mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Faida ninapata mimi si wananchi, ninawaajiriwa 610 kwenye mashamba yangu na ninachangia pato la taifa.Haina faida yeyote kwa jamii, ulipoteza muda na rasilimali. Umefanikiwa kuwa na uelewa finyu
Paka yule ana confidence balaa yani unamtofautisha na paka wetu. Jamaa kamtishia kamfukuza ila wapi, mi nimeitwa nikarekebishe kitu narudi nakuta jamaa analazimisha paka atoke. Ni wale watu hawana exposure unamuita aje kukusaidia kazi za kutumwa. Haelewi thamani ya paka kwa boss, walipokuja wenyewe wakaongea Kihindi akawafuataJumamosi nilitoka na jamaa flani kwenda kwa Mhindi mmiliki wa kampuni flani kubwa. Baada ya kazi yetu tunataka kuondoka wafanyakazi wakatuita tule, sasa tumekaa sebuleni na paka yuko pale pale hasogei wala hatuachii seat kama paka wa kwetu uswahilini. Yule jamaa akamfukuza ila paka hatishiki nikamkaripia yule bro nikamkumbusha yule paka yuko kwao sisi ndio walugaluga tumedowea tu msosi. Paka mwenyewe anaelewa Kihindi afu jamaa anamuita pussy, nyau wala harespond
Sawa kabisa kukosa exposure halafu ujuaji mwingi , Mwingine humu anasema ana master degree halafu anachangaika hoja mbaya kuhusu paka, kumbe Hana exposure na hajui lolotePaka yule ana confidence balaa yani unamtofautisha na paka wetu. Jamaa kamtishia kamfukuza ila wapi, mi nimeitwa nikarekebishe kitu narudi nakuta jamaa analazimisha paka atoke. Ni wale watu hawana exposure unamuita aje kukusaidia kazi za kutumwa. Haelewi thamani ya paka kwa boss, walipokuja wenyewe wakaongea Kihindi akawafuata
Paka ni boss wako japo unamfuga 😂Mbwa siku zote hua ana behave Kama mtumwa lakin Paka yeye anajionaga Don.
Ndo maana wanasema hamna rafiki mzuri Kama mbwa lakin sio li Paka
Mimi na wewe msomi nani kituko hapa sasa?Usiwe unachangia Mada zilizokuzidi uwezo, unaonekana kituko
Paka mnyama mzuri sanaKuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitajiKuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Kuna kipindi niliona rais wa Ireland anahojiwa nje ya nyumba yake uwanjani anakocheza na mbwa. Rais yuko anahutubia mbwa yuko anamvuta anamuonesha mpira ili wacheze, rais hakumfukuza wala kukerwa na raia walipenda.Safi kabisa, baba anafikiri anachokipenda yeye na familia itakipenda, kutunza familia siyo chakula na mavazi tu. Hata kuheshimu na kujali hobbies za wanafamilia ni sehemu ya majukumu ya baba, utakuta wengine wanachinja wanyama nyumbani huku watoto wanaona na wanaanza kulia sana, sababu wanawapenda wanyama. Watanzania wengi hawana elimu kuhusu tabia za viumbe na ndiyo maana bundi na paka wanahusishwa na Imani potofu za kishirikina.
Kweli kabisa, tabia ya kuonea viumbe wadogo ni matokeo ya kuongezeka ukatili dunianiKuna kipindi niliona rais wa Ireland anahojiwa nje ya nyumba yake uwanjani anakocheza na mbwa. Rais yuko anahutubia mbwa yuko anamvuta anamuonesha mpira ili wacheze, rais hakumfukuza wala kukerwa na raia walipenda.
Raia wanajua yule mbwa wa rais wao ana wivu hata wakija wageni wa kimataifa hapendi wapewe attention zaidi yake. Anataka yeye ndio awe karibu na rais. Wazungu wanaamini ukipendwa na wanyama unakuwa na roho nzuri. Huwezi kuwa unapiga mawe mbwa ukawa na utu. Humanity inaakisiwa kwa unavyowatreat wanyama
Paka wetu hua anakula pale tunapokula hana bajeti maalum, mda mwingine namnyima chakula akamate panya maana wanasumbua sana, nyumba bado kupiga gypsum,
Kibaya zaidi kajifungua watoto mapacha watatu nimevumilia sana juzi nikaenda kuwatupa mbali nimebaki na mama yao tuu, usawa mgumu huu hakuna bajeti yao
Paka washenzi Sana ..anakuona we ndo mtumwa wake.Paka ni boss wako japo unamfuga [emoji23]
Dah usingewatupa jamaniPaka wetu hua anakula pale tunapokula hana bajeti maalum, mda mwingine namnyima chakula akamate panya maana wanasumbua sana, nyumba bado kupiga gypsum,
Kibaya zaidi kajifungua watoto mapacha watatu nimevumilia sana juzi nikaenda kuwatupa mbali nimebaki na mama yao tuu, usawa mgumu huu hakuna bajeti yao
Una kiwango gani cha elimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeah ukishajua ujinga unafanya hivyo, sijui anasubiri go ahead ya wenye mfugo wao?
Inasikitisha na kuhuzunisha,umefanya kitendo kibaya sana kuwatenganisha watoto wa Paka na Mama yao tena wakiwa wadogo na wanahitaji kunyonya na kua chini ya uangalizi wa Mama yao,ni bora ungesubiri wakakua kwanza.Paka wetu hua anakula pale tunapokula hana bajeti maalum, mda mwingine namnyima chakula akamate panya maana wanasumbua sana, nyumba bado kupiga gypsum,
Kibaya zaidi kajifungua watoto mapacha watatu nimevumilia sana juzi nikaenda kuwatupa mbali nibaki na mama yao tu u, usawa mgumu huu hakuna bajeti yao