Pamoja na Dodoma kuwa Katikati ya nchi lakini bado haikupaswa kuwa Makao Makuu

Singida hapana mkuu doh
 
Nani wa kubadilisha dodoma kuwa kama dubai??? Ni hawa hawa majambazi waliojificha kwny V8 zenye full tinted?

Dubai ilikua jangwa lakn leo hii ni full kijani kibich kama beach kwa sababu wana viongozi wenye vision sio hz taka taka zetu
 
Sku ya kwanza kufika dodoma nilipaka lotion,,, nkavaa nguo,,, ile namaliza kuvaa tu najiangalia kwny kioo, ngozi kama ya kenge,,, khaaaaaa
Watu wengi wa Dar,uelewa wao kuhusu hii nchi ni mdogo sana,
Kuna jamaa nilikutana nao temeke Dar,sasa pembeni yetu kulikuwa Kuna watu wanaongea rafudhi kama Kirundi,au waha wakigoma,
Jamaa zangu Hawa wakawa wanabisha kwamba Hawa hawawezi kuwa watz,kwanini wanaongea kama warundi,na wanaonekana kama wanyarwanda,nikawaambia,watu wa Kigoma,ngara,karsgwe,wanafanana sana na watu wa nchi jiraniRwanda,Burundi,na hata lugha zinaingiliana,
Watu wengi wa Dar,wanafikiri mtz,ni yule anayeongea kiswahili kama mzaramo,
Na kwa ufupi,Dar haikutokea tu,imejengwa,miji hujengwa,Arusha hakuna bahari,lakini Kuna hari nzuri kuliko Dar,Njombe Kuna baridi kama ulaya,je tuseme Njombe ni Bora kuliko Dar?
 
Dom pazur ,uende huyo rafikiyo kaachika ndo maana kapauka,au anatembea Juan,jua la Dom hutakiw kuzid nusu saa ukiwa juan ,litakuharibu ngozi ila ni jiji Zuri
 
Wewe mjinga israel imebadilisha jangwa kuwa nchi inayozalisha Hadi akiba ya chakula leo unazingumzia dodoma ambayo inapata mvua karibu miezi mitatu mfululizo kwa mwaka

Mkiambiwa waafrika akili zenu zipo matakoni wewe ndio mfano namba moja
Naunga hoja akili za wengi zimekaa matakoni.
 
Yaani huyu ni muongo.Hivi hapo dodoma mjini naona huyu tena ni mgeni.Ebu tembelea area c area d na uzunguni kwa miti ilivyopandwa kama utaliona jua.Waambie wakuja wapande miti.
 
Kuna mgogo moja humu jf kutwa yeye kutukana walimu nasikia kwao mpunguzi
 
Dodoma na Tanga zimekuwa majiji Kwa sababu ni ngome za CCM!!! Lakin hazikustahili !!!
 
Tangu lini Dodoma imekua katikati ya nchi?
Katikati ya nchi ni Manyoni , siyo Dodoma.
 
Ila Serikali sijui kwa nini hawako serious
Wakati wanaweza hata kuvuna maji
 
Komaa wewe acha kujilegeza
 
Komaa wewe acha kujilegeza
Kwamba nikomae tu kwenye jua hata kama kuna kivuli pembeni kisa tu mimi dume. Nyie ndio wale kipindi cha ujana mlikuwa mnajisifia eti "mi mgumu bwana". Mnajinyima starehe kwa kujikomoa wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…