Naona unajiita Dr Namugari. Nikushauri tu uitoe hiyo Dr , hakuna mwenye title kama hiyo awe tabularasa kiasi hicho. Au unamaanisha Dr wale wanaoweka vitambaa vyekundu na pembe za wanyamaHakika akili zake ziko takoni watu wamekuwa matajiri hapa ndani ya miaka miwili tu ddm Ni POA snaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hali ya hewa ya dar inakufanya mwili upumue , ni kweli kuna joto lakini UNATAKAKA NA KUNAWIRI, Jua halifinyishi macho(haliumizi macho). Halafu kila mtu dar anaonekana ANATABASAMU LA USONI. Ila Dodoma sasa, yaani unaweza kufikiria kila mtu amekasirika au amechoka kumbe ni sababu ya hali ya hewa. Mimi labda mambo ya ajira ndio yaniweke Dom, zaidi ya hapo hapana kwa kweli.Dar je ikoje ??! Jasho jasho kwa kwenda mbele !! Na ile harufu iliyomshinda Michael Jackson alipotembelea Dar bado ipo au imeisha ?! π
KabisaKwahiyo jua la Dar ni Afadhali kuliko Dodoma???
Aliyekuambia makao makuu ya nchi lazima watu wanawiri uso ni nani?? Umbwa kweli wee umesikia saloon ya watoto wa kike hii...Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo. Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri. Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
Ndio hali halisi ya watanzania.. wewe ulitakaje??Kichekesho zaidi ni vile vijumba vya chamwino hapo kuingilia ikulu. Yaaani ukienda nchi nyingine mitaa ya karibu na ikulu ni majengo mazuri tu na mazingira mazuri ila hapo Dodoma kuna vijumba vya hovyo balaa karibu na ikulu kabisa.
Weka kidhungu "Singapore" ina-shine zaidi sio unaita Singida big Stars Bwanga bin Madilu tozoSijui kwa nini hawakuiona Singida
Anamtukana Baba wa TaifaHapataki kabisa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hatuzungumzii kubadili ardhi ili kuzalisha chakula, tunazungumzia hali ya hewa ya asili. Je hiyo Israel unayozungumzia walifanikiwa kubadili hali ya hewa ya asili iliyokuwepo tangu kuumbwa kwake? Dodoma hata miti ipandwe hadi sebuleni bado jua litafubaza sura na watu watafinya macho tu. Haitaondoa maji chumvi ya ajabu( na Mungu saidia iwe ni chumvi kweli).
Nina shaka Maji, jua na vumbi la Dom kuna kimoja sio poa yanapokutana na macho.
Vitukuu wetu karne zijazo wata research na si ajabu wakagundua kuwa Dom is not conducive for human beings
Ni kweli Dom inafubaza na kuchakaza sura of course ngozi yote ya mwili lazima ichakae na kupoteza nuru sababu zipo kadhaa, hali ya hewa lile joto kavu yaani hakuna humidity, joto/jua linachoma hata mtoto anakuwa na sura ya kizee. Kukiwa na kabaridi pia ni kale kakavu kanakosababisha mtu awe na ngozi kama ya kenge hata akitumia lotion ya viwango best duniani inadunda lakini ndiyo kumeshakuwa makao makuu.Hali ya hewa ya dar inakufanya mwili upumue , ni kweli kuna joto lakini UNATAKAKA NA KUNAWIRI, Jua halifinyishi macho(haliumizi macho). Halafu kila mtu dar anaonekana ANATABASAMU LA USONI. Ila Dodoma sasa, yaani unaweza kufikiria kila mtu amekasirika au amechoka kumbe ni sababu ya hali ya hewa. Mimi labda mambo ya ajira ndio yaniweke Dom, zaidi ya hapo hapana kwa kweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kweli Dom inafubaza na kuchakaza sura of course ngozi yote ya mwili lazima ichakae na kupoteza nuru sababu zipo kadhaa, hali ya hewa lile joto kavu yaani hakuna humidity, joto/jua linachoma hata mtoto anakuwa na sura ya kizee. Kukiwa na kabaridi pia ni kale kakavu kanakosababisha mtu awe na ngozi kama ya kenge hata akitumia lotion ya viwango best duniani inadunda lakini ndiyo kumeshakuwa makao makuu.
Vimbi lake utadhani ni sumu ya kuchakaza ngozi lakini ndiyo pameshakuwa makao makuu ya nchi, dah..! Hivi Mchonga alikuwa hastui kijiti?
Peleka huko utopolo wako. Hujalazimishwa kiishi Dodoma. Kaishi huko kwenu Nanjilinji tuachie Dodoma yetu tuendelee kushine. Inaonekana una upungufu wa fedha mwilini ndio maana unapayuka hovyo.Ni kweli Dom inafubaza na kuchakaza sura of course ngozi yote ya mwili lazima ichakae na kupoteza nuru sababu zipo kadhaa, hali ya hewa lile joto kavu yaani hakuna humidity, joto/jua linachoma hata mtoto anakuwa na sura ya kizee. Kukiwa na kabaridi pia ni kale kakavu kanakosababisha mtu awe na ngozi kama ya kenge hata akitumia lotion ya viwango best duniani inadunda lakini ndiyo kumeshakuwa makao makuu.
Vimbi lake utadhani ni sumu ya kuchakaza ngozi lakini ndiyo pameshakuwa makao makuu ya nchi, dah..! Hivi Mchonga alikuwa hastui kijiti?
What are you smoking? Wapi nimeandika kwamba natarajia kuhamia Dodoma au natokea Nanjilinji(whatever that shit is).Peleka huko utopolo wako. Hujalazimishwa kiishi Dodoma. Kaishi huko kwenu Nanjilinji tuachie Dodoma yetu tuendelee kushine. Inaonekana una upungufu wa fedha mwilini ndio maana unapayuka hovyo.
Unaruka mavi unakanyaga mkojo, singida na dodoma hakuna tofauti hata kidogo kote huko nimeishi.....manyoni, singida mjini, ilongero, shelui, itigi, ikungi, itaja na sagara, ni sawa na dodoma sehemu kama mpunguzi, bahi, chamwino, mvumi na dom town yaani ngoma droo jua lote πSijui kwa nini hawakuiona Singida
kalinganisha na dar hali ya hewe ya dar masikini na tajiri wote wote wanang,aa lakini domu hata utupwe kwenye tengi la siagi ukitolewe umepauka tiiiiiiDom kwenda magharibi huko Pana Hali ya hewa nzuri sana,hakuna joto la kiwaki,nimeishi Dom miaka miwili,kuhusu kunawiri mtoa mada muongo
jua la dar nikali lakini linapozwa na upepo wa bahari pia linfanya mtu ang'ngae usoni hata awe mweusi tofaoti na dodoma wamama wanapaka kilimu inadunda kwa sababu ya kipupwe wamepaukianaKwahiyo jua la Dar ni Afadhali kuliko Dodoma???
Kwa nini ulienda huko?Mji mkuu wako upo moyoni mwako.Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo.
Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri.
Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi