Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Hana lolote huyu @lara1! Mange Kimambi anaongoza kwa kukashifu watu kwenye mitandao lakini huyu huyu alishawahi kuleta thread hapa kuwakoga watu jinsi hao hao Vodacom wanavyondhamini Mange... !! Leo hii Vodacom kufanya kazi na Diamond kwake imekuwa nongwa...

Vodacom walisha mnyanganya Mange ile contract kitambo OF WHICH WAS THE RIGHT THING TO DO.
 
Hahahaaa kwa hili nishaomba radhi jamani mbona hivooo. subirini niwe endorsed ndo mtoe haya mambo maana sahivi hata kujiendorse mwenyewe sio rahisi. Mkitumia silaha zote mwanzo wa vita shauri yenu.
Lara 1 huwezi kutuletea drama za kuomba radhi Leo hii kisa unajifanya activist wa haki za wanawake.. kama kweli you feel guilty about this ungeapologize long time!! Unaaplogise leo ili utuzuge na kithread chako hiki cha chuki binafsi na wivu!! Umebugi lara
 
Vodacom walisha mnyanganya Mange ile contract kitambo OF WHICH WAS THE RIGHT THING TO DO.
Hoja yangu ni kwamba ni wewe wewe ambae ulikuja hapa JF kushadadia udhamini wa hao hao Vodacom kwa Mange through u-turn na wakati huo Mange tayari alishakubuhu kwa kukashifu watu!! Ungesema kwamba ulipokuwa unashadadia Mange alikuwa hakashifu watu ningekuelewa lakini leo unataka wenzako ndo wavunjiwe mkataba!!
 
yan mpaka saiv.. team DOMOndi wanaongoza na team malikia wa nguvu inasuasua...hahahah
 
Halafu this is very interesting!! Last week alitokea human activist humu humu JF akilalamika eti Kampuni zinatoa matangazo kwa upendeleo lakini nae akimlenga Diamond!!

Leo tunapata Feminist for the same issue! Nadhani next week tutapata mtetezi wa akina baba hoja ikiwa how come mtu asiyemjali baba ake anapata endorsement!!

KAZI MNAYO, wallah tena!!
 
Hoja yangu ni kwamba ni wewe wewe ambae ulikuja hapa JF kushadadia udhamini wa hao hao Vodacom kwa Mange through u-turn na wakati huo Mange tayari alishakubuhu kwa kukashifu watu!! Ungesema kwamba ulipokuwa unashadadia Mange alikuwa hakashifu watu ningekuelewa lakini leo unataka wenzako ndo wavunjiwe mkataba!!
Ndo yeye, mbona mi najua kitambo tu.
 
hapo unachokifanya ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa,remember THIS IS AFRICA {TIA}

Hizo nguvu zako za bure bora ungezielekeza kwenye kumsaidia mwanamke mwenzako MILLEN MAGESE katika harakati zake za kupambana na ugonjwa sugu wa ENDOMETRIOSIS

Africa no good life,one cigarette five people.
 
Hivi, kati ya Diamond Platnumz na Vodacom TZ nani anamu endorse mwenzake?

For little that I know, it is Diamond Platnumz who endorses the Vodacom brand and not the other way round.

But then again...what do I know? Lil 'ol me....a lonely miserable curmudgeon.
Hahahah swali zuri ukweli ndio huo Voda wanamuhitaji Chibu kuliko Chibu anavyowahitajo Voda
 
Huyu dogo katusuaga kitambo tu

Achaneni na hizi ligi ndogo mnajidhalilisha
1461176584752.jpg
 
Sababu amezungumzia kitu ambacho wanaume tunakifanya tukiona Ni sahihi....!???
Hapana.. Sababu anataka free ride at the back of Diamond's fame bila kujali kwamba wanamharibia mwenzao... Kwenye jamii hii ya kitanzania every man is doing what Diamond has been doing .. Ndiyo maana hata hao akina Wema waliofanyiwa hawakureport..
 
Ulitakiwa kwanza uzungumze na Amisuu Maliki ili hiyo kesi iwe na nguvu..sasa ukisema hujui yuko wapi sijui china inaonyesha kabisa unakurupuka tena umeshindilia kabisa ameathirika kisaikolojia kama vile umemuona, kumbe hata alipo pia hupajui.

Usitumie kauli kama "Shame on you"..coz ukimwambia shame on u wema sepetu, shame on u jokate mwegelo sio kauli nzuri kwao hasa ukizingatia ndio unawategemea wawe mashahidi upande wako dhidi ya mtuhumiwa.

Matukio hayo hapo juu upande wa diamond zaidi ya miaka3 nyuma kabla ya kuwa international na kabla hajakuwa mzazi na kuishi maisha ya familia..

Nakushauri upate na evidence kuhusu labda unyanyasaji anaoufanya kwa mzazi mwenzake(zari) na mtoto wake tiffah ili ushahidi wako upate nguvu ili uweze kushinda kwa kishindo.


