Usismsumbue tena Bwana Utam jataki tena kusikia breaking newz ya Iran ambazo kila akitoa basi ni breaking news ya onyo😅Wewe huoni hapo kwenye wawili hao kila mmoja kayaagiza na mwingine hadi ya kuazima.
Wawili hao hawachekani. Kwani kwa wawili hao yupi anakohoa Amerika akikohoa?
Kwani wawili hao yupi anapigana wapi na silaha au teknolojia chapa yake?
Ama kwa hakika kwamba katika wawili hao mmoja ni mchokozi mwenye kutegemea kulelewa, huyo ndiye mchumba sasa.
Ama kweli labda heri huyu mwenye kujikakamua angalau kuyanunua kwa pesa zake za ndani.
Au nasema uongo Bwana Utam ?
Usismsumbue tena Bwana Utam jataki tena kusikia breaking newz ya Iran ambazo kila akitoa basi ni breaking news ya onyo😅
Baada ya kusaidiwa na Marekani na West ??
Wewe inaonekana hakuna unachokielewa.
Marekani haiiuzii silaha Israel au kuipa msaada Israel kwa sababu ya huruma, bali inalazimika kufanya hivyo kutokana na nafasi ya wayahudi milioni 7 ambao wengi wao wapo maeneo nyeti, ikiwemo viwanda vya silaha, nchini Marekani.
List of Jewish American businesspeople
- NBA's Memphis Grizzlies[88]
- Samuel D. Waksal (1947–), French-born founder of ImClone Systems, Kadmon Corporation[89][90][91]
- Herbert Wertheim (1939–), founder of eye care products manufacturing company Brain Power Incorporated (BPI)[92][93]
- Ron Zwanziger (1954–), Israeli-American founder of diagnostic testing devices manufacturing company Alere, Inc.[94]
- Ivan Seidenberg (1946–), former chairman and CEO of Verizon Communications, partner at Perella Weinberg Partners[144]
- Charlie Shrem (1989–), co-founder of BitInstant (defunct) and Intellisys Capital, former Vice chairman of the Bitcoin Foundation[145][146][147]
- Joel Spolsky (1965–), co-founder of the Stack Exchange Network, founder of Fog Creek Software, creator of Trello[148][149]
- Kirill Tatarinov, Russian-born former CEO of Citrix Systems, Inc., former executive VP of Microsoft Business Solutions[150]
- Jack Tramiel (1928–2012), Polish-born founder of Commodore International and the Atari Corporation (bought from Warner Communications in 1984)[151]
- Alan Trefler (1956–), founder of Pegasystems[152]
- Kenneth D. Tuchman (1959–), founder of TeleTech[153]
- Andrew Viterbi (1935–), co-founder of Qualcomm Incorporated, inventor of the Viterbi algorithm[154]
- Gary Winnick (1947–), founder of telecommunications company Global Crossing[155][156]
- Stephen Wolfram (1959–), British-American founder of Wolfram Research[157]
- Amit Yoran, CEO of Tenable, Inc., former president of RSA Security, former CEO of Netwitness, co-founder of Riptech[158]
- Charles Zegar (1948–), co-founder of Innovative Market Systems (later renamed Bloomberg L.P.)[159]
- John Zimmer (1984–), co-founder of on-demand transportation company Lyft[160]
- Nir Zuk (1971–), Israeli-American co-founder of cybersecurity company Palo Alto Networks[161]
- Henry Crown (1896–1990), founder of the Material Service Corporation (merged with General Dynamics)[1][2]
- Jesse Itzler (1968–), co-founder of NetJets and co-owner of NBA's Atlanta Hawks[3][4]
- Abraham Karem (1937–), Iraqi-born founder of Karem Aircraft[5]
- Si Ramo (1913–2016), co-founder of TRW Inc.[6][7]
- Bernard L. Schwartz (1925–2024), long-time CEO of Loral Space & Communications[8]
- Al Schwimmer (1917–2011), American-Israeli founder of Israel Aerospace Industries[9][10]
Here are some of the Jewish CEOs of the largest companies in the United States:
1-Jeff Bezos**, CEO of Amazon
2-Marc Benioff**, CEO of Salesforce
3-Warren Buffett**, CEO of Berkshire Hathaway
4-Larry Fink**, CEO of BlackRock
5-Jamie Dimon**, CEO of JPMorgan Chase
6-David Solomon**, CEO of Goldman Sachs
7-Brian Cornell**, CEO of Target
8-Doug McMillon**, CEO of Walmart
Myopic mind 😅😅😅Marekani na Israel nani anaye wamuni wote waongo, vita lazima ipo na Israel lazima apigwe tu. US na Israel wanaomba Iran ampige kidogo eti na yule msemaji wa jeshi la Israel kasema Iran atapiga kidogo tu 😄 Sijui wameisha honga huko ili wasipigwe
Punguza kula mirungi kijanaHakuna maua hao.
