Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Iko hivi hazijafunikwa kwa makusudi bali maisha tunayoishi ndio hufunika. Bongo zetu ni so powerful lakini zimezingwa na uchafu mwingi hivyo kushindwa kufanya mengi
Ni mpaka pale utakapoanza kujitenga na uchafu wa dunia na kuanza self inner purification ndio utaanza kuingia kwenye ulimwengu mwingine wenye nguvu mno
Means being Holy ?
 
giphy.gif
Kazi ya jicho la tatu n nn
 
Duh hebu rudia kusoma mada
Habari Mkuu Mshana Jr naomba nikushirikishe kwenye hili, nahitaji msaada wa ushauri.
Mimi Kuna mwanamke nilikuwaga nae kipindi cha nyuma, niliishi nae na tulipendana sana tu na nilimuahidi kua nitamuoa. Lakini ilikuja ikatokea bahati mbaya sikumuoa yeye lakini bado nampenda kuliko hata mke wangu. Sasa alichokifanya amenifanyia mambo ya kiswahili alienda kwa sangoma akanitupia Jini maiti, limeniharibia Kila kitu hadi kiafya limenikalia upande wa kushoto kwenye mbavu.
Kutokana na kusoma elimu hizi za tahajudi na faida zake kua mtu anaweza akafungua Third Eye na kuamsha Kundalini power kupitia meditation, Je, naweza kupractice meditation kwa juhudi ili niziamshe nguvu hizi nijisaidie mwenyewe au mpaka nitibiwe kwanza kwa wataalamu? (Nikimaanisha kua kuopen hiyo Third Eye ili liweze kunisaidia huku hicho kimvuli kikiwa mwilini au hadi kitolewe kwanza?)
Nimeshazunguuka sana kwa waganga, lakini bado tatizo lipo wanatuliza tu then linarudi.
 
Habari Mkuu Mshana Jr naomba nikushirikishe kwenye hili, nahitaji msaada wa ushauri.
Mimi Kuna mwanamke nilikuwaga nae kipindi cha nyuma, niliishi nae na tulipendana sana tu na nilimuahidi kua nitamuoa. Lakini ilikuja ikatokea bahati mbaya sikumuoa yeye lakini bado nampenda kuliko hata mke wangu. Sasa alichokifanya amenifanyia mambo ya kiswahili alienda kwa sangoma akanitupia Jini maiti, limeniharibia Kila kitu hadi kiafya limenikalia upande wa kushoto kwenye mbavu.
Kutokana na kusoma elimu hizi za tahajudi na faida zake kua mtu anaweza akafungua Third Eye na kuamsha Kundalini power kupitia meditation, Je, naweza kupractice meditation kwa juhudi ili niziamshe nguvu hizi nijisaidie mwenyewe au mpaka nitibiwe kwanza kwa wataalamu? (Nikimaanisha kua kuopen hiyo Third Eye ili liweze kunisaidia huku hicho kimvuli kikiwa mwilini au hadi kitolewe kwanza?)
Nimeshazunguuka sana kwa waganga, lakini bado tatizo lipo wanatuliza tu then linarudi.
Nitakujibu kwa kutulia pole sana
 
Swali nje ya topic Mshana Jr. ... unawezaje kujua kama umefanyiwa chuma ulete kwenye chakula au hela?

Unajinasuaje kwenye chuma ulete?

Back to the topic: hii jicho la tatu linahusiana na maono? Hisia kuwa huyu mtu si mzuri au huyu mtu ni mwema? Au zinahusiana na utambuzi wa mambo?

Kuna kipindi huwa inanitokea niko ndotoni napambana na nguvu ambayo nimeitambua kuwa ni nguvu mbaya au za giza. Jinsi ninvyopambana ile nguvu ya upande wa pili inakuwa inanizidi nguvu kwa kupigana inakuwa ni vuta nikuvute kama mieleka au kukabana.

Mara inanijia sauti anza kusali anza kusali na ukemee usipigane hizo nguvu zitakimbia.....

