Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Putin hawezi kukamatwa kwenye Nchi dhaifu kama Mongolia,Malawi na majirani zake huyo mtu atue kwa hao jamaa waliotengeneza hiyo sheria anaenda pana yule Rais mmoja alikamatwa akiwa na miaka zaidi ya 80 kwa makosa haya haya ya kivita hao Mabeberu wakishakupa hiyo kesi sio leo ila utakamatwa tu labda ufe..
 
Screenshot_20240831_121056.jpg
Screenshot_20240831_121056.jpghuyu hamaa kakimbilia wapi
 
Wanajamvi,

Mongolia ni Taifa ambalo limesaini makubaliano ya kuwakamata wale wote ambao wana “arrest warrant” ya ICC, ambao watafika kwenye taifa lao.

Mfano European Commission imeitaka Mongolia wamkamate Putin na kumkabidhi kwa waendesha mashitaka wa ICC

Pia, soma: Mahakama yaitaka nchi ya Mongolia kumkamata Putin

Lakini bado Putin ametua huko Mongolia kibabe bila kujali.

Hapa najiuliza kama kweli hii ICC ina meno ya kukamata wababe wa hii dunia zaidi ya kina Ruto.

==========

View attachment 3085518
Russian President Vladimir Putin visits Tubten Shedrub Ling datsan in Kyzyl, Republic of Tyva, Russia, Monday, Sept. 2, 2024. (Kristina Kormilitsyna, Sputnik, Kremlin Pool Photo via AP)

Russian President Vladimir Putin arrived Monday in Mongolia, a member of the international court that issued an arrest warrant for him.

The official visit, in which he is to meet Tuesday with Mongolian leader Ukhnaa Khurelsukh, is Putin’s first to a member country of the International Criminal Court since it issued a warrant for his arrest nearly 18 months ago on charges of war crimes in Ukraine.

Ukraine has called on Mongolia to arrest Putin and hand him over to the court in The Hague. A spokesperson for Putin said last week that the Kremlin isn’t worried about the visit.

Members of the international court are bound to detain suspects if an arrest warrant has been issued, but the court doesn’t have any enforcement mechanism.

Mongolia, a sparsely populated country between Russia and China, is heavily dependent on the former for fuel and electricity and on the latter for investment in its mining industry.

The ICC has accused Putin of being responsible for the abductions of children from Ukraine, where the fighting has raged for 2½ years.

Putin and the Mongolian leader on Tuesday are to attend a ceremony marking the 1939 victory of Soviet and Mongolian troops over the Japanese army that had taken control of Manchuria in northeastern China.

Thousands of soldiers died in months of fighting in a dispute over where the border was between Manchuria and Mongolia.

Though Putin has faced international isolation over the invasion of Ukraine, he visited North Korea and Vietnam in June and has also visited China twice in the past year.

He joined a meeting in Johannesburg by video link last year after the South African government lobbied against him showing up for the BRICS summit, a group that also includes China and other emerging economies. South Africa is an ICC member.

AP
ICC ni kwa wale nchi za Magharibi isiopenda tu kijana, hasa viongozi wa Africa.Kwanza mjanja hajiungi na ICC. Ingekuwa ICC ni mahakama ya kiukweli Marekani ingekuwa signatory na Putin analijua hili.Afterall Putin has done nothing wrong,ni "uzushi" tu wa nchi za Magharibi.Na Marekani sio signatory because she knows it is a sham.

Nchi za Magharibi hasa US zina commit atrocities nyingi sana worldwide,but have never been held accountable.It is estimated that the US has killed >20 million people in its many wars worldwide. The US generally kills with impunity.The ICC ni kwa ajili ya wadanganyika kijana.
 
Hata wakisema wamkamate, hakuna anga watapitia ili kumtoa Mongolia.
Mongolia imepakana na Russia kwa upande mmoja na upande mwingine China.
Na hawata weza hata kumfungia humo humo maana kitakacho wapata hakina mfano wake, nimewaza sana nikakosa jibu.
 
Putin hawezi kukamatwa kwenye Nchi dhaifu kama Mongolia,Malawi na majirani zake huyo mtu atue kwa hao jamaa waliotengeneza hiyo sheria anaenda pana yule Rais mmoja alikamatwa akiwa na miaka zaidi ya 80 kwa makosa haya haya ya kivita hao Mabeberu wakishakupa hiyo kesi sio leo ila utakamatwa tu labda ufe..
Wamuarike tu na uhakika ataenda kama atapenda.
Maana haipo dhiara ya rais ya kujiendea tu Nchi yoyote Ile lazima kuwe na mwaliko. Hivyo wakimualika hata hapo white house ataenda mchana kweupe
 
Hapa unatetea ubovu WA elimu yetu.Sisi wakati wetu by Std VI you know all countries of the World and their capital cities.Sio siri mkuu,mmepigwa na kitu kizito.Poleni sana.
Kwahiyo ukienda kwa mwanachuo wa Harvard ukamuuliza kama anaijua nchi inaitwa malawi akikujibu kuwa hajui inabidi tuitilie shaka elimu yake?
 
Kwahiyo ukienda kwa mwanachuo wa Harvard ukamuuliza kama anaijua nchi inaitwa malawi akikujibu kuwa hajui inabidi tuitilie shaka elimu yake?
Marekani pia elimu yao imesha chakachuliwa mkuu kama ulikuwa hujui.So to you Marekani ndio beacon?Pole if you think so.Uchakachuaji wa elimu is a worldwide phenomenon,na nguvu nyingi sana ya kifedha na the occult inatumika.
 
Marekani pia elimu yao imesha chakachuliwa.So to you Marekani ndio beacon,pole.
Nina mashaka na elimu yako kwasababu kwa point yako ni kwamba mtu inabidi ajue nchi zote duniani kwako ndicho kipimo cha usomi
 
sio historia , Zungumzia Mongolia ya sas , tukienda hivyo bas hata Egypt ni nchi kubwa
Yeah Egypt ni nchi kubwa.
Wewe Tanzania unaifikia Egypt kwa kipi??
Egypt ni baba wa Arab league.
Leo hii imperial power ikitaka kuwatuliza waarabu ni eidha wakaongee na Egypt au Qatar.
Tofauti na hapo hakuna.
 
Back
Top Bottom