Chacha hawa ndio wameharibu mara buku ya walioangukia pua.Somo kwa CCM!
Huwezi shondana na MunguHili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk!
Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
Mtu aliye elimika hawezi mfuatisha msanii.Hili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk!
Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
How and why?She will face a Catastrophic Defeat in the next coming General Election in 2025 even though she will be declared the Winner of that Election.
By unfairness means perhaps...Inashangaza sana msiompenda Mama Samia mnavyoongelea kushindwa kwa Kamala kama funzo kwa CCM. Siasa za US sio siasa za TZ. Na sio lazima tufuate wanachofanya. Mama Samia ni rais hadi 2030. Tuombe tu uzima.
Just wait, you'll see yourself!How and why?