Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

usinitishe ww bana au na ww ndo hao hao wanaosambaza taarifa za wateja wao bila ruhusa zao?? binafsi sitarajii kukopa kwaiyo bado nimewapiga tuu..😁
Kabla hawaja anzisha hiyo biashara walisha kaa chini na kupiga hesabu kuwa kuna watu kama wewe. Hivyo wanajua wapi kwa kuwashikia. Endelea kukenua meno ukidhani ww ni mjanja
 
Kabla hawaja anzisha hiyo biashara walisha kaa chini na kupiga hesabu kuwa kuna watu kama wewe. Hivyo wanajua wapi kwa kuwashikia. Endelea kukenua meno ukidhani ww ni mjanja
sasa watanishikaje we vipi eti? kuna app wamenip 20000 wngine 50000 wengine buku saba kuna wa elfu 80000 sio app moja ani mtu anitafute kisa buku 7 😂😂😂
 
Sawa kama hutarajii kukopa bank za tanzania maisha Yako yote sawa ila kama utahitaji kukopa Kaa ukijua hao jamaa washapeleka record zako sababu uliweka nida watanzania wengi hawajui hii kitu na hayo madeni yanapanda Kwa riba Kila mda mliokubalia
Bank zinahitaji security tu ,wewe ukipelekeka hati ya nyumba wanachoangalia ni original?Kama ndio utapewa loan hata kama unadaiwa na dunia
 
Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,

Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa

Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,

Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende 😁😁.

Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Siyo kughafilika bali ni kughadhibika, yaani kuchukizwa. Kughafilika ni kusahau kitu
 
Back
Top Bottom