Kwa kutumia rasilimali za Marekani?
Hiyo mbona yeyote atafanyiza lolote?
Bila Marekani Israel ni wachumba kama wa maafande tu.
Mmeanza uswahili tayari. Iran ameangalia "The Pros and Cons" za kuishambulia Israel na tayari ameshapata jibu kwa "The balance is tilted against her."
Punguza kula mirungi kijana
Samahani kama nitakukera lakini siyo lengo langu, unajua upumbavu ni kipaji?Samahani kama nitakukera lakini sio lengo langu umewahi tumia mihadarati ?
Mbowe alituachia msemo flani "kugeuzia gia angani "Bila Marekani pale hapakaliki. Kwa maana pangechimbija mpaka juzi yake asubuhi.
Kwamba vita vya nini kutanuka?
Kila mtu akazike wafu wake, tushirikiane kusimamisha vita.
Palestina na Israel waishi kama majirani historia za kutokea kwa Mungu Kila mtu aende kwake na zake.
Mbowe alituachia msemo flani "kugeuzia gia angani "
Ni lini huyo Iran atashambulia maanake ana maneno ya kiswahili kibau.Sasa wamemuua mpenda suluhu Haniyeh karithiwa na mpenda vita Sinwar huu ni ujinga pro max na bado wanasubiriwa kuzabuliwa na missile kutoka iran na lebanon intelligence agency inayoiketea taifa maafa zaidi ni intelligence agency famba kwelikweli.
Rais mpya wa Iran amepima kina cha maji ameona hawawezi kuvuka mto hivyo amemshauri Ayatollah wakubali yaishe.Umeanza myahudi wa uwanja wa fisi ?? Mmarekani wiki nzima anahaha kuwabembeleza washirika wake UAE, Qatar, Saudi arabia , Egypt , Oman wazungumze na Iran asimshambulie Muisraeli ,
Muirani amekaa kimya wasiwasi mtupu huko israeli mpaka maji yameanza kugaiwa kwa ration huruhusiwi kununua zaidi ya chupa 6 tu
Ndege zimeahirisha safari , raia wa nje kuondoka
Wewe unapiga debe wenzako wasiwasi mtupu hawajui ni wakati gani kitawaka
Rais mpya wa Iran amepima kina cha maji ameona hawawezi kuvuka mto hivyo amemshauri Ayatollah wakubali yaishe.
Rais huyo anakiri kwamba vita na Israel ni Iran ndio itaumia kwa uchumi wake wa kuunga unga kusambaratika kabisa.
Kwa sasa hivi:
1 US$ = 42,092.50 Iranian Rial.
Itakuwa hukuangalia ile clip ya askari wa customs pale airport Stockholm . Wamefanya analysis zote unazozijuwa wewe na Mwisho wakabaki kushangaa. Wewe na chuki zako zisizo sababu endelea na imani yako ya Mwamposa anayeamini mungu anayekunyaNdugu yangu hayo maji yakifanyiwa analysis maabara yana compounds za maji na wala hayana maajabu yeyote.Kinachoyafanya hayo maji ya zamzam na ya mwamposa yawe na thamani hizo ni intrinsic value ya kiimani iliyokuwa attached kwenye maji hayo.Waweza tengenezea pombe,waweza chambia,waweza kunywa kama namna unavyoyatumia maji mengine.
Hizo benefits unazozionesha hapo ni myth tu broo.
As long as unatumia maji ya zamzam huna tofauti na vitukuu vya Mwamposa sema haya yanatokea uarabuni na mengine Kawe.
Na ukiangalia kwa undani,matumizi ya maji haya yanafanana
Umekuwa msemaji wa Raisi wa Iran, HongeraRais mpya wa Iran amepima kina cha maji ameona hawawezi kuvuka mto hivyo amemshauri Ayatollah wakubali yaishe.
Rais huyo anakiri kwamba vita na Israel ni Iran ndio itaumia kwa uchumi wake wa kuunga unga kusambaratika kabisa.
Kwa sasa hivi:
1 US$ = 42,092.50 Iranian Rial.
Wewe inaonekana hakuna unachokielewa.