Naanza kusali na kusali nakemea na kukemea zile nguvu zinakuwa kama zinaishiwa nguvu na zinaanza kujiondoa kwangu na kuweka gap kati yetu. Ila mara zinarudi na kunionesha kuwa haziogopi maombi na kama inakuwa inanishiria niachane na hayo maombi maana hayatasaidia mimi kutoka kwenye zile nguvu za giza.

Ila sauti nyingine hainiombei bali inaniambia sali kwanguvu usimsikilize wala usimuangalie wee sali tuu. Nikiendelea kusali woga unaniisha na najiwa na nguvu zaidi na naendelea kusali.

Sasa ishanitokea mara kwa mara nakuwa nasali kwenye ndoto hadi nastuka nakuwa macho na najikuta niko katikati ya sala na nakuwa sina mamlaka au utashi wa kunyamaza. Naendelea kusali hadi ile nguvu iniishe kisha aidha usingizi utakata kabisa au utanipitia baadae.

Waweza nisaidia hapo kuna lolote ambalo nafunuliwa ila sijalitambua. ..... jicho la rohoni linahusika hapo?

Same same to me
 
Habari Mkuu Mshana Jr naomba nikushirikishe kwenye hili, nahitaji msaada wa ushauri.
Mimi Kuna mwanamke nilikuwaga nae kipindi cha nyuma, niliishi nae na tulipendana sana tu na nilimuahidi kua nitamuoa. Lakini ilikuja ikatokea bahati mbaya sikumuoa yeye lakini bado nampenda kuliko hata mke wangu. Sasa alichokifanya amenifanyia mambo ya kiswahili alienda kwa sangoma akanitupia Jini maiti, limeniharibia Kila kitu hadi kiafya limenikalia upande wa kushoto kwenye mbavu.
Kutokana na kusoma elimu hizi za tahajudi na faida zake kua mtu anaweza akafungua Third Eye na kuamsha Kundalini power kupitia meditation, Je, naweza kupractice meditation kwa juhudi ili niziamshe nguvu hizi nijisaidie mwenyewe au mpaka nitibiwe kwanza kwa wataalamu? (Nikimaanisha kua kuopen hiyo Third Eye ili liweze kunisaidia huku hicho kimvuli kikiwa mwilini au hadi kitolewe kwanza?)
Nimeshazunguuka sana kwa waganga, lakini bado tatizo lipo wanatuliza tu then linarudi.
Pole sana lakini je una hakika ndio kafanya hayo? Je una hakika una hicho kiumbe mwilini mwako?
By the way meditation, kundalin n the like ni kwa ajili ya kuondoa uchafu na makandokando yote mwilini ili mwili ubaki kwenye natural state.
Hayo mauchafu ni yale yanayoyokana na makuzi, vyakula, elimu naafundisho mbalimbali starehe nknk
Hicho kilichopo kwako ni mvamizi wa moja kwa moja mwilini mwako, meditation ingeweza kuzuia kabla hakijaingia lakini si baada kwakuwa utakuwa na uwezo gani wa kuanza practice wakati una mvamizi maungoni mwako?
 
Habari Mkuu Mshana Jr naomba nikushirikishe kwenye hili, nahitaji msaada wa ushauri.
Mimi Kuna mwanamke nilikuwaga nae kipindi cha nyuma, niliishi nae na tulipendana sana tu na nilimuahidi kua nitamuoa. Lakini ilikuja ikatokea bahati mbaya sikumuoa yeye lakini bado nampenda kuliko hata mke wangu. Sasa alichokifanya amenifanyia mambo ya kiswahili alienda kwa sangoma akanitupia Jini maiti, limeniharibia Kila kitu hadi kiafya limenikalia upande wa kushoto kwenye mbavu.
Kutokana na kusoma elimu hizi za tahajudi na faida zake kua mtu anaweza akafungua Third Eye na kuamsha Kundalini power kupitia meditation, Je, naweza kupractice meditation kwa juhudi ili niziamshe nguvu hizi nijisaidie mwenyewe au mpaka nitibiwe kwanza kwa wataalamu? (Nikimaanisha kua kuopen hiyo Third Eye ili liweze kunisaidia huku hicho kimvuli kikiwa mwilini au hadi kitolewe kwanza?)
Nimeshazunguuka sana kwa waganga, lakini bado tatizo lipo wanatuliza tu then linarudi.
Mkuu ngoja nikupe wazo labda litakusaidia.....haijalishi nina nguvu za kichawi kiasi gani,kama ninayeenda kumdhuru ana beliefs flani nzuri juu yake nitabounce kimtindo,anaweza kuvamiwa lkn vitu vitamwachia tu.

Sasa wewe kwanza una imani kwamba umefanya kosa,umemchezea then ukaoa mwingine,umejiweka kabisa kwenye upande wa kosa....na subconscious yako ikalihesabu so mlango ukawa wazi kuwa akiniloga vitanipata coz nlichofanya sio sahihi.

Pili ulitoa ahadi,unajilaumu kwanini nilimdanganya.
Sisemi uliyofanya ni sahihi ila nachosema ni sababu conscious yako inaona uliyofanya sio sawa;fanya ivi kamuombe msamaha,ili kuclear conscious yako.

Baada ya hapo sasa ukishaona unajiskia amani umeomba msamaha anza sasa kushughulika na beliefs zote ili hao majini uliowaunda kwenye ubongo wako wayeyuke.coz utakuwa umeenda kwa waganga au makanisani wamekwambia umelogwa na kadhalika,au unaweza tushirikisha pia umejuaje.

Ila dhumuni la meseji hii ni kukwambia kwamba mind yako imeunda hili tatizo na ina uwezo wa kuliondoa,pambana na beliefs zako maana ndizo zinaleta definition then emotions na feelings ambazo zinaunda jambo.

Kumbuka:unapoenda kanisani,kwa mganga,au kunywa madawa kinachokuponya ni IMANI yako juu yao,au dawa na sio vinginevyo.
 
Pole sana lakini je una hakika ndio kafanya hayo? Je una hakika una hicho kiumbe mwilini mwako?
By the way meditation, kundalin n the like ni kwa ajili ya kuondoa uchafu na makandokando yote mwilini ili mwili ubaki kwenye natural state.
Hayo mauchafu ni yale yanayoyokana na makuzi, vyakula, elimu naafundisho mbalimbali starehe nknk
Hicho kilichopo kwako ni mvamizi wa moja kwa moja mwilini mwako, meditation ingeweza kuzuia kabla hakijaingia lakini si baada kwakuwa utakuwa na uwezo gani wa kuanza practice wakati una mvamizi maungoni mwako?
Kwakeli ni Hadithi ndefu, sababu yakujua ni yeye ndio alinifanyia hayo niliambiwa na mchungaji, nikaamua kwenda kwa waganga kama 7 wakanianbia kua kunamwanamke nilikuwa nae lakini nikamuacha then akakasirika na kunifanyia hayo. Lakini Mimi nikilala usiku kunawakati Jicho langu la kiroho linafunguka then namuona mtu mfano wa kivuli cheusi kaingia chumbani mwangu kasimama mlangoni, then napiga kelele (kumbuka nakua nimefumba macho) halafu baada ya kuamka ufahamu wangu unaniambia yule ni mama yangu mzazi, japo alionekana kama kivuli cheusi. Nikaanza kumshutumu kuwa ni mchawi, hili suala lilianza kuleta mgogoro mpaka kwenye familia kumwambia mama ananiroga wakasema kua sasa naanza kuchanganyikiwa.
Niseme tu pamoja na kuambiwa na pastor pamoja na waganga kua nimerogwa na mwanamke nilie kuanae zamani, lakini bado "The Sixth Sense" (Ufahamu) yangu inaniambia kua huyu anaeniijia usiku ni mama. Niliishamuomba msamaha kwa kumuita mchawi na yeye akasema ananiombea tu Kwa Mungu nipone kwani sio mimi nimechezewa tu. Pamoja na yoote yeye hana kinyongo na mimi lakini mwisho wa siku hisia zangu zinamuhisi yeye tu kua anahusika.
(Kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya sana Mantra meditation kwaajili ya kutaka kuopen The Third eye, ndipo matatizo yalipoanza nikaacha. Nilikuwa nimefikia hatua ya paji lauso kuhisi kama Kuna kiwembe hivi kimenichana, hata baada ya kuacha kupractice, ile hali iliendelea, nikishinda mchana kutwa katikati kwenye paji la uso nahisi ki-hali flani kama kuna kiwembe kimenichana. Sasa hivi nikilala usingizi akija mchawi au mwanga tu namuona huku nikiwa nimefumba macho, ila anaonekana kwa taswira ya kivuli na kwenye macho yake yana ng'aa kama tochi.

Nikiwasimulia watu niliyoyaona usiku wananiona kama nataka kuchanganyikiwa.
 
Mkuu ngoja nikupe wazo labda litakusaidia.....haijalishi nina nguvu za kichawi kiasi gani,kama ninayeenda kumdhuru ana beliefs flani nzuri juu yake nitabounce kimtindo,anaweza kuvamiwa lkn vitu vitamwachia tu.
Sasa wewe kwanza una imani kwamba umefanya kosa,umemchezea then ukaoa mwingine,umejiweka kabisa kwenye upande wa kosa....na subconscious yako ikalihesabu so mlango ukawa wazi kuwa akiniloga vitanipata coz nlichofanya sio sahihi.
Pili ulitoa ahadi,unajilaumu kwanini nilimdanganya.
Sisemi uliyofanya ni sahihi ila nachosema ni sababu conscious yako inaona uliyofanya sio sawa;fanya ivi kamuombe msamaha,ili kuclear conscious yako.
Baada ya hapo sasa ukishaona unajiskia amani umeomba msamaha anza sasa kushughulika na beliefs zote ili hao majini uliowaunda kwenye ubongo wako wayeyuke.coz utakuwa umeenda kwa waganga au makanisani wamekwambia umelogwa na kadhalika,au unaweza tushirikisha pia umejuaje.

Ila dhumuni la meseji hii ni kukwambia kwamba mind yako imeunda hili tatizo na ina uwezo wa kuliondoa,pambana na beliefs zako maana ndizo zinaleta definition then emotions na feelings ambazo zinaunda jambo.

Kumbuka:unapoenda kanisani,kwa mganga,au kunywa madawa kinachokuponya ni IMANI yako juu yao,au dawa na sio vinginevyo.
Kwakeli ni Hadithi ndefu, sababu yakujua ni yeye ndio alinifanyia hayo niliambiwa na mchungaji, nikaamua kwenda kwa waganga kama 7 wakanianbia kua kunamwanamke nilikuwa nae lakini nikamuacha then akakasirika na kunifanyia hayo. Lakini Mimi nikilala usiku kunawakati Jicho langu la kiroho linafunguka then namuona mtu mfano wa kivuli cheusi kaingia chumbani mwangu kasimama mlangoni, then napiga kelele (kumbuka nakua nimefumba macho) halafu baada ya kuamka ufahamu wangu unaniambia yule ni mama yangu mzazi, japo alionekana kama kivuli cheusi. Nikaanza kumshutumu kuwa ni mchawi, hili suala lilianza kuleta mgogoro mpaka kwenye familia kumwambia mama ananiroga wakasema kua sasa naanza kuchanganyikiwa.
Niseme tu pamoja na kuambiwa na pastor pamoja na waganga kua nimerogwa na mwanamke nilie kuanae zamani, lakini bado "The Sixth Sense" (Ufahamu) yangu inaniambia kua huyu anaeniijia usiku ni mama. Niliishamuomba msamaha kwa kumuita mchawi na yeye akasema ananiombea tu Kwa Mungu nipone kwani sio mimi nimechezewa tu. Pamoja na yoote yeye hana kinyongo na mimi lakini mwisho wa siku hisia zangu zinamuhisi yeye tu kua anahusika.
(Kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya sana Mantra meditation kwaajili ya kutaka kuopen The Third eye, ndipo matatizo yalipoanza nikaacha. Nilikuwa nimefikia hatua ya paji lauso kuhisi kama Kuna kiwembe hivi kimenichana, hata baada ya kuacha kupractice, ile hali iliendelea, nikishinda mchana kutwa katikati kwenye paji la uso nahisi ki-hali flani kama kuna kiwembe kimenichana. Sasa hivi nikilala usingizi akija mchawi au mwanga tu namuona huku nikiwa nimefumba macho, ila anaonekana kwa taswira ya kivuli na kwenye macho yake yana ng'aa kama tochi.

Nikiwasimulia watu niliyoyaona usiku wananiona kama nataka kuchanganyikiwa.
 
Kwakeli ni Hadithi ndefu, sababu yakujua ni yeye ndio alinifanyia hayo niliambiwa na mchungaji, nikaamua kwenda kwa waganga kama 7 wakanianbia kua kunamwanamke nilikuwa nae lakini nikamuacha then akakasirika na kunifanyia hayo. Lakini Mimi nikilala usiku kunawakati Jicho langu la kiroho linafunguka then namuona mtu mfano wa kivuli cheusi kaingia chumbani mwangu kasimama mlangoni, then napiga kelele (kumbuka nakua nimefumba macho) halafu baada ya kuamka ufahamu wangu unaniambia yule ni mama yangu mzazi, japo alionekana kama kivuli cheusi. Nikaanza kumshutumu kuwa ni mchawi, hili suala lilianza kuleta mgogoro mpaka kwenye familia kumwambia mama ananiroga wakasema kua sasa naanza kuchanganyikiwa.
Niseme tu pamoja na kuambiwa na pastor pamoja na waganga kua nimerogwa na mwanamke nilie kuanae zamani, lakini bado "The Sixth Sense" (Ufahamu) yangu inaniambia kua huyu anaeniijia usiku ni mama. Niliishamuomba msamaha kwa kumuita mchawi na yeye akasema ananiombea tu Kwa Mungu nipone kwani sio mimi nimechezewa tu. Pamoja na yoote yeye hana kinyongo na mimi lakini mwisho wa siku hisia zangu zinamuhisi yeye tu kua anahusika.
(Kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya sana Mantra meditation kwaajili ya kutaka kuopen The Third eye, ndipo matatizo yalipoanza nikaacha. Nilikuwa nimefikia hatua ya paji lauso kuhisi kama Kuna kiwembe hivi kimenichana, hata baada ya kuacha kupractice, ile hali iliendelea, nikishinda mchana kutwa katikati kwenye paji la uso nahisi ki-hali flani kama kuna kiwembe kimenichana. Sasa hivi nikilala usingizi akija mchawi au mwanga tu namuona huku nikiwa nimefumba macho, ila anaonekana kwa taswira ya kivuli na kwenye macho yake yana ng'aa kama tochi.

Nikiwasimulia watu niliyoyaona usiku wananiona kama nataka kuchanganyikiwa.
Huyo unayemuona ndotoni sio mama yako mzazi bali ni mtu anajivika kivuli chake inaitwa coumaflage
 
Kwakeli ni Hadithi ndefu, sababu yakujua ni yeye ndio alinifanyia hayo niliambiwa na mchungaji, nikaamua kwenda kwa waganga kama 7 wakanianbia kua kunamwanamke nilikuwa nae lakini nikamuacha then akakasirika na kunifanyia hayo. Lakini Mimi nikilala usiku kunawakati Jicho langu la kiroho linafunguka then namuona mtu mfano wa kivuli cheusi kaingia chumbani mwangu kasimama mlangoni, then napiga kelele (kumbuka nakua nimefumba macho) halafu baada ya kuamka ufahamu wangu unaniambia yule ni mama yangu mzazi, japo alionekana kama kivuli cheusi. Nikaanza kumshutumu kuwa ni mchawi, hili suala lilianza kuleta mgogoro mpaka kwenye familia kumwambia mama ananiroga wakasema kua sasa naanza kuchanganyikiwa.
Niseme tu pamoja na kuambiwa na pastor pamoja na waganga kua nimerogwa na mwanamke nilie kuanae zamani, lakini bado "The Sixth Sense" (Ufahamu) yangu inaniambia kua huyu anaeniijia usiku ni mama. Niliishamuomba msamaha kwa kumuita mchawi na yeye akasema ananiombea tu Kwa Mungu nipone kwani sio mimi nimechezewa tu. Pamoja na yoote yeye hana kinyongo na mimi lakini mwisho wa siku hisia zangu zinamuhisi yeye tu kua anahusika.
(Kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya sana Mantra meditation kwaajili ya kutaka kuopen The Third eye, ndipo matatizo yalipoanza nikaacha. Nilikuwa nimefikia hatua ya paji lauso kuhisi kama Kuna kiwembe hivi kimenichana, hata baada ya kuacha kupractice, ile hali iliendelea, nikishinda mchana kutwa katikati kwenye paji la uso nahisi ki-hali flani kama kuna kiwembe kimenichana. Sasa hivi nikilala usingizi akija mchawi au mwanga tu namuona huku nikiwa nimefumba macho, ila anaonekana kwa taswira ya kivuli na kwenye macho yake yana ng'aa kama tochi.

