Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ww Egypt uniona ni nchi ndogo?sio historia , Zungumzia Mongolia ya sas , tukienda hivyo bas hata Egypt ni nchi kubwa
Anataka tujadili historiasio historia , Zungumzia Mongolia ya sas , tukienda hivyo bas hata Egypt ni nchi kubwa
ICC ni kwa wale nchi za Magharibi isiopenda tu kijana, hasa viongozi wa Africa.Kwanza mjanja hajiungi na ICC. Ingekuwa ICC ni mahakama ya kiukweli Marekani ingekuwa signatory na Putin analijua hili.Afterall Putin has done nothing wrong,ni "uzushi" tu wa nchi za Magharibi.Na Marekani sio signatory because she knows it is a sham.Wanajamvi,
Mongolia ni Taifa ambalo limesaini makubaliano ya kuwakamata wale wote ambao wana “arrest warrant” ya ICC, ambao watafika kwenye taifa lao.
Mfano European Commission imeitaka Mongolia wamkamate Putin na kumkabidhi kwa waendesha mashitaka wa ICC
Pia, soma: Mahakama yaitaka nchi ya Mongolia kumkamata Putin
Lakini bado Putin ametua huko Mongolia kibabe bila kujali.
Hapa najiuliza kama kweli hii ICC ina meno ya kukamata wababe wa hii dunia zaidi ya kina Ruto.
==========
View attachment 3085518
Russian President Vladimir Putin visits Tubten Shedrub Ling datsan in Kyzyl, Republic of Tyva, Russia, Monday, Sept. 2, 2024. (Kristina Kormilitsyna, Sputnik, Kremlin Pool Photo via AP)
Russian President Vladimir Putin arrived Monday in Mongolia, a member of the international court that issued an arrest warrant for him.
The official visit, in which he is to meet Tuesday with Mongolian leader Ukhnaa Khurelsukh, is Putin’s first to a member country of the International Criminal Court since it issued a warrant for his arrest nearly 18 months ago on charges of war crimes in Ukraine.
Ukraine has called on Mongolia to arrest Putin and hand him over to the court in The Hague. A spokesperson for Putin said last week that the Kremlin isn’t worried about the visit.
Members of the international court are bound to detain suspects if an arrest warrant has been issued, but the court doesn’t have any enforcement mechanism.
Mongolia, a sparsely populated country between Russia and China, is heavily dependent on the former for fuel and electricity and on the latter for investment in its mining industry.
The ICC has accused Putin of being responsible for the abductions of children from Ukraine, where the fighting has raged for 2½ years.
Putin and the Mongolian leader on Tuesday are to attend a ceremony marking the 1939 victory of Soviet and Mongolian troops over the Japanese army that had taken control of Manchuria in northeastern China.
Thousands of soldiers died in months of fighting in a dispute over where the border was between Manchuria and Mongolia.
Though Putin has faced international isolation over the invasion of Ukraine, he visited North Korea and Vietnam in June and has also visited China twice in the past year.
He joined a meeting in Johannesburg by video link last year after the South African government lobbied against him showing up for the BRICS summit, a group that also includes China and other emerging economies. South Africa is an ICC member.
AP
Na hawata weza hata kumfungia humo humo maana kitakacho wapata hakina mfano wake, nimewaza sana nikakosa jibu.Hata wakisema wamkamate, hakuna anga watapitia ili kumtoa Mongolia.
Mongolia imepakana na Russia kwa upande mmoja na upande mwingine China.
Anga looote hilo utakosaje pa kupita?? Nani wa kuisimamisha ndege? Labda wailipue ila kuzuia ndege isipite kwenye anga fulan huwa ni story flan tu hazijakaa sawa sanaHata wakisema wamkamate, hakuna anga watapitia ili kumtoa Mongolia.
Mongolia imepakana na Russia kwa upande mmoja na upande mwingine China.
Ina maana hujui Mongolia mkuu?Nadhani ndio ninyi mnaosema China ipo Tanzania,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Nchi inaitwa Mongolia kyee
Kutokuijua ni kawaida san ,hata hvo na wao hawaijui Tanzania kwhyo hakuna cha ajabu.Ina maana huijui?Nadhani ndio ninyi mnaosema China ipo Tanzania.
Wamuarike tu na uhakika ataenda kama atapenda.Putin hawezi kukamatwa kwenye Nchi dhaifu kama Mongolia,Malawi na majirani zake huyo mtu atue kwa hao jamaa waliotengeneza hiyo sheria anaenda pana yule Rais mmoja alikamatwa akiwa na miaka zaidi ya 80 kwa makosa haya haya ya kivita hao Mabeberu wakishakupa hiyo kesi sio leo ila utakamatwa tu labda ufe..
Ndio naiskia mkuu kwani iko bara gani!?Ina maana hujui Mongolia mkuu?Nadhani ndio ninyi mnaosema China ipo Tanzania,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Hapa unatetea ubovu wa elimu yetu mkuu.Sisi wakati wetu by Std VI you know all countries of the World and their capital cities.Sio siri mkuu,mmepigwa na kitu kizito sana,poleni.Kutokuijua ni kawaida san ,hata hvo na wao hawaijui Tanzania kwhyo hakuna cha ajabu.
Kwahiyo ukienda kwa mwanachuo wa Harvard ukamuuliza kama anaijua nchi inaitwa malawi akikujibu kuwa hajui inabidi tuitilie shaka elimu yake?Hapa unatetea ubovu WA elimu yetu.Sisi wakati wetu by Std VI you know all countries of the World and their capital cities.Sio siri mkuu,mmepigwa na kitu kizito.Poleni sana.
Kweli kabisa hakuna haja ya nchi zetu kuwa kwenye hiyo mahakama ya kibaguzi. Jumuia nyingi za kimataifa ni za kukandamiza nchi nyongeIla tukienda mbele na kurudi nyuma, hii ICC ni kwaniaba ya nchi za kinyonge tu.
Kwanini inchi za kiafrika zisijiondoe kwenye upuuzi huu?
Marekani pia elimu yao imesha chakachuliwa mkuu kama ulikuwa hujui.So to you Marekani ndio beacon?Pole if you think so.Uchakachuaji wa elimu is a worldwide phenomenon,na nguvu nyingi sana ya kifedha na the occult inatumika.Kwahiyo ukienda kwa mwanachuo wa Harvard ukamuuliza kama anaijua nchi inaitwa malawi akikujibu kuwa hajui inabidi tuitilie shaka elimu yake?
Nina mashaka na elimu yako kwasababu kwa point yako ni kwamba mtu inabidi ajue nchi zote duniani kwako ndicho kipimo cha usomiMarekani pia elimu yao imesha chakachuliwa.So to you Marekani ndio beacon,pole.
Yeah Egypt ni nchi kubwa.sio historia , Zungumzia Mongolia ya sas , tukienda hivyo bas hata Egypt ni nchi kubwa