Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kuna maombezi mengine huwa ya kimihemko tu [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuombea watu wote wapate private car ni ombezi la kimihemko ndugu, kama huelewi ni juu yakoSasa hapo kuna hekima gani au umeanza kuwa mzee wa hovyo
Hapo kalenga watu wenye hizo changamoto
Et just be cz madaktari watakula ndo watu waumwe hovyo.
Unatafuta nini hapa?Out of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
Wasioomba kimihemko huomba hivyo kabisaHua wanaombea afya, halafu mengine ni kushauri watu wawe na juhudi kubwa ya kazi
Wewe ndo huelewi kwani kaandika wapi watu wote kwenye andiko lakeKuombea watu wote wapate private car ni ombezi la kimihemko ndugu, kama huelewi ni juu yako
Ringo.Out of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
Ombezi la pastor linamrenga kila mtu na sio watu flani tu, so kuhoji kwamba wapi kasema watu wote ni ufinyu wa kuelewaWewe ndo huelewi kwani kaandika wapi watu wote kwenye andiko lake
Amen! Mungu na akutimizie hitaji la moyo wakoShort and clear prayer, May the Lord bless me to come out of the meaningless life.
Shida/ugumu/ChaosOut of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
Ni hivi: hawa ''wachungaji'' wa kileo, wajasiriamali, wanajua woga, tamaa na matamanio ya watu ni nini! Hivyo wanachofanya ni kutumia zile tamaa, woga na matarajio ya waumini wao kupiga fedha. Ndiyo maana husikii watu akihubiri kuacha dhambi kwani wanajua hili halina maslahi kwao.Kuombea watu wote wapate private car ni ombezi la kimihemko ndugu, kama huelewi ni juu yako
Mungu akamwambia Suleman; kwa kuwa hukujiombea utajiri, wala maisha marefu ... hayo yote umepewa. Hatujiombei hivyo ndugu.Amen from Miss to Mrs thanks Lord for a kind ness words and to from public car to own a car and from tenant to landlord .
I wish God will be with me to archive it in the Name of Jesus.
Watu wote au wahitaji?Ombezi la pastor linamrenga kila mtu na sio watu flani tu, so kuhoji kwamba wapi kasema watu wote ni ufinyu wa kuelewa
Amen amen!!Amen from Miss to Mrs thanks Lord for a kind ness words and to from public car to own a car and from tenant to landlord .
I wish God will be with me to archive it in the Name of Jesus.
Asante sana Joo...Happy New Year na ukawe mwaka wa kheri kwako...Shida/ugumu/Chaos