Pale Katibu Mkuu wa Guam anaposoma mchezo na kuhamisha Pesa zaidi ya 12Bilion bila kufuata utaratibu, zikitoa Roho ya Bendera inayofuata maembe yake

Pale Katibu Mkuu wa Guam anaposoma mchezo na kuhamisha Pesa zaidi ya 12Bilion bila kufuata utaratibu, zikitoa Roho ya Bendera inayofuata maembe yake

Ni miaka kadhaa imepita leo katika kupitia nyaraka nyeti nikaona suala lililonishangaza sana

Hivi katibu mkuu wa Chama anaweza pata wapi Pesa zaidi ya 10B Tzsh ?

Je ni kwamba alikuwa anawatunzia watu au ni zake ?

Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama Tawala Guam na baadae kuwa Katibu Mkuu kiongozi enzi za Mfalme wa Guam 🇬🇺 aliyedumu mwezi mmoja tu pale nafasini

Aliweza kupata wapi pesa Bilion 10 na zaidi?

Na je Kama ni halali kwanini baada ya kuondoka kwa Mfalme alishirikiana na Tesla kuziondoa benkini bila utaratibu?

Hii benki ichunguzwe maana haikomboi watu Kama inavyojinasibu Bali iitwe benki ya UKOMBAJI siyo UKOMBOZI

Na baada ya kuziondoa kaziweka kwa asset chini ya Majina ya watu wanne

Kinara mmoja ni mropoka hovyo mtandaoni
Mwingine ni Mwaka wa Usukumani mfanya biashara ua madini

MROPOKAJI alijinasibu Ana Mali sana, Yule alompaga kigugumizi Mfalme wa Guam akausoma mchezo akaenda mahakama ya Colorado ikaamuru kwamba aliyeropokewa alipwe,,,

Si Yule Mzilandende akausoma mchezo akawatuma watu kwa msaidizi wa Pope ili Bwana mropokewa asamehe deni! Si Mropokewa ashausoma mchezo kwamba Benk yenye ubia na watu wa Madiba ina Mchele? Akakomaaa sana

Sasa maagizo kupitia jaji wa Colorado anayeheshimika akishirikiana na wenye chembe chembe za Guam gang wakainyang’anya leseni Kampuni ambayo ilipata kuibua mzee wa (nine hundred we will understand each other slowly slowly). Ikabidi mzee wa bendera ya Maemba yake atafte kampuni nyingine, kabla hajakamilisha

Maskin wakati Bendera ikitafta Maembe yake ikaishia kupewa simu ya Kudhoofisha mapafu!!

Swali linabaki kwamba ina maana financial institution za guam zinaweza chakata mchezo hadi 10B ??
Fimbo inayoua nyoka haiwekwi sebuleni, hutupwa mbali kwa sababu ina sumu ya nyoka
 
Ngoja tuwaite wakina dada hawa watuvunjie hizi code
cariha
miss pablo
chawa wa mama
luckyline
Ahaaaaa tangu ulimwengu wa code uanze lazima vichwa kiwake moto.
Haya nini kimekuumiza kichwa yako

1. guam?
2. Mahakama ya colorado?
3.mzilankende?
4. Bendera?
5. Maembe?

Code zote ziko uchi ukitaka nizifungue nitakupoteza zaidi

Mfano nikisema ' mimi sipendi sana kusafiri sababu napenda kubana matumizi' unaelewa nini. Ndo nishajibu no moja. Ahaaa code oyeee
 
Ahaaaaa tangu ulimwengu wa code uanze lazima vichwa kiwake moto.
Haya nini kimekuumiza kichwa yako

1. guam?
2. Mahakama ya colorado?
3.mzilankende?
4. Bendera?
5. Maembe?

Code zote ziko uchi ukitaka nizifungue nitakupoteza zaidi

Mfano nikisema ' mimi sipendi sana kusafiri sababu napenda kubana matumizi' unaelewa nini. Ndo nishajibu no moja. Ahaaa code oyeee
Fungua fungua mkuu
 
Ahaaaaa tangu ulimwengu wa code uanze lazima vichwa kiwake moto.
Haya nini kimekuumiza kichwa yako

1. guam?
2. Mahakama ya colorado?
3.mzilankende?
4. Bendera?
5. Maembe?

Code zote ziko uchi ukitaka nizifungue nitakupoteza zaidi

Mfano nikisema ' mimi sipendi sana kusafiri sababu napenda kubana matumizi' unaelewa nini. Ndo nishajibu no moja. Ahaaa code oyeee

Hiyo ya kwanza isome kinyume
 

Seen bro.

Mambo ni mengi na muda unatosha sana huko kwenye ufalme, watu kudeal na watu.

Hii chain ni ndefu kudeal nayo kwa namna watakavyo wengi watasepeshwa. Na itapigwa mchanganyo na walio nje ya system itawakuta ili kupoteza makelele ya waongozwaji.

Kinachouma wanapiga pesa ndefu na haziwaongezei urefu wa maisha na kibaya hauna amani ya moyoni, na wana kampuni ndio wanaumizwa haswa.

“Anyway do not hurt yourself with the thing you can’t control it”.
 
Back
Top Bottom