Ninaye soma comment hii 2021, naweza kusema haya uliyoyasema kuwa yanaweza kutoke siku za usoni yametokea na inaweza kuwa ndio mpango huo huo wa Rockfeller family.
We are now at war, the world is struggling to survive. We are at war with COVID-19 which I think it’s one of theirs. Nalihitaji hili jicho la tatu.
Kwa mjmi Mkristo, nawezaje kupractice ili niweze kufunguliwa @Mshana Jr .Kuna mambo mengi sana yananisumbua kichwani mwangu ila nafahamu tu kuwa kuna utatuzi mahala siku za usoni. Mambo ya dini kama nayaelewa na nafika mahala siyaelewi, watu wananiambia ili uielelewe dini usiitafute logic ya kila Mpango wa Mungu hutaaelewa, wanasema wewe amini tu.