Palestina ni wahanga, Iran na Israel hawachekani, ila Marekani wapewe maua yao

Palestina ni wahanga, Iran na Israel hawachekani, ila Marekani wapewe maua yao

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ni bahati mbaya kuwa mashariki ya kati mpalestina ni mhanga wa udhwalimu.

Kwamba yalimkuta tokea 1947 huko, kumbe ana uchaguzi upi mwingine?

Kwa hakika Gen Z wamepata funzo:

"Haki hupiganiwa kwa wivu mkubwa hata kama ni kwa kupoteza kila kitu yakiwamo maisha."

Kwamba vita ni rasilimali ziwe za kwako au za kupewa kwani nani asiyejua?

IMG_20240808_105828.jpg


Marekani keshasema hakuna vita mashariki ya kati.

Israel somo kaelewa.

Iran naye bila shaka katambua:

IMG_20240806_210332.jpg


Ng'ombe hanenepi siku ya mnada!
 
98.1 naskiza wachungaji wenu wako smart xnaa kuzungumizia huu mgogoro .yaani wanaongea fact kabisa
 
Jerusalem hekalu liko connected na uislam na uyahudi tuh
 
maua hao.

Kwa kutumia rasilimali za Marekani?

Hiyo mbona yeyote atafanyiza lolote?

Bila Marekani Israel ni wachumba kama wa maafande tu.
Unajifariji tu ila uwezo wa Israel kwenye medani ya kijeshi na intelejensia upo juu sana. Wameweza kuprove mara nyingi sana. Historia inajieleza
 
Unajifariji tu ila uwezo wa Israel kwenye medani ya kijeshi na intelejensia upo juu sana. Wameweza kuprove mara nyingi sana. Historia inajieleza

Rasilimali ndugu.

Bila rasilimali za beberu huyo unayemshobokea ni mchumba tu.

IMG_20240807_213958.jpg


Beberu anastahili maua yake, vinginevyo kungechimbika mashariki ya kati.

Kumbuka imeandikwa:

"Heri wapatanishi ..."
 
Ukienda msikitini maji yako kila mahali unajichotea utakayo

sasa mimi nakuuliza hayo anyouza mchungaji ni maji ya zamzam ??
Kama maji yako msikitini kila.mahali why unatumia maji ya zamzam Maalim?
 
Back
Top Bottom