Let tell you something, mataifa makubwa hayana time na wewe wala hawajali democracy ya tanzania, wamaangalia maslahi yao hiyo ipo dunia nzima ukiona sehemu wanaforce kuja kuna kitu wanataka sio kwamba wanakupenda sana wewe, kuna nchi kibao zina matatizo kuliko tanzania, rwanda, congo ya kabila, sudani somalia huko middle east na kuna marais wapo madarakani zaidi ya mionho miwili, mbona hawaendi, white people and their nation don't give a fick about you or you democracy, wao wanaalinda interests zao tuu popote pale utakapowaona wapo, tutatue matatizo yetu wenyewe . Its a shame up to now kuna africans wanadhani kuan mtu mweupe atakuka kuwatoa kwenye matatizo yao, hiyo partnership ya lisu na hiyo law firm doesnt mean anything, only make lisu look stupid to voters