Sku ya kwanza kufika dodoma nilipaka lotion,,, nkavaa nguo,,, ile namaliza kuvaa tu najiangalia kwny kioo, ngozi kama ya kenge,,, khaaaaaa
Watu wengi wa Dar,uelewa wao kuhusu hii nchi ni mdogo sana,
Kuna jamaa nilikutana nao temeke Dar,sasa pembeni yetu kulikuwa Kuna watu wanaongea rafudhi kama Kirundi,au waha wakigoma,
Jamaa zangu Hawa wakawa wanabisha kwamba Hawa hawawezi kuwa watz,kwanini wanaongea kama warundi,na wanaonekana kama wanyarwanda,nikawaambia,watu wa Kigoma,ngara,karsgwe,wanafanana sana na watu wa nchi jiraniRwanda,Burundi,na hata lugha zinaingiliana,
Watu wengi wa Dar,wanafikiri mtz,ni yule anayeongea kiswahili kama mzaramo,
Na kwa ufupi,Dar haikutokea tu,imejengwa,miji hujengwa,Arusha hakuna bahari,lakini Kuna hari nzuri kuliko Dar,Njombe Kuna baridi kama ulaya,je tuseme Njombe ni Bora kuliko Dar?