Wanarusha Hawa watu.....Iran hajielewi kabisa na Nina Imani Hana taasisi nzuri ya ujasusi.....na kikubwa ni kwamba inaonekana MOSSAD ni wengi sana IranMOSSAD wapewe maua yao kwa kuweza kusaka na kuua magaidi ndani ya ardhi ya adui wao mkubwa Iran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanarusha Hawa watu.....Iran hajielewi kabisa na Nina Imani Hana taasisi nzuri ya ujasusi.....na kikubwa ni kwamba inaonekana MOSSAD ni wengi sana IranMOSSAD wapewe maua yao kwa kuweza kusaka na kuua magaidi ndani ya ardhi ya adui wao mkubwa Iran
Wanarusha Hawa watu.....Iran hajielewi kabisa na Nina Imani Hana taasisi nzuri ya ujasusi.....na kikubwa ni kwamba inaonekana MOSSAD ni wengi sana Iran
Mossad agents wako karibu kila nchi hapo Middle East, Hasa Iran ambao kwa sasa hivi ni adui wao number mojaWanarusha Hawa watu.....Iran hajielewi kabisa na Nina Imani Hana taasisi nzuri ya ujasusi.....na kikubwa ni kwamba inaonekana MOSSAD ni wengi sana Iran
Hivyo unampangia ashambulie lini haha hahahahaNi lini huyo Iran atashambulia maanake ana maneno ya kiswahili kibau.
Angekuwa anaogopa kufa angefanya alichofanya oktoba 7 ,angezipiga nao na kuwekwa jela na hukumu ya miaka 450 hawa ni freedom fighter yaani wako tayari kuscrifice wao for better ya watu wao.Hivi unategemea Sinwar aache kuendelea kuchimba shimo kwenda chini eti aanze kuwasiliana na hao aliowageuza akili, kwani haogopi kufa
Hata Mandela wazungu walimuita gaidi hata baba wa taifa aliitwa gaidi tatizo ni kuwa katika upande usio wa haki hio ni insult na usaliti kwa akili zako timamuHakuna gaidi mpenda suluhu.
Baada ya Oct 7 Netanyahu aliapa kuwasaka magaidi popote pale na kuwaangamiza.
Huwezi kumlinganisha mandela na wale wendawazimu makatili.Hata Mandela wazungu walimuita gaidi hata baba wa taifa aliitwa gaidi tatizo ni kuwa katika upande usio wa haki hio ni insult na usaliti kwa akili zako timamu
Kwa hiyo Mandela kuwasupport hawa jamaa yeye alikuwa mjinga yaani ukichagua kuwa baridi au moto chagua kimoja sio kuwa vuguvugu huwezi ukampenda Mandela na ukavhukia Apartheid halafu ukaipenda Israel ambayo ni taifa pekee lilisupport kaburu wa south kwa nguvu zote.Huwezi kumlinganisha mandela na wale wendawazimu makatili.
Walichofanya Oct 7 ni zaidi ya ugaidi.
Mandela alikuwa supporter wa Hamas?!Kwa hiyo Mandela kuwasupport hawa jamaa yeye alikuwa mjinga yaani ukichagua kuwa baridi au moto chagua kimoja sio kuwa vuguvugu huwezi ukampenda Mandela na ukavhukia Apartheid halafu ukaipenda Israel ambayo ni taifa pekee lilisupport kaburu wa south kwa nguvu zote.
Ni gaidi aliejificha kwenye kichaka cha u freedom fighterAngekuwa anaogopa kufa angefanya alichofanya oktoba 7 ,angezipiga nao na kuwekwa jela na hukumu ya miaka 450 hawa ni freedom fighter yaani wako tayari kuscrifice wao for better ya watu wao.
Iran yupo overated sana tu of course kwa ulimwengu wa kishetani huyo ndo mkombozi wao na anawezeshwa na lile taifa lingine la kishetani yaani russia.Wanarusha Hawa watu.....Iran hajielewi kabisa na Nina Imani Hana taasisi nzuri ya ujasusi.....na kikubwa ni kwamba inaonekana MOSSAD ni wengi sana Iran
Hata Mandela aliitwa gaidi na pia akakutwa na hatia na akafungwa jelaNi gaidi aliejificha kwenye kichaka cha u freedom fighter
Acha uzuzu basi ilichokuwa inapambania fatah na inachopambania hamas tofauti yake ni nini ???Mandela alikuwa supporter wa Hamas?!
Ngoja niweke hivi wote ni magaidi. Ila hamas wamekubuhu.Acha uzuzu basi ilichokuwa inapambania fatah na inachopambania hamas tofauti yake ni nini ???
Sawa tumekuelewa kuwa akina Mandela walikuwa magaidiNgoja niweke hivi wote ni magaidi. Ila hamas wamekubuhu.
Wanafanya ugaidi halafu wanatumia raia kama kinga kwenye uwanja wa mapambano
Hayo ya akina Mandela umesema weweSawa tumekuelewa kuwa akina Mandela walikuwa magaidi
Hayo ya akina Mandela umesema wewe
Sinwar ni kiongozi wa kundi la kigaidi while Mandela alikua rais wa South Africa na mpigania uhuruKwani tofauti ya Mandela nna kina yahya Sinwar ilikuwa Nini.
Jifunze kutafuta habari za ukweli na kuaminika, na acha kukaririMOSSAD wapewe maua yao kwa kuweza kusaka na kuua magaidi ndani ya ardhi ya adui wao mkubwa Iran
Walipoua gaidi Haniyeh mjini Tehran haukuwa umezaliwa bado?!Jifunze kutafuta habari za ukweli na kuaminika, na acha kukariri