Pale Pastor anapoteleza ulimi wenye hekima humsahihisha

Out of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
 
Sasa hapo kuna hekima gani au umeanza kuwa mzee wa hovyo

Hapo kalenga watu wenye hizo changamoto

Et just be cz madaktari watakula ndo watu waumwe hovyo.
Kuombea watu wote wapate private car ni ombezi la kimihemko ndugu, kama huelewi ni juu yako
 
Kuombea watu wote wapate private car ni ombezi la kimihemko ndugu, kama huelewi ni juu yako
Ni hivi: hawa ''wachungaji'' wa kileo, wajasiriamali, wanajua woga, tamaa na matamanio ya watu ni nini! Hivyo wanachofanya ni kutumia zile tamaa, woga na matarajio ya waumini wao kupiga fedha. Ndiyo maana husikii watu akihubiri kuacha dhambi kwani wanajua hili halina maslahi kwao.
 
Amen from Miss to Mrs thanks Lord for a kind ness words and to from public car to own a car and from tenant to landlord .
I wish God will be with me to archive it in the Name of Jesus.
Mungu akamwambia Suleman; kwa kuwa hukujiombea utajiri, wala maisha marefu ... hayo yote umepewa. Hatujiombei hivyo ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…