Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Kwenye hiyo orodha Kuna watu umewaacha
1. Shehe ubwabwa mkuu wa Dar aliyesemaga Mwenda zake Ni zaidi ya mtume.
2. Aliyekua mkuu wa Toronto aliyesemaga mungu aje amshukuru marehemu.
3. Kalamaganda Kabugi
4. Bashite aliyesema anatuzidi vitu vingi hata Kama tumesoma wote.
4. Sanga aliyesema mwendazake aongezewe muda atake asitake.
5. Mzee Halima and Co. aliyepata ulaji wa bwerere
 
Laiti ungejua usingeandika hayo uliyoyaandika.
 
Na Polepole pia
 
Hawa ndio walikuwa wanamvalisha soksi mwendazake na taaluma yao ndipo ilipopotelea wakaamini tumbo linauwezo zaidi ya kichwa sitaweza kusoma kusoma ANDIKO LOLOTE LA HAWA watu maana hata wajukuu wao wanawadharau
 
Sema wapumbavu wenzio, ila wenye akili wanajua wanachoongea
 
kuna usaliti upi tena zaidi ya kuhamisha hela BOT kwa kisingizio cha kutibu aliyekufa ?
 
Kuna watu walikuwa marafiki wa kweli wa SOKOINE lakn miaka 10 baadae waliweka bayana mtazamo wa SOKOINE kuwa haukuwa mzuri

NI SUALA LA MUDA TU NDIO KWANZA TUNA SIKU 100+
 
Sisi tunachojua dhalim hayupo tena duniani
 
Yule wa jalalani alimwita Mwendazake kwamba ni mungu. Hivyo basi hawezi kufanya lolote kinyume zaidi ya kumsifu na kumtukuza.
 
Ngoja mda ufikee wakija kubwabwaja utafuta Hui uzi
 
Unataka mpk ww ujue????hata Hitler anatajwa kila kukicha co hvyo hata iblis pia hutajwa kila kukicha
Usijali hata wewe utaenda na hutorudi ila tofauti ni kwamba hakutakua na wanaokuwewesekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…