Ukikomaa na kesi ya romy jones utafanikiwa sana kuichafua vodacom na romy jones na kwa upande mwingine mashabiki na hata menejiment ya wcb.
Utakuwa maarufu sana japo wengi sana watakuchukia

NB:
Kwa jinsi ninavyomkubali diamond platnumz na wcb najiskia huzuni sana.
Why dont u use plan B?


Umetumia zaidi kashfa ya romy jones kwa ku



Amisuu yupo hai, and kama kesha samehe au hasamehe hio juu yake. Kumpata Amisuu ni rahis mnoo like wanajamii wengine kujitetea unyanyasaji uliofanyiwa na mtu powerful kama Dai sio rahisi iwavyo na iwe itaonekana kama Lara 1 unatafuta kiki.

Miaka mi 3 mbona juziii tenaa tena Voda walitakiwa waingatie hilo. Bill Cosby ameshtakiwa kwa vitu alivofanya 1970s mikabata kanyanganywa jana 2015. Chriss Brown, mpaka kesho ananyimwa endorsement kwa vitu alivofanya back in 7 years apart ya kujisafisha kooote na kuwa activist kwa mda wote huu. Wote aliowa victmise then wana wazazi na familia kabisaa.

Yani mimi Wema na Jokate wala siwategemei kwa lolote uzuri MATUKIO HAY YALIKUWA DOCUMENTED IN INTERVIEWS ZA ONAIR NA MAGAZETI. So kama Lawyer wala hana tabu anamuuliza tu tarehe flani gazeti flani ulikiri kupiga wanawake? Chochote atachojibu hakitosaidia cause gazeti lipo na alikuwa na enough time ya kukanusha ila hakukanushaa. Hahahaaaaaa.

Yanini nikachimbe unyanyasaji ambao pengine haupo au umefichwa wakati KUNA UNYANYASAJI WA KUTOSHA UPO NA HAUKUFANYIWA KAZI, WALA MUHUSIKA KUWAJIBISHWA?

Lat umenihuzunisha sanaa, mwenyewe roho inaniumaaa kichizi cause i am fan wa Dimond as a mucisian, i am a fun of Dimond as a HUSTLER, i respect his HUSTLES ndo maana nilinyamza all these years hoping he will change.

Ila juzi baada ya management yake na yeye kumsafisha Rommy na kumsingizia Debby kawadai helaaa yaani mtu abakwe na kusingiziwa juu IT WAS TIME SOMEBODY SAID SOMETHING, AND I DID.

Debby hajasema vote we mtu mzima jitafakari Debby anaugulia nini moyoni. What if she is telling the truth and the Dj is really a rapist. How many events ana DJ? How many shows? Whata bout vibinti hivi vinavomshobokea kwenye shoo nini hatma yao? Nini kitawakuta? Wengi tu maisha yamevishinda vinakukuruka mjini. Atleast Debby anajielewa. SIO SWALA LA KUPUUZA JUU JUU. Na Vodacom as a BRAND pale wamelamba maviii tena dume la mavi hahaaaaaaa.

Na Dai mara ngapi anawakashifu wanawake redioni? Magazetini. Mnakumbuka ile Lulu nishamlaa. Hahahaaaa! Anaonesha nini kwa vijana wadogo kuwa it is okay kuwafanya mabinti ngazi, kuwadhalilisha redioni kuincrease ratings za vipindi na popularity ya redio. NO IT IS NOT OKAY AND WE CAN NOT BUILD SOCIETY KWENYE HIZI BASIS.

Naona team Dai mmekazanaa insta kuwapost VODA, malizieni cha mwisho mwisho hili limekaa vibaya.
 
Feminazis.mi nlijua ma mbelez tu ndo wapo kumbe hadi huku kitintale.Sasa wewe uanatoa ma allegations bila ushahidi.Kama kweli mtu kafanya makosa makubwa kama hayo.Ukiwa kama activist ungewaorganise hao victims,build a good case then mwende mahakamani mkiwa na evidence zoote,atiwe hatiani afungwe.due process.Lakini kuja kuchafua watu mitandaoni kwa matuhuma mazito kama hayo kwa ushahidi wa stori za magazetini na vijiweni wala sio ustaarabu.Alafu kwa zile posti zako nlihisigi utakua mtu flani hivi na busara zako,nashangaa unaruhusu hisia kutawala akili.hebu mpelekeni mahakamani mumfunge iwe mfano
 
I predict Four Years to come......................................................................Kila jambo lina mwanzo na mwisho......Yaliyokuwa ayasemwi yatasemwa
 
Mpumbavu mkubwa.... mara ngapi diamond anakuwa abused hamfungui mabakuli yenu.. au wanawake ndo binadamu peke yao....

Makampuni yapo kibiashara sana .. wanajua faida watakayoipata kwa Dimond.....

Kama imekuuma sana kawaambie Vodacom wamuendorse shishi baby
 
Back
Top Bottom