Pamoja na Kamala Harris kutumia wasanii wakubwa wote wa Marekani bado ameangukia pua!

Pamoja na Kamala Harris kutumia wasanii wakubwa wote wa Marekani bado ameangukia pua!

Hili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk!

Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
Ccm hawategemei matokeo ya kura Ili kushinda
 
Hili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk!

Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
Wanawake wanatakiwa wawe chini ya wanaume, Tanzania tunalaanika kwa kukaidi utaratibu wa enzi na enzi.
 
Hili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk!

Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
Unafikiri wasanii Huwa wanalolote ni wapumbavu tu hata hapa Tanzania magufuli bila polis na hao wake wa pididy angeenda kwao kabisaaa.
 
Hili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk!

Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
Trump alikua yupo na bilionea mmoja tu Elon musk
wasanii wote wasio na hela wapo kwa kamala
Na kapigwa chini
 
Hili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk!

Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
Sasa wote wanaotumia mbinu hiyo wajue ni mbinu chakavu na chakavu zaidi pale ikitumika na chama chakavu.
 
Back
Top Bottom