Palestina ni wahanga, Iran na Israel hawachekani, ila Marekani wapewe maua yao

Palestina ni wahanga, Iran na Israel hawachekani, ila Marekani wapewe maua yao

Wewe huoni hapo kwenye wawili hao kila mmoja kayaagiza na mwingine hadi ya kuazima.

Wawili hao hawachekani. Kwani kwa wawili hao yupi anakohoa Amerika akikohoa?

Kwani wawili hao yupi anapigana wapi na silaha au teknolojia chapa yake?

Ama kwa hakika kwamba katika wawili hao mmoja ni mchokozi mwenye kutegemea kulelewa, huyo ndiye mchumba sasa.

Ama kweli labda heri huyu mwenye kujikakamua angalau kuyanunua kwa pesa zake za ndani.

Au nasema uongo Bwana Utam ?
Usismsumbue tena Bwana Utam jataki tena kusikia breaking newz ya Iran ambazo kila akitoa basi ni breaking news ya onyo😅
 
Usismsumbue tena Bwana Utam jataki tena kusikia breaking newz ya Iran ambazo kila akitoa basi ni breaking news ya onyo😅

Nimeona bila kuwaongeza pale ndugu zetu wa damu akina Ritz, Ustaadh tongwe, Malaria 2, FaizaFoxy kwa majina yao itakuwa ni kutowatendea haki.

Ukiona hivi:

IMG_20240807_195325.jpg


Ujue iko namna!

Hata hivyo vita vya nini zaidi ndugu zangu dhidi ya amani?

Kwa hakika "heri yao walio wapatanishi."
 
Baada ya kusaidiwa na Marekani na West ??

Wewe inaonekana hakuna unachokielewa.

Marekani haiiuzii silaha Israel au kuipa msaada Israel kwa sababu ya huruma, bali inalazimika kufanya hivyo kutokana na nafasi ya wayahudi milioni 7 ambao wengi wao wapo maeneo nyeti, ikiwemo viwanda vya silaha, nchini Marekani.

List of Jewish American businesspeople​







Here are some of the Jewish CEOs of the largest companies in the United States:​

1-Jeff Bezos**, CEO of Amazon
2-Marc Benioff**, CEO of Salesforce
3-Warren Buffett**, CEO of Berkshire Hathaway
4-Larry Fink**, CEO of BlackRock
5-Jamie Dimon**, CEO of JPMorgan Chase
6-David Solomon**, CEO of Goldman Sachs
7-Brian Cornell**, CEO of Target
8-Doug McMillon**, CEO of Walmart
 
Wewe inaonekana hakuna unachokielewa.

Marekani haiiuzii silaha Israel au kuipa msaada Israel kwa sababu ya huruma, bali inalazimika kufanya hivyo kutokana na nafasi ya wayahudi milioni 7 ambao wengi wao wapo maeneo nyeti, ikiwemo viwanda vya silaha, nchini Marekani.

List of Jewish American businesspeople​







Here are some of the Jewish CEOs of the largest companies in the United States:​

1-Jeff Bezos**, CEO of Amazon
2-Marc Benioff**, CEO of Salesforce
3-Warren Buffett**, CEO of Berkshire Hathaway
4-Larry Fink**, CEO of BlackRock
5-Jamie Dimon**, CEO of JPMorgan Chase
6-David Solomon**, CEO of Goldman Sachs
7-Brian Cornell**, CEO of Target
8-Doug McMillon**, CEO of Walmart

Kwa hiyo kumbe wakenya nao wana clout huko maana Obama aliwahi kuwa rais?

Kwamba pia India na Rishi Sunak huko UK?

Hivyo tusiishie hapo Kwa maana kwetu hawa kina Zungu, Rostam, Abood nk si wazawa?

Kwamba ukoloni mambo kesho huu utakuja tutoka mawazoni kweli?
 
Hakuna maua hao.

Kwa kutumia rasilimali za Marekani?

Hiyo mbona yeyote atafanyiza lolote?

Bila Marekani Israel ni wachumba kama wa maafande tu.
Punguza kula mirungi kijana
 
Mmeanza uswahili tayari. Iran ameangalia "The Pros and Cons" za kuishambulia Israel na tayari ameshapata jibu kwa "The balance is tilted against her."

Bila Marekani pale hapakaliki. Kwa maana pangechimbija mpaka juzi yake asubuhi.

Kwamba vita vya nini kutanuka?

Kila mtu akazike wafu wake, tushirikiane kusimamisha vita.

Palestina na Israel waishi kama majirani historia za kutokea kwa Mungu Kila mtu aende kwake na zake.
 
Samahani kama nitakukera lakini sio lengo langu umewahi tumia mihadarati ?
Samahani kama nitakukera lakini siyo lengo langu, unajua upumbavu ni kipaji?
 
Bila Marekani pale hapakaliki. Kwa maana pangechimbija mpaka juzi yake asubuhi.

Kwamba vita vya nini kutanuka?

Kila mtu akazike wafu wake, tushirikiane kusimamisha vita.

