Mkuu hawana pa kupita.Anga looote hilo utakosaje pa kupita?? Nani wa kuisimamisha ndege? Labda wailipue ila kuzuia ndege isipite kwenye anga fulan huwa ni story flan tu hazijakaa sawa sana
hebu muulize anajua historia ya Gheghis Khan mfalme wa Mongolia alitawala hadi nchi za ulaya huyu jamaa anaonekana sio msomaji kabisa ni kilaza flani hiviUnaijua historia ya Mongolia?
😀😀Mtu ni mfuga Nguruwe pale Lizaboni atajua nini kuhusu nchi ya Mongolia?
umezidisha aende uingerezaHakuna nchi ya kumkamata Putin,na haitakuwepo duniani.
Sasa Egypt ni nchi ndogo?sio historia , Zungumzia Mongolia ya sas , tukienda hivyo bas hata Egypt ni nchi kubwa
Hamna taifa duniani lenye jeuri ya kumkamata Putin hata wao wanajuaHii ndio jamii forum niipendayo, jamaa kapopolewa mawe ya maana.
Mataifa machache ndio yenye jeuri ya kumkamata Putin.
By the way mnaposema Warusi wana damu ya kimongoli basi mjue hao ndio Wamongoli halisi.
Labda Ulaya ya kule Kilosa.Hajui dogo, hiyo Dola ya Mongolia ilikuwa hatari duniani ilitawala wengi ulaya
Si atue tu pale London hata kwa bahati mbaya tu kwamba ndege yake imeleta itilafu kidogo tuone.Hakuna nchi ya kumkamata Putin,na haitakuwepo duniani.
Kwa nini aliogopa kwenda South Africa kwenye mkutano wa BRICS?Hakuna nchi ya kumkamata Putin,na haitakuwepo duniani.
Kwamba ndege itagoma kuwaka ikiwa Ulaanbaatar..❗❗Tufanye wamemkamata watamsafirisha vipi ?
Mongolia ni landlocked imepakana na China na Urusi pekee.
Toa option watamtoa vipi Mongolia kumpeleka ICC ?
Ataishia huko huko kwenye vinchi vya uchochoroni. Hawezi kusogea magharibi watanyakua mapema tuDuh,jamaa anatembelea vinchi vya ajabu tu kwa sasa..ukiondoa nchi ya china
Tatizo mnapenda kutafuta pa kujitetea mlisema hawezi kwenda leo agenda inabadilika kiufupi wamfate wamkamate kama wanaweza maneno mengine ni porojo tu.Ataishia huko huko kwenye vinchi vya uchochoroni. Hawezi kusogea magharibi watanyakua mapema tu
Has done nothing wrong wakati amevamia Ukraine na kuuwa mamia kama sio ma elfu ya watu.ICC ni kwa wale nchi za Magharibi isiowapenda tu kijana, hasa viongozi wa Africa. Mjanja hajiungi na ICC.Ingekuwa mahakama ya kiukweli Marekani ingekuwa signatory,na Putin analijua hili.Afterall Putin has done nothing wrong,ni uzushi tu wa nchi za Magharibi.Na Marekani sio signatory because she knows it is a sham.
Nchi za Magharibi hasa US zina commit atrocities nyingi sana worldwide,but have never been held accountable.It is estimated that the US has killed >20 million people in its many wars worldwide. The US generally kills with impunity.The ICC ni kwa ajili ya wadanganyika kijana.
Putin hawezi kusogeza pua lake kwenye nchi zinazojielewa huo ndio ukweli.Tatizo mnapenda kutafuta pa kujitetea mlisema hawezi kwenda leo agenda inabadilika kiufupi wamfate wamkamate kama wanaweza maneno mengine ni porojo tu.