Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

We jamaa mbona muongo sana? Branch waliniletea za kuleta nikawaacha kuwalipa 150k mwaka 2019! Toka hapo nimekopa CRDB more than 3 time mkopo na top up 2 si chini ya million 40! Wewe hizi stori zako umezitoa wapi nyasubi?
 
Kampuni imekupa mkopo kwa mfumo ambao sio physically kwa maana haukufika ofisini.

HIyo ni njia inayowapa urahisi sana matapeli kutekeleza mipango yao ya kudhulumu pesa.

Kwasababu kampuni haijui background zako kama wewe una rekodi za utapeli au ni mtu muungwana, na pia ukumbuke kampuni haijui wapi unaishi ili pengine waweze kukufuata ili hatua za huo ustaarabu zitumike.

Hivi katika mazingira hayo unadhani njia ipi ilikuwa ni sahihi kama kampuni kuifanya ili kuhakikisha watu wanarejesha pesa bila kampuni kufilisika?

Kwasababu kwenye hiyo option ya kuweka namba 3 kumbuka upo uwezekano wa tapeli kutumia namba za watu ambao hawapatikani hewani au ni namba ambazo kazisajili yeye ili tu afanikishe jambo lake naada ya hapo line zinatiwa kapuni.

Haya sasa jiweke wewe kwenye hiyo nafasi ya huyo anayekudai, umepewa namba 3 halafu zote ukipiga zimefungiwa na kuna namba nyingine unaziona utaacha kuzitumia?
 
MATANGOPORI
 
Mi sio tapeli tuheshimiane ila ndg Zangu wamedhalilishwa acha waliwe
Wangelipa yasingewakuta hayo yaliyowakuta.

Watu wanapenda hela za kitonga, kwenye mikopo ukiwasetia huo mwanya bila kuweka masharti utadhalilika wewe.

Kulikuwa na kampuni la TALA hapa Tanzania, lilifunga ofisi zao na humu upo uzi ambao watu walikuwa wakipongezana jinsi walivyowatapeli.

Kutapeli hela ya mwingine sio ushujaa. Aliyekupa mkopo ambao ulienda kukusaidia kutatua tatizo lako hakutakiwa kuwa treated namna hiyo.

Kwa kuamua kutolipa mkopo kwasababu umeona njia iliyotumika kupewa mkopo ni rahisi isyokubana unakuwa unawakatili wengine ambao hawana tabia kama yako na wanatumia hiyo mikopo ku solve mambo yao.
 
Ilishawah nitokea. Baada ya yeye kunipigia akanikosa nikamtafuta akaniuliza ww ni na ni vile
 
😛 😛hao branch..nilikopa 18,000 nilichukua mwaka mzima kuwalipa..looh!, meseji zao zikawa zinanijazia simu tu ...nilipoipata nikawalipa yote, ila wanasumbua haloo...usiombe ukwame uchelewe kuwalipa..utakeleka sana...hadi leo sihitaji kukopa kwa mtu😀🙁
 
Uongoo me nilisajilia namba ya mama na ni kawa nimepoka tigo Hadi kufikia laki kwa laini zangu mbili. Hapo kati ni kawa mzito kulipa... So line ikawa na Deni kubwa tu mbona mama alienda nmb kukopa wakamkopesha M 10 bila tatizo lolote. Alaf ile line badae sana nikawa nikiiweka hela wala hawakati tena lile deni
 
Na wewe haiitwi hadhina ni hazina bwana
Hawa wapare bwana
 
Dada dawa ya deni kulipa usijifariji siku ukikanyaga bank ndio utajua najua unajifariji
 
Dada dawa ya deni kulipa usijifariji siku ukikanyaga bank ndio utajua najua unajifariji
We nae Acha kuhemkwa soma uelewe. Namba iliyokopea tigo ilisajiliwa kwa NIDA ya mama. Baada mama alienda bank nmb kukopa na alipewa mkopo.
So Acha kuongea uongo hayo Mambo yako mambeleziii
 
We nae Acha kuhemkwa soma uelewe. Namba iliyokopea tigo ilisajiliwa kwa NIDA ya mama. Baada mama alienda bank nmb kukopa na alipewa mkopo.
So Acha kuongea uongo hayo Mambo yako mambeleziii
Narudia tena dawa ya deni kulipa lipia deni la watu Hilo hamna vya bure duniani yaani unaweka namba ya nida halafu upate mkopo unachekesha wewd
 
Kwamba pori la katavi bado kubwa..? Hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…