Palestina na Israel waishi kama majirani historia za kutokea kwa Mungu Kila mtu aende kwake na zake.
Mbowe alituachia msemo flani "kugeuzia gia angani "
 
Sasa wamemuua mpenda suluhu Haniyeh karithiwa na mpenda vita Sinwar huu ni ujinga pro max na bado wanasubiriwa kuzabuliwa na missile kutoka iran na lebanon intelligence agency inayoiketea taifa maafa zaidi ni intelligence agency famba kwelikweli.
Ni lini huyo Iran atashambulia maanake ana maneno ya kiswahili kibau.
 
Umeanza myahudi wa uwanja wa fisi ?? Mmarekani wiki nzima anahaha kuwabembeleza washirika wake UAE, Qatar, Saudi arabia , Egypt , Oman wazungumze na Iran asimshambulie Muisraeli ,

Muirani amekaa kimya wasiwasi mtupu huko israeli mpaka maji yameanza kugaiwa kwa ration huruhusiwi kununua zaidi ya chupa 6 tu
Ndege zimeahirisha safari , raia wa nje kuondoka

Wewe unapiga debe wenzako wasiwasi mtupu hawajui ni wakati gani kitawaka
Rais mpya wa Iran amepima kina cha maji ameona hawawezi kuvuka mto hivyo amemshauri Ayatollah wakubali yaishe.

Rais huyo anakiri kwamba vita na Israel ni Iran ndio itaumia kwa uchumi wake wa kuunga unga kusambaratika kabisa.

Kwa sasa hivi:
1 US$ = 42,092.50 Iranian Rial.
 
Rais mpya wa Iran amepima kina cha maji ameona hawawezi kuvuka mto hivyo amemshauri Ayatollah wakubali yaishe.

Rais huyo anakiri kwamba vita na Israel ni Iran ndio itaumia kwa uchumi wake wa kuunga unga kusambaratika kabisa.

Kwa sasa hivi:
1 US$ = 42,092.50 Iranian Rial.

Kwani US 1$ = ni Japan ¥ ngapi na US 1$ = Kenya Shs ngapi ndugu?

Labda kama ungependa kutuaminisha Kenya wako vizuri zaidi kiuchumi kuliko Japan?

Usidanganyike na namba ndugu.

Uchumi wa nchi ni zaidi mno ya namba kama hizo ulizoleta hapa.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Ndugu yangu hayo maji yakifanyiwa analysis maabara yana compounds za maji na wala hayana maajabu yeyote.Kinachoyafanya hayo maji ya zamzam na ya mwamposa yawe na thamani hizo ni intrinsic value ya kiimani iliyokuwa attached kwenye maji hayo.Waweza tengenezea pombe,waweza chambia,waweza kunywa kama namna unavyoyatumia maji mengine.
Hizo benefits unazozionesha hapo ni myth tu broo.
As long as unatumia maji ya zamzam huna tofauti na vitukuu vya Mwamposa sema haya yanatokea uarabuni na mengine Kawe.
Na ukiangalia kwa undani,matumizi ya maji haya yanafanana
Itakuwa hukuangalia ile clip ya askari wa customs pale airport Stockholm . Wamefanya analysis zote unazozijuwa wewe na Mwisho wakabaki kushangaa. Wewe na chuki zako zisizo sababu endelea na imani yako ya Mwamposa anayeamini mungu anayekunya
 
Rais mpya wa Iran amepima kina cha maji ameona hawawezi kuvuka mto hivyo amemshauri Ayatollah wakubali yaishe.

Rais huyo anakiri kwamba vita na Israel ni Iran ndio itaumia kwa uchumi wake wa kuunga unga kusambaratika kabisa.

Kwa sasa hivi:
1 US$ = 42,092.50 Iranian Rial.
Umekuwa msemaji wa Raisi wa Iran, Hongera
 
Wewe inaonekana hakuna unachokielewa.

Marekani haiiuzii silaha Israel au kuipa msaada Israel kwa sababu ya huruma, bali inalazimika kufanya hivyo kutokana na nafasi ya wayahudi milioni 7 ambao wengi wao wapo maeneo nyeti, ikiwemo viwanda vya silaha, nchini Marekani.

List of Jewish American businesspeople​







Here are some of the Jewish CEOs of the largest companies in the United States:​

1-Jeff Bezos**, CEO of Amazon
2-Marc Benioff**, CEO of Salesforce
3-Warren Buffett**, CEO of Berkshire Hathaway
4-Larry Fink**, CEO of BlackRock
5-Jamie Dimon**, CEO of JPMorgan Chase
6-David Solomon**, CEO of Goldman Sachs
7-Brian Cornell**, CEO of Target
8-Doug McMillon**, CEO of Walmart

Wewe mwenye akili nakuona umeweka orodha ya Mayahudi wako milioni 7 hapo. Hongera sana
 
Inaelekea hujui kuwa ni aroud miaka 100 tu iliyopita Wayahudi walikuwa wakiomba hifadhi Marekani kama wakimbizi wa Syria wanavyoomba hifadhi Ulaya.

Kiufupi Marekani imekuwa Tajiri miaka mingi tu kabla wayahudi hawajaanza kukimbilia huko
Elewa kwamba kabla ya vita ya kwanza na ya pili ya dunia USSR ndio dola lilikuwa na nguvu sana duniani pamoja na kwamba Marekani na ulaya magharibi walikuwa washindani. Baada ya wayahudi kwenda kwa wingi Marekani ndio taifa hilo likaanza kutawala kila nyanja.
 
Back
Top Bottom