Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Nazungumzia hizo mkuu
Ni ngumu sana kumwambia mtu nini maana ya wokovu na faida zake kama hajaokoka
Dunia inazunguka na maisha yanakuwa live kwasababu ya nafsi hai....ni kupitia hiyo nafsi hai ndio mambo yote huanzia hapo na ufunguo wake ni hiki tunachokiita jicho la tatu....huyu ndie mtawala wa dunia
 
Nakushukuru sana Mshana jf! pia nimushukuru ndugu Raphew peter kwa mchango mzuri! nimesoma uzi wote na michango yote! nimejifunza kitu! sasa zamani nilikuwa nikiota ndo %78 ilikuwa kweli! hivi karibuni tuliachana na mchumba wangu. tena ameniacha kwa dharau sana! niliumia nikaona niingie kwenye maombi! nilingia na neno toka Yer 31:13 b. baada ya kumaliza kuomba nilijilaza chali kitandani. nilifumba macho, na usingizi ulikuwa unanichukua kwa mbali! ilikuwa mchana. nikaona 11:11 nikajiuliza nn hii? basi kwakuwa nilikuwa nasoma biblia niliamua kufungua Yer 11:11. usiku nikaota kuwa kwa mchumba wangu kuna mtu amevunjika miguu, halafu alinilaumu mimi kuwa nimesababisha! sasa ajabu jana nilimwita huyo binti kumwambia kuwa sio vizuri kununiana! kuachana sio uadui! wakati tunaongea akasema nawahi nyumbani mama amepata ajali amevunjika mguu. nikashangaa sana! sasa hli ndilo jicho la tatu? nifanyeje iliniweze kulitumia vizuri?
 
 
Duu kwanza pole sana
Kuna link kaweka Raphew peter ipitie imeshiba hayo maarifa na inajibu maswali mengi kwa undani
 
I love this point of your argument
 
Me sielewi hapa! Mtawala wa Dunia unamaanisha Lucufer? Huyu si ndio Ametabiriwa atakuja kutawala Dunia! Na si ndio anajicho moja ambalo liko kwenye paji LA uso! Na sasa nyinyi si ndio mnamuandalia mazingira ili akija watu wasitaharuki!
 
Me sielewi hapa! Mtawala wa Dunia unamaanisha Lucufer? Huyu si ndio Ametabiriwa atakuja kutawala Dunia! Na si ndio anajicho moja ambalo liko kwenye paji LA uso! Na sasa nyinyi si ndio mnamuandalia mazingira ili akija watu wasitaharuki!
Hatumuandalii ameshatake cover, jiulize barcode ni kitu gani. . . na kwanini siku hizi mambo mengi ni password...! Jiulize kuhusu biometric nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…