Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Pro NATO wengi hua ni watupu mno.Mongolia ndo nchi ya ajabu?
Hivi unajua mabadilishano ya kibiashara kati ya Urusi na Mongolia ni kiasi gani kwa mwaka au unaongea kufurahisha moyo wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pro NATO wengi hua ni watupu mno.Mongolia ndo nchi ya ajabu?
Hivi unajua mabadilishano ya kibiashara kati ya Urusi na Mongolia ni kiasi gani kwa mwaka au unaongea kufurahisha moyo wako?
Putin hata akienda USA hakamatwi ni kama vile hata Biden akienda Urusi kwa warranty ya ICC hakamatwi.Putin hawezi kukamatwa kwenye Nchi dhaifu kama Mongolia,Malawi na majirani zake huyo mtu atue kwa hao jamaa waliotengeneza hiyo sheria anaenda pana yule Rais mmoja alikamatwa akiwa na miaka zaidi ya 80 kwa makosa haya haya ya kivita hao Mabeberu wakishakupa hiyo kesi sio leo ila utakamatwa tu labda ufe..
Tena hapo USA ndio hawamgusi kabisa.Putin bana labda akanyage White house ndio watamkamata.
Ila sio mataifa mengine yeyote.
Maana kawaida ya wasoviet huwa hawaachi kiongozi wao kifungoni.
Wewe ni Pro russia mzee MathanzuaAsiyejua Historia yake ni mtumwa mkuu,ndio maana wamefuta Historia ya Mwafrika completely.Bila kujua Historia yako huwezi kujua your strenghs.
Hakuna kima wa kumkamataWanajamvi,
Mongolia ni Taifa ambalo limesaini makubaliano ya kuwakamata wale wote ambao wana “arrest warrant” ya ICC, ambao watafika kwenye taifa lao.
Mfano European Commission imeitaka Mongolia wamkamate Putin na kumkabidhi kwa waendesha mashitaka wa ICC
Pia, soma: Mahakama yaitaka nchi ya Mongolia kumkamata Putin
Lakini bado Putin ametua huko Mongolia kibabe bila kujali.
Hapa najiuliza kama kweli hii ICC ina meno ya kukamata wababe wa hii dunia zaidi ya kina Ruto.
==========
View attachment 3085518
Russian President Vladimir Putin visits Tubten Shedrub Ling datsan in Kyzyl, Republic of Tyva, Russia, Monday, Sept. 2, 2024. (Kristina Kormilitsyna, Sputnik, Kremlin Pool Photo via AP)
Russian President Vladimir Putin arrived Monday in Mongolia, a member of the international court that issued an arrest warrant for him.
The official visit, in which he is to meet Tuesday with Mongolian leader Ukhnaa Khurelsukh, is Putin’s first to a member country of the International Criminal Court since it issued a warrant for his arrest nearly 18 months ago on charges of war crimes in Ukraine.
Ukraine has called on Mongolia to arrest Putin and hand him over to the court in The Hague. A spokesperson for Putin said last week that the Kremlin isn’t worried about the visit.
Members of the international court are bound to detain suspects if an arrest warrant has been issued, but the court doesn’t have any enforcement mechanism.
Mongolia, a sparsely populated country between Russia and China, is heavily dependent on the former for fuel and electricity and on the latter for investment in its mining industry.
The ICC has accused Putin of being responsible for the abductions of children from Ukraine, where the fighting has raged for 2½ years.
Putin and the Mongolian leader on Tuesday are to attend a ceremony marking the 1939 victory of Soviet and Mongolian troops over the Japanese army that had taken control of Manchuria in northeastern China.
Thousands of soldiers died in months of fighting in a dispute over where the border was between Manchuria and Mongolia.
Though Putin has faced international isolation over the invasion of Ukraine, he visited North Korea and Vietnam in June and has also visited China twice in the past year.
He joined a meeting in Johannesburg by video link last year after the South African government lobbied against him showing up for the BRICS summit, a group that also includes China and other emerging economies. South Africa is an ICC member.
AP
Russia haitaki ushoga na Nchi za Watoa vinyeo kama US, German, UK, France West ni Nchi zinazoabudu mashogaDuh,jamaa anatembelea vinchi vya ajabu tu kwa sasa..ukiondoa nchi ya ch
🤔🤔🤔🤔Hata wakisema wamkamate, hakuna anga watapitia ili kumtoa Mongolia.
Mongolia imepakana na Russia kwa upande mmoja na upande mwingine China.
Kama hakuna, basi atembelee Ujerumani au Japan.Hakuna nchi ya kumkamata Putin,na haitakuwepo duniani.
Hata akenda marekani hakamatwiK
Kama hakuna, basi atembelee Ujerumani au Japan.