Nikiwasimulia watu niliyoyaona usiku wananiona kama nataka kuchanganyikiwa.
Mkuu jaribu zoezi la kutuliza akili kwanza(meditation)…..kila kitu kipo kwa kadiri ya unavokiamini.ukiacha kuvipa attention vitapotelea mbali.
Stop PAYING attention kimawazo kwenye uchawi (unatumia energy yako vibaya,ni sawa na kwenda kununua kwa hela yako vitu ambavyo hiviitaji wala hutovitumia).

fanya meditation sana Kisha Anza kwa makusudi Kabisa kujifatilia unawaza nini,ni rahisi sana kuloose your mind,sababu umewapa power yako watu wengine wakati your mind is in your control.

Achana na third eye kwanza tuliza akili then anza kuwaza kama mtu ambaye is in control of his life.
 
Daaaaah..nashukuru sana braza kwa kuleta udhi huu..binafsi nimekuwa mtu ninaefuatiia mambo makubwa sana hata yale ambayo sina uwezo nayo.. Kitu kikubwa kinachonisukuma ni kutaka kujua kwanin hawa illuminant na freemasonry wanavolitumia jicgo la tatu katk kuona mbali.

Kiukweli wale jamaa wana uwezo wa kusense kitu kitakachotokea hata miaka mia moja ijayo kwa kutumia taswira angavu yenye uwezo ya kuyajua mawazo yako hata kabla hujaamua jambo..

Ndio maana walio wengi walio katika mtandao wa freemasonry na illuminat wanapogundua kuwa wapo katika njia mbovu yenye laana kubwa badae wakitaka kutoka kundini wanakufa mapema hata kabla ya kutimiza ndoto zao za kujikomboa katika ukanda wa satarnic worship ....

Nitawaeleza kwanini hii inatokea;

Kwanza kabisa ikumbukwe kuwa mwanadamu unapozaliwa, hekima yako, ufahamu na maarifa yako yote yapo controlled under pineal gland located near the base of pituitary gland... This is the mainly gland the control circadian rythm with respect to body morphology under specific objectives to bring the body at any deviated conditions....

Hii tezi(pineal gland) ndiyo inayotoa vichochezi maalumu vinavoamsha hali ya meditation in relation to will power to do something....lakin rate ya utoaji wa hormens hizi hupungua kadri umri unavozid kwenda... Nikimanisha kuwa mtoto mdogo anareceive high input on neuro awerenes kuliko mtu mzima simply bcoz your pineal gland stimulation is minimumly to decline....

Yaani upeo wa jicho angavu la 3 hupungua zaid kuliko hali yake na kadri pineal gland inavotoa stimulation za kutosha ndipo neurofunction inakuwa kubwa sana in relation to mind and will power.... Yaani inasemekana mtoto mdogo ana upeo mkubwa wa kusense hata mapepo kuliko mtu mzima kwan neuroinput ni kubwa kwake kuliko mtu mzima.

