Pamoja na kulipwa mishanara, mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wameshindwa kutatua kero za wananchi mpaka Makonda aingilie kati!

Pamoja na kulipwa mishanara, mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wameshindwa kutatua kero za wananchi mpaka Makonda aingilie kati!

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Hii inashangaza sana. Yaani wanakula mishahara ya bure tu.

Wameshindwa kabisa kutatua kero za wananchi?

Msemaji wa chama anahusika vipi na kero za wananchi?
 
Back
Top Bottom