Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Putin hawezi kukamatwa kwenye Nchi dhaifu kama Mongolia,Malawi na majirani zake huyo mtu atue kwa hao jamaa waliotengeneza hiyo sheria anaenda pana yule Rais mmoja alikamatwa akiwa na miaka zaidi ya 80 kwa makosa haya haya ya kivita hao Mabeberu wakishakupa hiyo kesi sio leo ila utakamatwa tu labda ufe..
Putin hata akienda USA hakamatwi ni kama vile hata Biden akienda Urusi kwa warranty ya ICC hakamatwi.
Hayo ni maogizo TU.
 
Putin bana labda akanyage White house ndio watamkamata.
Ila sio mataifa mengine yeyote.
Maana kawaida ya wasoviet huwa hawaachi kiongozi wao kifungoni.
Tena hapo USA ndio hawamgusi kabisa.
Kwa kifupi kumkamata Rais wa Urusi ama wa USA ni kutangaza vita.
 
Wanajamvi,

Mongolia ni Taifa ambalo limesaini makubaliano ya kuwakamata wale wote ambao wana “arrest warrant” ya ICC, ambao watafika kwenye taifa lao.

Mfano European Commission imeitaka Mongolia wamkamate Putin na kumkabidhi kwa waendesha mashitaka wa ICC

Pia, soma: Mahakama yaitaka nchi ya Mongolia kumkamata Putin

Lakini bado Putin ametua huko Mongolia kibabe bila kujali.

Hapa najiuliza kama kweli hii ICC ina meno ya kukamata wababe wa hii dunia zaidi ya kina Ruto.

==========

View attachment 3085518
Russian President Vladimir Putin visits Tubten Shedrub Ling datsan in Kyzyl, Republic of Tyva, Russia, Monday, Sept. 2, 2024. (Kristina Kormilitsyna, Sputnik, Kremlin Pool Photo via AP)

Russian President Vladimir Putin arrived Monday in Mongolia, a member of the international court that issued an arrest warrant for him.

The official visit, in which he is to meet Tuesday with Mongolian leader Ukhnaa Khurelsukh, is Putin’s first to a member country of the International Criminal Court since it issued a warrant for his arrest nearly 18 months ago on charges of war crimes in Ukraine.

Ukraine has called on Mongolia to arrest Putin and hand him over to the court in The Hague. A spokesperson for Putin said last week that the Kremlin isn’t worried about the visit.

Members of the international court are bound to detain suspects if an arrest warrant has been issued, but the court doesn’t have any enforcement mechanism.

Mongolia, a sparsely populated country between Russia and China, is heavily dependent on the former for fuel and electricity and on the latter for investment in its mining industry.

The ICC has accused Putin of being responsible for the abductions of children from Ukraine, where the fighting has raged for 2½ years.

Putin and the Mongolian leader on Tuesday are to attend a ceremony marking the 1939 victory of Soviet and Mongolian troops over the Japanese army that had taken control of Manchuria in northeastern China.

Thousands of soldiers died in months of fighting in a dispute over where the border was between Manchuria and Mongolia.

Though Putin has faced international isolation over the invasion of Ukraine, he visited North Korea and Vietnam in June and has also visited China twice in the past year.

He joined a meeting in Johannesburg by video link last year after the South African government lobbied against him showing up for the BRICS summit, a group that also includes China and other emerging economies. South Africa is an ICC member.

AP
Hakuna kima wa kumkamata
 
Aende New York kwenye vikao vya UN
 
Putin bana labda akanyage White house ndio watamkamata.
Ila sio mataifa mengine yeyote.
Maana kawaida ya wasoviet huwa hawaachi kiongozi wao kifungoni.
US walishasema mapema akienda kwao hawatamkamata maana wao sio signatory wa ICC,,
 
Wanajamvi,

Mongolia ni Taifa ambalo limesaini makubaliano ya kuwakamata wale wote ambao wana “arrest warrant” ya ICC, ambao watafika kwenye taifa lao.

Mfano European Commission imeitaka Mongolia wamkamate Putin na kumkabidhi kwa waendesha mashitaka wa ICC

Pia, soma: Mahakama yaitaka nchi ya Mongolia kumkamata Putin

Lakini bado Putin ametua huko Mongolia kibabe bila kujali.

Hapa najiuliza kama kweli hii ICC ina meno ya kukamata wababe wa hii dunia zaidi ya kina Ruto.