Ndo mana kuna wakati mwingine mtoto anaweza lia usiku wa manane kuashiria danger cituation lakin kwa kuwa mtu mzima unareceive low pineal gland input ndo manaa will power inakuwa ndogo katika kujua nyakati na majira mazuri na mabaya....

Katika utafiti huo uliofanywa na illuminant katka kuicontrol dunia(watu) ni pamoja na kuzuia au kutokomeza kabisa uwezo wa kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu la mwanadamu linalomuwezesha kujua nyakati na majira yaliyokatika nuru na giza ..

Wamekuja na mpango wa kutokomeza uwezo wa kusisimua uwezo wa pineal gland kutoa vichocheo vinavyoliwezesha jicho la tatu kuona mbali.. Ndio maana illuminant wanalitegemea kama taa imulikayo mbali katika kufanya maamuzi yao....

Wamebuni ni sumu gani watakayompandikizia mwanadamu ili iweze kupunguza uwezo wa kuamsha hisia za jicho la tatu?

1.) Wamegundua kuwa sumu iliyopekee kuwa na uwezo wa kushambulia kwa kasi pineal gland ni FLOURIN and CHLORINE FREE RADICALS ambazo ndio sumu hatari sana katka kutokomeza hali hiyo.. Free radicals ni sumu ambazo huzuia hormones au utendaji kazi mzuri wa pineal gland mwilini hivyo bas vikiwa vinaingizwa mwilini kila siku vitaharakisha kuzuia au kukata kabsa the release of SEROTONIN HORMONES ambazo ndio kiini cha usingizi na MEDITATION KATIKA MAISHA YA MWANADAMU...

Kama mtu atakosa vichocheo hivyo hakika hataweza pata usingizi utakaopelekea kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu.... Ndio mana kadri unavozidi kuwa na umri mkubwa ndipo muda wa kulala unapungua zaidi (unachelewa kulala lakini pia unawahi kuamka) ni tofaut na watoto wadogo...

So FLOURIN na CHLORIN FREE RADICALS zimewekwa katika dawa za meno ambazo kila mwanadamu anatumia kila siku.. Ndio maana kizazi cha sasa hivi uwezo wa kufikiri unapungua simply bcoz of free radicals flourin and chlorin... Ndio maana wataalamu wanasema unapopiga mswaki usimeze dawa ile.. Wana maana yake japo its so sectet to rescure few people..

2.) Wanatumia mionzi ya simu, x rayz na mionzi mingine kupiga katka pineal gland ili kuharibu serotonin production ambayo ndio msingi mkubwa wa kuamsha jicho la tatu ambalo ndio KIINI CHA KUJUA SIRI ZOTE ZA TECHNOLOGY YOTE NA HATA UWEZO WA KUJUA MAMBO YOTE YALIYO KATIKA NURU NA GIZA.. Upungufu wa utendaji kazi wa pineal gland unamfanya mwanadam awe na uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo makubwa... Ukitaka kuaminin jaribu kujiuliza hivi ni kwanini kadri siku zinavozidi kwenda uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unapungua lakini discoveries zinaongezeka??

Technology inakuwa kwa kasi simply becouse operators wanatumia jicho la tatu under ALLIENS TECHNOLOGY IMPLANT inayotumia jicho la tatu.. Mwanadamu anafanya kazi ya kuasemble vifaaaa tu na sio kutengeneza....

That is the big secret kwa wachache lakini ila tulio wengi hatujui how technology inversion inavokuwa....

So my dear brothers and sisterz kuna umuhimu mkubwa sana wa kujua kulitumia jicho la tatu yan ukiweza thibit upotezo wa nguvu za kuliamsha jicho hilo hakika unaweza ukajihisi kuwa wew ni nabiii kumbe ni namna ulivoweza thibit impacts of free radicalson your pineal gland.....

ZIJUE NYAKATI NA MAJIRA KATIKA KUUTAMBUA ULIMWENGU LAKINI HAKIKA HAUTAWEZA MPAKA UJUE NAMNA JICHO LA TATU LILIVYOKUWA NA UWEZO WA KUKUPA UWEZO HUO..

..AMINAAAA
Tuendlee kujifukiza Ganja wazee..
 
Back
Top Bottom