Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Mayweather haivi na Wilder, hii ni baada ya May kutoa negative comment kwenye pambano la kwanza la Wilder dhidi ya Fury akimaanisha Fury kashinda (ni kama ambavyo Mwakinyo alivyochukia kukosolewa na Matumla).

Mike Tyson ni lazima awe upande wa Fury kwakuwa historia ya jina la 'Tyson Fury' limetokana na Mike Tyson, ni kama idol wake. Pia Wilder inaonesha hamuheshimu Mike Tyson, niliona anaulizwa mabondia gani watano wa muda wote anaowakubali akawataja Joe Louis, Shaver, George Foreman, Muhammad Ali na EvanderView attachment 1362721

Sent using Jamii Forums mobile app
Tyson na uzee bado ukimwangalia huo mkono wake ni chuma hasa, unaweza jua waliomkuta akiwa kijana walikutana na mtiti gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nasikia floyd ana ka jelous flani kwa wilder, hata mike tyson. wanapenda wao ndo waendelee kua great blackboxers
Mike Tyson lazima awe upande wa Furry

Wilder aliulizwa endapo angekutana na Tyson wa mwaka 1986 ingekuaje, Wilder kajibu Tyson ana bahati sana kutokukutana nae maana angemuua kabsa, sasa kwa conment kama hii unazan Tyson atakua upande wa wilder?

ONE CHAMPION

ONE FACE

ONE NAME

Screenshot_20200219-231704.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utabiri wa Mastaa/Wadau mbalimbali wa Combart Sports juu ya hili pambano;


1. Bob Arum (Boxing Promoter)--- Fury
2. Dana White (UFC director)--- Fury
3. Floyd Mayweather (Boxer)---Fury
4. David Haye (Retired Boxer)---Wilder
5. Paul Maligagi (Boxer)---Fury
6. Triple H (Wrestler)---Fury
7. Mike Tyson (Retired Boxer)---Fury
8. Mc Gregor (UFC Fighter)---Fury
9. Anthony Joshua (Boxer)---Fury
10. Ben Davison (Boxing Coach)---Fury
..........list itaendelea




NB: Naona wadau wengi hawaamini kama Wilder anaweza kummaliza Fury kwavile alishindwa kufanya hivyo kwenye pambano la kwanza wakati Fury akiwa kwenye worst shape, hivyo wanaamini kwavile Fury ni better boxer atamshinda kwa kumuoutbox Wilder kama alivyofanya kwenye pambano la kwanza na ukizingatia kwa sasa yupo kwenye his best shape, only way Wilder anaweza kushinda ni endapo atafanikiwa kumpiga KO, kitu ambapo sio kirahisi kwakuwa Wilder hana accuracy nzuri kwenye punch zake na pia Fury is the master of defence.



... Anyway huo ni mtazamo wao, kwangu mimi still naamini Wilder atashinda kwa KO, sio rahisi kutofanya makosa ya defence kwa round zote 12, kosa moja tu dhidi ya Wilder linaweza kufanya upoteze pambano, no matter how u outboxed him

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa kabisa why fury kapewa odd zaidi
 
Inaonekana pambano hili litakua kali sana kama lile la mayweather na pacqao

It's Scars
 
Back
Top Bottom