==========

View attachment 3085518
Russian President Vladimir Putin visits Tubten Shedrub Ling datsan in Kyzyl, Republic of Tyva, Russia, Monday, Sept. 2, 2024. (Kristina Kormilitsyna, Sputnik, Kremlin Pool Photo via AP)

Russian President Vladimir Putin arrived Monday in Mongolia, a member of the international court that issued an arrest warrant for him.

The official visit, in which he is to meet Tuesday with Mongolian leader Ukhnaa Khurelsukh, is Putin’s first to a member country of the International Criminal Court since it issued a warrant for his arrest nearly 18 months ago on charges of war crimes in Ukraine.

Ukraine has called on Mongolia to arrest Putin and hand him over to the court in The Hague. A spokesperson for Putin said last week that the Kremlin isn’t worried about the visit.

Members of the international court are bound to detain suspects if an arrest warrant has been issued, but the court doesn’t have any enforcement mechanism.

Mongolia, a sparsely populated country between Russia and China, is heavily dependent on the former for fuel and electricity and on the latter for investment in its mining industry.

The ICC has accused Putin of being responsible for the abductions of children from Ukraine, where the fighting has raged for 2½ years.

Putin and the Mongolian leader on Tuesday are to attend a ceremony marking the 1939 victory of Soviet and Mongolian troops over the Japanese army that had taken control of Manchuria in northeastern China.

Thousands of soldiers died in months of fighting in a dispute over where the border was between Manchuria and Mongolia.

Though Putin has faced international isolation over the invasion of Ukraine, he visited North Korea and Vietnam in June and has also visited China twice in the past year.

He joined a meeting in Johannesburg by video link last year after the South African government lobbied against him showing up for the BRICS summit, a group that also includes China and other emerging economies. South Africa is an ICC member.

AP
Mongolia bado anaitegemea mno nishati hasa mafuta kutoka Urusi, huwezi kuukata mkono unaokulisha.
 
K
Kama hakuna, basi atembelee Ujerumani au Japan.
wamemwalika?
au aende tu bila mwaliko?
hivi nyie madogo mnajua hata abc's za diplomasia kweli?
mnajua kwamba ukimwalika kiongozi A, the moment anatua kwako usalama wake unakua mikononi mwako?

nakupa mfano mdogo,
unajua kwanini waasi waliwaua maraisi wa burundi&rwanda mara tu ndege zao zilipoacha anga la tanzania?

unajua kwanini baada ya kurunzinza kupinduliwa akiwa airport hapo dar ilikua lazima tanzania imrejeshe burundi tena ikulu akiwa salama?

nyie madogo mnaropoka sana wakati vichwa ni empty
 
Wewe ni Pro russia mzee Mathanzua
Mimi sina swala la pro au against,nina angalia reality.The West wakifanya vizuri I will be for them,wakifanya vibaya,as they are doing,I will be against them,mbona sili kwao.
 
wamemwalika?
au aende tu bila mwaliko?
hivi nyie madogo mnajua hata abc's za diplomasia kweli?
mnajua kwamba ukimwalika kiongozi A, the moment anatua kwako usalama wake unakua mikononi mwako?

nakupa mfano mdogo,
unajua kwanini waasi waliwaua maraisi wa burundi&rwanda mara tu ndege zao zilipoacha anga la tanzania?

unajua kwanini baada ya kurunzinza kupinduliwa akiwa airport hapo dar ilikua lazima tanzania imrejeshe burundi tena ikulu akiwa salama?

nyie madogo mnaropoka sana wakati vichwa ni empty
Nani madogo?

Ukiwa unanijibu mimi uwe na adabu, Mwanahizaya!
 
wamemwalika?
au aende tu bila mwaliko?
hivi nyie madogo mnajua hata abc's za diplomasia kweli?
mnajua kwamba ukimwalika kiongozi A, the moment anatua kwako usalama wake unakua mikononi mwako?

nakupa mfano mdogo,
unajua kwanini waasi waliwaua maraisi wa burundi&rwanda mara tu ndege zao zilipoacha anga la tanzania?

unajua kwanini baada ya kurunzinza kupinduliwa akiwa airport hapo dar ilikua lazima tanzania imrejeshe burundi tena ikulu akiwa salama?

nyie madogo mnaropoka sana wakati vichwa ni empty
Aisee sikulijua hili
Elimu haina mwisho
 
Back
Top Bottom