Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Kama maji yako msikitini kila.mahali why unatumia maji ya zamzam Maalim?
Maji ya zamzam utayapata kule msikiti wa Makkah na Madina ni bure .
Maji ya zamzam ni dawa kwani yako pure
Jamaa kayaingiza airport Sweden yakaenda kuchunguzwa , hao wachunguzaji wameshangazwa maji ya ajabu sana , hawajawahi kuyaona