I started shouting AFTER SIDE B YA HIO ISHU YA DEBBY MANAGEMENT YA WCB KUTOA TAMKO LAO. Sikutaka kupost then coz wangetumia some of my arguments katika kujisafisha. Nikaacha kwanza wajipakae mavi vizuri ndo nije na hoja zangu. TOFAUTI YENU NA NYIE HII ISSUE MNAIJUA JUU JUU MKO BIASED, HAJAMSOMA DEBBY ALLEGATIONS ZAKE, HAMJASIKILIZA EXPLANATION YA WCB MANAGEMENT, BADO VODACOM HAWAJATOA TAKMO JUU YA ILE MIBANGO YAO OF WHICH KWA JAMBA JAMBA YA LEO KWA HABARI ZA KINA KABISAAA LINAANDALIWA HILO TAMKO.
Fact kwamba Dai alikalia hio ishu kimya inaonesha HE HAS THINGS TO HIDE,kama mtz mwenye haki kwenye utwala huu wa Magufuli asingekaa kimya basi tuuu sababu MAHAKAMA ZIPO, SHERIA ZIPO, SHIGO SIO MUNGU. sheria zipo kumlinda mwananchi na utaratibu wa kupata haki yako upo. Ukiamua kutoutumia sababu kuna mambo yako unafichaficha huo ni uamuzi. Serikali haiwezi kukufosi uchukue haki yako kama huitaki na umeamua kuiwave willingly.
Billboards are part of the endorsement deal na ziko directly related na VODA BRAND. JE NI SAWA KWA GLOBAL BRAND KAMA ILE KUWA NA MBAKAJI KWENYE BILLBOARD YAO? TENA MWENYE RB, NA RB YENYEWE SIO YA BONGO USEME MAGUMASHI YA ULAYA ALIKOKIMBIA, KAMA HANA HATIA KWANINI ASIENDE KUJISAFISHAAA?
BILL COSBY KAMA UMEFATILIA HUJADANDIA SIO KESI MOJA NI SEVERAL LAW SUIT ZIMEKUWA FILED NAE, NA MPAKA KESHO ANASEMA ANASINGIZIWA. NA HAKUNA CASE HATA MOJA ALIOTIWA HATIANI MOJA KWA MOJA KWAMBA SASA COSBY ULIBAKA NENDA RUMANDE. Walaaaaaaaaa! Ila tuhuma tuhuma tu hizi show zake, zimestopishwa, honorary degrees na titles zimekuwa revoked na endorsement deals nyingi wamevunja mkataba. Kwanini sababu tu ANASHUKIWA.
Tuje kwa Dai historia yake kama nilivoieleza huko sina haja ya kurudia. KUBWA LA VODA KUJITAFAKARI JE NI SAHIHI KUWA NA BANGO LENYE MBAKAJI MWENYE RB AKI ADVOCATE BRAND YAO??? KWELI IS THIS WHAT VODA GLOBAL PREACH? THE TWO CASES ARE SIMILAR ATLEAST BILL COSBY HAKUWAHI KUCHUKULIWA VALID RB, NA STATUTES LIMITATION ZA ALLEGATIONS ZAKE NYINGI ZILI EXPIRE 2008 LAKINI DJ WETU EVERYTHING IS PUBLIC AND VALID. HAHAHAAAA.
Na wanawake kujitokeza si Debby kajitokeza au mwanaume yule?
C'mon, stop exaggerating!! Yaani WCB watumie arguments zako kujisafisha kwa ambacho kiliandikwa kwenye gazeti la Amani?! By the way, naona umeleta tena habari za Debby hata kama ulikataa kutumia issue ya Rommy against Diamond!!!
Kuhusu allegations za Debby; how did you know kwamba sijasoma au watu hawajasoma? How did you know kwamba sijasoma au watu hawajasoma kile kinachosemwa ni maelezo ya Sallam wakati yote hayo yapo kwenye social networks?
Kwamba Diamond alikalia hiyo issue coz' he'd something to hide doesn't answer my question kwamba endapo angeenda Mahakamani, Global Publishers wangeweza ku-prove beyond reasonable doubt kwamba alitaka kumtoa mamake kafara?! That's my question....
That's one but second to be a celebrity or politician you need to learn how to ignore tabloids and other news vinginevyo watu wasingefanya kazi nchi hii kila cku ingekuwa kufukuzana na akina Shigongo mahakamani!
Unahoji; je ni sawa Mbakaji kuwapo kwenye billboards? Mosi; Mtuhumiwa atabaki kuwa Mtuhumiwa hadi pale mahakama itakapothibitisha beyond reasonable doubt kwamba mtuhumiwa ametenda kosa! Je, kuna mahakama yoyote iliyothibitisha tuhuma hizo? If not, what if I say lengo lako ni kuchafua watu?
Pili, kwa mara nyingine ni kama una - admit kutumia issue ya Rommy against Diamond manake mara zote unatumia the same Rommy issue!
Your argument about Bill Cosby ulinifanya niirejee post yangu kuangalia ikiwa nimesema amekiri tuhuma zake or anything like that lakini nilichoandika ni suala la wanawake kutoka mbele kutoa tuhuma dhidi ya Cosby; so your argument here is incompatible to what I said!
Kwamba eti naweza kudandia habari juu kwa juu am very sorry to say hunifahamu katika hili! Si tu kwamba mie ni mfuatiliaji mzuri sana wa entertainment na celebs news pengine huenda kuliko wewe lakini pia mimi si mtu wa kuokoteza habari barabarani au kwenye vigazeti aina ya Amani!!
Mwisho umemalizia je, ni sahihi Vodacom kuwa na billboard yenye picha ya "Mbakaji?"
Mosi, in a goodwill... stay professional kwa kum-refer kama mtuhumiwa wa ubakaji kuliko kusema Mbakaji though you can also ignore my advice... no offense!
Second, kwa mara nyingine umethibitisha lengo ni kutumia issue ya Rommy against Diamond coz ' from deep inside your heart hata wewe unafahamu tatizo lako sio billboards bali endorsements kama ambavyo umekiri hapo kabla!
Lakini kama unataka kufahamu nina maoni gani kuhusu uwepo wa Rommy kwenye hizo billboards; jibu Vodacom wanalo coz' I hope wana standard zao kwa issue mbali mbali!!
Lastly, unadai kwamba huna sababu ya kurudia historia ya Diamond ktk kudhalilisha wanawake huku ukijikita sana kuelezea tuhuma za Rommy as if kuna kipya kwenye hizo tuhuma mbali na yale ambayo umeshasema!!
Now tell me, is this some genius way of finally admitting your accusations to Diamond are baseless na ndio maana ukaamua kujikita kwenye accusations dhidi ya Rommy na kumu-implicate Diamond?