Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Putin anaweza kwenda haei USA na asifanywe chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afate nini?Putin hawezi kusogeza pua lake kwenye nchi zinazojielewa huo ndio ukweli.
Ataishia huko kwa madikteta wenzake
Kama Egypt ndio baba waarabu basi ndio maana myahudi anawapelekea moto.Yeah Egypt ni nchi kubwa.
Wewe Tanzania unaifikia Egypt kwa kipi??
Egypt ni baba wa Arab league.
Leo hii imperial power ikitaka kuwatuliza waarabu ni eidha wakaongee na Egypt au Qatar.
Tofauti na hapo hakuna.
Hilo siyo swala la ubabe wa Putini, bali hayo ni maamuzi ya Mongolia kuamua kutotii makubaliano hayo. uganda pia iliwahi kufanya hivyo pale ilipoamua kutomkamata aliyekuwa rais wa Sudan Omar Bashiri.Wanajamvi,
Mongolia ni Taifa ambalo limesaini makubaliano ya kuwakamata wale wote ambao wana “arrest warrant” ya ICC, ambao watafika kwenye taifa lao.
Mfano European Commission imeitaka Mongolia wamkamate Putin na kumkabidhi kwa waendesha mashitaka wa ICC
Pia, soma: Mahakama yaitaka nchi ya Mongolia kumkamata Putin
Lakini bado Putin ametua huko Mongolia kibabe bila kujali.
Hapa najiuliza kama kweli hii ICC ina meno ya kukamata wababe wa hii dunia zaidi ya kina Ruto.
==========
View attachment 3085518
Russian President Vladimir Putin visits Tubten Shedrub Ling datsan in Kyzyl, Republic of Tyva, Russia, Monday, Sept. 2, 2024. (Kristina Kormilitsyna, Sputnik, Kremlin Pool Photo via AP)
Russian President Vladimir Putin arrived Monday in Mongolia, a member of the international court that issued an arrest warrant for him.
The official visit, in which he is to meet Tuesday with Mongolian leader Ukhnaa Khurelsukh, is Putin’s first to a member country of the International Criminal Court since it issued a warrant for his arrest nearly 18 months ago on charges of war crimes in Ukraine.
Ukraine has called on Mongolia to arrest Putin and hand him over to the court in The Hague. A spokesperson for Putin said last week that the Kremlin isn’t worried about the visit.
Members of the international court are bound to detain suspects if an arrest warrant has been issued, but the court doesn’t have any enforcement mechanism.
Mongolia, a sparsely populated country between Russia and China, is heavily dependent on the former for fuel and electricity and on the latter for investment in its mining industry.
The ICC has accused Putin of being responsible for the abductions of children from Ukraine, where the fighting has raged for 2½ years.
Putin and the Mongolian leader on Tuesday are to attend a ceremony marking the 1939 victory of Soviet and Mongolian troops over the Japanese army that had taken control of Manchuria in northeastern China.
Thousands of soldiers died in months of fighting in a dispute over where the border was between Manchuria and Mongolia.
Though Putin has faced international isolation over the invasion of Ukraine, he visited North Korea and Vietnam in June and has also visited China twice in the past year.
He joined a meeting in Johannesburg by video link last year after the South African government lobbied against him showing up for the BRICS summit, a group that also includes China and other emerging economies. South Africa is an ICC member.
AP
SaSa kama hivyo Kwa Nini wasimfuate hapo urusi wakamkamate?Putin hawezi kusogeza pua lake kwenye nchi zinazojielewa huo ndio ukweli.
Ataishia huko kwa madikteta wenzake
Unajua icc inavyofanya kazi??SaSa kama hivyo Kwa Nini wasimfuate hapo urusi wakamkamate?
Hahah mkuu sasa hayo maswali yalitakiwa waulizwe Mongolia. Wao ndo wamesaini huko wakitaka wawasiliane na wayuropeani huko kina NATO😀Tufanye wamemkamata watamsafirisha vipi ?
Mongolia ni landlocked imepakana na China na Urusi pekee.
Toa option watamtoa vipi Mongolia kumpeleka ICC ?
Hii mada is not worthy to discuss.Kama Egypt ndio baba waarabu basi ndio maana myahudi anawapelekea moto.
Zilipendwa tuu kama OttomanHajui dogo, hiyo Dola ya Mongolia ilikuwa hatari duniani ilitawala wengi ulaya
Your minds are so crooked,you only know what the West says,hata kama ni uzushi.Go back and learn why Russia is carrying out a Special Operation in Ukraine.Has done nothing wrong wakati amevamia Ukraine na kuuwa mamia kama sio ma elfu ya watu.
Kwa taarifa yako hiyo icc warranty haina expiration date, atakamatwa tu hata akiwa na miaka 100
Duh,jamaa anatembelea vinchi vya ajabu tu kwa sasa..ukiondoa nchi ya china
Elimu yetu inaweza ikawa mbovu ila vtu vingine havihitaji hata elimu ni uvivu wangu tu mkuu.Hapa unatetea ubovu wa elimu yetu mkuu.Sisi wakati wetu by Std VI you know all countries of the World and their capital cities.Sio siri mkuu,mmepigwa na kitu kizito sana,poleni.
Historia ni past tense,i dont deal with itUnaijua Mongolia na historia yake
Swala la kujua Mongolia ipo wapi ni Geography mkuu.Sasa katika mazingira ambayo hata Atlas hazitumiki tena katika Shule za Msingi,ni vigumu sana kujua Geography.Nasikia hata Mathematical Set hazitumiki tena Shule za Msingi siku hizi,ni ajabu sana.Yaani ni nadharia tu mtindo mmoja.Elimu yetu inaweza ikawa mbovu ila vtu vingine havihitaji hata elimu ni uvivu wangu tu mkuu.
Asiyejua Historia yake ni mtumwa mkuu,ndio maana wamefuta Historia ya Mwafrika completely.Bila kujua Historia yako huwezi kujua your strenghs.Historia ni past tense,i dont deal with it