kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Hii habari tulishaipenyeza CAF na mrejesho ulikuwa mzuri tu. Tusubiri wakati ukifika watakuja na maelekezo yaliyoonyoka hasa kwenye mashindano yao.NImeuangalia mchezo vyema napata mashaka kidogo kwa wachezaji wa timu fulani ni lazima tff wafanye vipimo vya ghafla kwa kuwapima madawa haramu yaliyopigwa marufuku michezoni kuna kila dalili hili jambo linafanyika katika ligi yetu si kwa pumzi zile........
Tunataka mechi halali zisizo na hila!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;NImeuangalia mchezo vyema napata mashaka kidogo kwa wachezaji wa timu fulani ni lazima tff wafanye vipimo vya ghafla kwa kuwapima madawa haramu yaliyopigwa marufuku michezoni kuna kila dalili hili jambo linafanyika katika ligi yetu si kwa pumzi zile........
Tunataka mechi halali zisizo na hila!
Haya anzisheni huko tuitikie "unaifungaje eeeee!"NImeuangalia mchezo vyema napata mashaka kidogo kwa wachezaji wa timu fulani ni lazima tff wafanye vipimo vya ghafla kwa kuwapima madawa haramu yaliyopigwa marufuku michezoni kuna kila dalili hili jambo linafanyika katika ligi yetu si kwa pumzi zile........
Tunataka mechi halali zisizo na hila!
Hahaha! Daah!! Kumbe sikuwa mwenyewe kwenye hayo mawazo.NImeuangalia mchezo vyema napata mashaka kidogo kwa wachezaji wa timu fulani ni lazima tff wafanye vipimo vya ghafla kwa kuwapima madawa haramu yaliyopigwa marufuku michezoni kuna kila dalili hili jambo linafanyika katika ligi yetu si kwa pumzi zile........
Tunataka mechi halali zisizo na hila!
Ila kule kuna jina moja tu ni funika bovu.Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)View attachment 3142186
Ngumu kumesa😀Hamna dawa zozote ni mazoezi tu na kujituma.
Ni kweli jamaa wana energy lakini Goli kipa huwa anaipandisha timu mbele pia ni jambo jemaHahaha! Daah!! Kumbe sikuwa mwenyewe kwenye hayo mawazo.
Kipindi cha pili kilipoanza nilihisi kitu kama hicho.
Kaazi kweli kweli.
Itafahamika tu ingekuwa kuliko endelea wangekuwa tayari siku nyingi!Hamna dawa zozote ni mazoezi tu na kujituma.
Maisha yamekuwa magumu ghafla!Mangungu anasoma hii habari huku anashushia na kamnywesho. Kama wanachama wako wana akili hizi kubaki madarakani ni uhakika.
Mzeoa vya kunyonga!Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)View attachment 3142186
Single ya mwezi!Haya anzisheni huko tuitikie "unaifungaje eeeee!"View attachment 3142218
Hakika kunahitajika madaktari wa kuwapima mkojo!Yanga wana pumzi kubwa haswa.
Pamoja na kuwa pungufu pengo halikuonekana kabisa.
Lisemwalo lipo.........Hahaha! Daah!! Kumbe sikuwa mwenyewe kwenye hayo mawazo.
Kipindi cha pili kilipoanza nilihisi kitu kama hicho.
Kaazi kweli kweli.
Litaje mkuu........Ila kule kuna jina moja tu ni funika bovu.