Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Anga looote hilo utakosaje pa kupita?? Nani wa kuisimamisha ndege? Labda wailipue ila kuzuia ndege isipite kwenye anga fulan huwa ni story flan tu hazijakaa sawa sana
Mkuu hawana pa kupita.
Hilo anga la Mongolia limezibwa na anga la China na Russia.
Ili wavuke kwenda nje na hiyo mipaka ni eidha wavuke anga la China ama la Russia.
Russia na China wakifunga anga zao Mongolia anapita wapi!??
 
Hii ndio jamii forum niipendayo, jamaa kapopolewa mawe ya maana.

Mataifa machache ndio yenye jeuri ya kumkamata Putin.

By the way mnaposema Warusi wana damu ya kimongoli basi mjue hao ndio Wamongoli halisi.
 
Hii ndio jamii forum niipendayo, jamaa kapopolewa mawe ya maana.

Mataifa machache ndio yenye jeuri ya kumkamata Putin.

By the way mnaposema Warusi wana damu ya kimongoli basi mjue hao ndio Wamongoli halisi.
Hamna taifa duniani lenye jeuri ya kumkamata Putin hata wao wanajua
 
Tufanye wamemkamata watamsafirisha vipi ?

Mongolia ni landlocked imepakana na China na Urusi pekee.

Toa option watamtoa vipi Mongolia kumpeleka ICC ?
Kwamba ndege itagoma kuwaka ikiwa Ulaanbaatar..❗❗
 
ICC ni kwa wale nchi za Magharibi isiowapenda tu kijana, hasa viongozi wa Africa. Mjanja hajiungi na ICC.Ingekuwa mahakama ya kiukweli Marekani ingekuwa signatory,na Putin analijua hili.Afterall Putin has done nothing wrong,ni uzushi tu wa nchi za Magharibi.Na Marekani sio signatory because she knows it is a sham.

Nchi za Magharibi hasa US zina commit atrocities nyingi sana worldwide,but have never been held accountable.It is estimated that the US has killed >20 million people in its many wars worldwide. The US generally kills with impunity.The ICC ni kwa ajili ya wadanganyika kijana.
Has done nothing wrong wakati amevamia Ukraine na kuuwa mamia kama sio ma elfu ya watu.
Kwa taarifa yako hiyo icc warranty haina expiration date, atakamatwa tu hata akiwa na miaka 100
 
Tatizo mnapenda kutafuta pa kujitetea mlisema hawezi kwenda leo agenda inabadilika kiufupi wamfate wamkamate kama wanaweza maneno mengine ni porojo tu.
Putin hawezi kusogeza pua lake kwenye nchi zinazojielewa huo ndio ukweli.
Ataishia huko kwa madikteta wenzake
 
Back
Top Bottom