Kipindi anawatembelea hapo zamani alikuwa anataka?Russia haitaki ushoga na Nchi za Watoa vinyeo kama US, German, UK, France West ni Nchi zinazoabudu mashoga
ilikuwa😂😂😂Hajui dogo, hiyo Dola ya Mongolia ilikuwa hatari duniani ilitawala wengi ulaya
US walishasema mapema akienda kwao hawatamkamata maana wao sio signatory wa ICC,,Putin bana labda akanyage White house ndio watamkamata.
Ila sio mataifa mengine yeyote.
Maana kawaida ya wasoviet huwa hawaachi kiongozi wao kifungoni.
Mongolia bado anaitegemea mno nishati hasa mafuta kutoka Urusi, huwezi kuukata mkono unaokulisha.Wanajamvi,
Mongolia ni Taifa ambalo limesaini makubaliano ya kuwakamata wale wote ambao wana “arrest warrant” ya ICC, ambao watafika kwenye taifa lao.
Mfano European Commission imeitaka Mongolia wamkamate Putin na kumkabidhi kwa waendesha mashitaka wa ICC
Pia, soma: Mahakama yaitaka nchi ya Mongolia kumkamata Putin
Lakini bado Putin ametua huko Mongolia kibabe bila kujali.
Hapa najiuliza kama kweli hii ICC ina meno ya kukamata wababe wa hii dunia zaidi ya kina Ruto.
==========
View attachment 3085518
Russian President Vladimir Putin visits Tubten Shedrub Ling datsan in Kyzyl, Republic of Tyva, Russia, Monday, Sept. 2, 2024. (Kristina Kormilitsyna, Sputnik, Kremlin Pool Photo via AP)
Russian President Vladimir Putin arrived Monday in Mongolia, a member of the international court that issued an arrest warrant for him.
The official visit, in which he is to meet Tuesday with Mongolian leader Ukhnaa Khurelsukh, is Putin’s first to a member country of the International Criminal Court since it issued a warrant for his arrest nearly 18 months ago on charges of war crimes in Ukraine.
Ukraine has called on Mongolia to arrest Putin and hand him over to the court in The Hague. A spokesperson for Putin said last week that the Kremlin isn’t worried about the visit.
Members of the international court are bound to detain suspects if an arrest warrant has been issued, but the court doesn’t have any enforcement mechanism.
Mongolia, a sparsely populated country between Russia and China, is heavily dependent on the former for fuel and electricity and on the latter for investment in its mining industry.
The ICC has accused Putin of being responsible for the abductions of children from Ukraine, where the fighting has raged for 2½ years.
Putin and the Mongolian leader on Tuesday are to attend a ceremony marking the 1939 victory of Soviet and Mongolian troops over the Japanese army that had taken control of Manchuria in northeastern China.
Thousands of soldiers died in months of fighting in a dispute over where the border was between Manchuria and Mongolia.
Though Putin has faced international isolation over the invasion of Ukraine, he visited North Korea and Vietnam in June and has also visited China twice in the past year.
He joined a meeting in Johannesburg by video link last year after the South African government lobbied against him showing up for the BRICS summit, a group that also includes China and other emerging economies. South Africa is an ICC member.
AP
South walimwomba asiende!Kwa nini aliogopa kwenda South Africa kwenye mkutano wa BRICS?
wamemwalika?K
Kama hakuna, basi atembelee Ujerumani au Japan.
Mimi sina swala la pro au against,nina angalia reality.The West wakifanya vizuri I will be for them,wakifanya vibaya,as they are doing,I will be against them,mbona sili kwao.Wewe ni Pro russia mzee Mathanzua
Nani madogo?wamemwalika?
au aende tu bila mwaliko?
hivi nyie madogo mnajua hata abc's za diplomasia kweli?
mnajua kwamba ukimwalika kiongozi A, the moment anatua kwako usalama wake unakua mikononi mwako?
nakupa mfano mdogo,
unajua kwanini waasi waliwaua maraisi wa burundi&rwanda mara tu ndege zao zilipoacha anga la tanzania?
unajua kwanini baada ya kurunzinza kupinduliwa akiwa airport hapo dar ilikua lazima tanzania imrejeshe burundi tena ikulu akiwa salama?
nyie madogo mnaropoka sana wakati vichwa ni empty
Aisee sikulijua hiliwamemwalika?
au aende tu bila mwaliko?
hivi nyie madogo mnajua hata abc's za diplomasia kweli?
mnajua kwamba ukimwalika kiongozi A, the moment anatua kwako usalama wake unakua mikononi mwako?
nakupa mfano mdogo,
unajua kwanini waasi waliwaua maraisi wa burundi&rwanda mara tu ndege zao zilipoacha anga la tanzania?
unajua kwanini baada ya kurunzinza kupinduliwa akiwa airport hapo dar ilikua lazima tanzania imrejeshe burundi tena ikulu akiwa salama?
nyie madogo mnaropoka sana wakati vichwa ni empty