Marekani haiiuzii silaha Israel au kuipa msaada Israel kwa sababu ya huruma, bali inalazimika kufanya hivyo kutokana na nafasi ya wayahudi milioni 7 ambao wengi wao wapo maeneo nyeti, ikiwemo viwanda vya silaha, nchini Marekani.
List of Jewish American businesspeople
- NBA's Memphis Grizzlies[88]
- Samuel D. Waksal (1947–), French-born founder of ImClone Systems, Kadmon Corporation[89][90][91]
- Herbert Wertheim (1939–), founder of eye care products manufacturing company Brain Power Incorporated (BPI)[92][93]
- Ron Zwanziger (1954–), Israeli-American founder of diagnostic testing devices manufacturing company Alere, Inc.[94]
- Ivan Seidenberg (1946–), former chairman and CEO of Verizon Communications, partner at Perella Weinberg Partners[144]
- Charlie Shrem (1989–), co-founder of BitInstant (defunct) and Intellisys Capital, former Vice chairman of the Bitcoin Foundation[145][146][147]
- Joel Spolsky (1965–), co-founder of the Stack Exchange Network, founder of Fog Creek Software, creator of Trello[148][149]
- Kirill Tatarinov, Russian-born former CEO of Citrix Systems, Inc., former executive VP of Microsoft Business Solutions[150]
- Jack Tramiel (1928–2012), Polish-born founder of Commodore International and the Atari Corporation (bought from Warner Communications in 1984)[151]
- Alan Trefler (1956–), founder of Pegasystems[152]
- Kenneth D. Tuchman (1959–), founder of TeleTech[153]
- Andrew Viterbi (1935–), co-founder of Qualcomm Incorporated, inventor of the Viterbi algorithm[154]
- Gary Winnick (1947–), founder of telecommunications company Global Crossing[155][156]
- Stephen Wolfram (1959–), British-American founder of Wolfram Research[157]
- Amit Yoran, CEO of Tenable, Inc., former president of RSA Security, former CEO of Netwitness, co-founder of Riptech[158]
- Charles Zegar (1948–), co-founder of Innovative Market Systems (later renamed Bloomberg L.P.)[159]
- John Zimmer (1984–), co-founder of on-demand transportation company Lyft[160]
- Nir Zuk (1971–), Israeli-American co-founder of cybersecurity company Palo Alto Networks[161]
- Henry Crown (1896–1990), founder of the Material Service Corporation (merged with General Dynamics)[1][2]
- Jesse Itzler (1968–), co-founder of NetJets and co-owner of NBA's Atlanta Hawks[3][4]
- Abraham Karem (1937–), Iraqi-born founder of Karem Aircraft[5]
- Si Ramo (1913–2016), co-founder of TRW Inc.[6][7]
- Bernard L. Schwartz (1925–2024), long-time CEO of Loral Space & Communications[8]
- Al Schwimmer (1917–2011), American-Israeli founder of Israel Aerospace Industries[9][10]
Here are some of the Jewish CEOs of the largest companies in the United States:
1-Jeff Bezos**, CEO of Amazon
2-Marc Benioff**, CEO of Salesforce
3-Warren Buffett**, CEO of Berkshire Hathaway
4-Larry Fink**, CEO of BlackRock
5-Jamie Dimon**, CEO of JPMorgan Chase
6-David Solomon**, CEO of Goldman Sachs
7-Brian Cornell**, CEO of Target
8-Doug McMillon**, CEO of Walmart
Inaelekea hujui kuwa ni aroud miaka 100 tu iliyopita Wayahudi walikuwa wakiomba hifadhi Marekani kama wakimbizi wa Syria wanavyoomba hifadhi Ulaya.Elewa pia bila wayahudi hakuna Marekani imara
Elewa kwamba kabla ya vita ya kwanza na ya pili ya dunia USSR ndio dola lilikuwa na nguvu sana duniani pamoja na kwamba Marekani na ulaya magharibi walikuwa washindani. Baada ya wayahudi kwenda kwa wingi Marekani ndio taifa hilo likaanza kutawala kila nyanja.Inaelekea hujui kuwa ni aroud miaka 100 tu iliyopita Wayahudi walikuwa wakiomba hifadhi Marekani kama wakimbizi wa Syria wanavyoomba hifadhi Ulaya.
Kiufupi Marekani imekuwa Tajiri miaka mingi tu kabla wayahudi hawajaanza kukimbilia huko
Kwa jeuri ya USA bado Ukraine kamdindia Russia.
Kwamba, nje ya dola ccm ni wachumba si ndiyo?.