ukitaka kufungua jicho la tatu adi ufanye tahajud au ukifanya iyo tahajud one time inatosha next time jicho la tatu litakuafunguka automatically bila tahajud
 
Mkuu kufungua
Nitalijibu kwa kirefu kidogo
Ukiachana na imani ya kale ya Wamisri kwamba kumlaza marehemu kifudifudi ni dharau kubwa kuna hizi dhana hapa
1. Dhana ya mbingu na kuzimu
Imani zote zinaongelea maisha baada ya kifo na kwamba mbingu iko juu na kuzimu kuko chini ...hivyo unamlaza marehemu kuelekea kule atakakokwenda
f46f20d3aace00559140d39b69e5c664.jpg

2. Roho inapouacha mwili mawasiliano mengine yote ni kupitia jicho lionalo kwenye ulimwengu usioonekana, hapa kazi ya macho yatazamayo hukoma. ..hivyo kulaza kifudifudi ni sawa na kuliziba
5c5038cdaaa55f92ac7c20d37c7412c3.jpg

3. Binadamu tumeumbwa kusimama, na ku move kuelekea mbele na si kinyume chake hatuendi kinyume nyume kwahiyo hata mawasiliano yetu ya kiroho ni ya kufunguka angani na si chini ya ardhi
b41d1e88587d021845468eb195b367ef.jpg

4. Kuna jinsi nyingine za kumuweka marehemu kama kumsimamisha, kumkalisha kumlaza ubavu ubavu lakini kamwe si kifudifudi
f51644d86d6a3e8a093bfd3f1a104d98.jpg
Jicho la tatu na ile nimewahi sikia inaotwa Astral projection ni vitu viwili tofaut au sawia
 
And how long unafanya tahajud adi jicho la 3 kufunguka na inachukua miaka? Je kila ukitaka kufungua jicho la tatu adi ufanye tahajud au ukifanya iyo tahajud one time inatosha next time jicho la tatu litakuafunguka automatically bila tahajud
With serious practice not less than 18 months
 
Mshana ulisema utanirudia mbona kimya ni mimi rafiki yako[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Sawa rafiki yangu mshana Jr
Hili jicho la tatu ni Nini na mtawezaje kulitumia?
Jicho la tatu ni dhana ya fumbo na esoteric ya jicho la kubahatisha lisiloonekana, ambalo kawaida huonyeshwa kama liko kwenye paji la uso, ambalo hutoa mtazamo zaidi ya macho ya kawaida. Katika mila ya kiroho ya Kihindi, jicho la tatu linamaanisha ajna chakra
Jicho la tatu ni la kiroho na huona ya mbeleni kabla ya jicho la nyama
Watabiri wengi hulitumia sana jicho hilo na hata baadhi ya hawa wanaojiita manabii na mitume japo wao hulipata kupitia ushirikina
 
Jicho la tatu ni dhana ya fumbo na esoteric ya jicho la kubahatisha lisiloonekana, ambalo kawaida huonyeshwa kama liko kwenye paji la uso, ambalo hutoa mtazamo zaidi ya macho ya kawaida. Katika mila ya kiroho ya Kihindi, jicho la tatu linamaanisha ajna chakra
Jicho la tatu ni la kiroho na huona ya mbeleni kabla ya jicho la nyama
Watabiri wengi hulitumia sana jicho hilo na hata baadhi ya hawa wanaojiita manabii na mitume japo wao hulipata kupitia ushirikina
Habari mkuu Mshana Jr Mimi ni muumini mzuri sana wa meditation. Mimi napenda kufanya meditation ya pumzi, Sasa wakati nafanya ile pumzi ninayoivuta taratiiibu kupitia pua huwa naisikia ikipanda kwenye paji la uso kwa ndani (huwa nahisi kiubaridi kikali sana cha aina yake), Je, hiyo ni dalili ya jicho la tatu kufunguka? Au nakosea naweza kujiletea madhara?
 
Habari mkuu Mshana Jr Mimi ni muumini mzuri sana wa meditation. Mimi napenda kufanya meditation ya pumzi, Sasa wakati nafanya ile pumzi ninayoivuta taratiiibu kupitia pua huwa naisikia ikipanda kwenye paji la uso kwa ndani (huwa nahisi kiubaridi kikali sana cha aina yake), Je, hiyo ni dalili ya jicho la tatu kufunguka? Au nakosea naweza kujiletea madhara?
Usivute kwa kulazimisha fanya iwe natural breathing
 
Back
Top Bottom